Friday, March 24, 2017

SPIKA WA BUNGE AKUTANA NA MJUMBE WA KAMATI KUU NA KATBU WA CHAMA CHA KIKOMUNISTI CHA CHINA (CPC) NDUGU GUO JINLONG JIJINI DAR ES SALAAM.


CP1
  Spika wa Bunge Mhe Job Ndugai akielezea jambo wakati akizungumza na  Mjumbe wa Kamati Kuu na Katibu Mkuu wa Chama cha Kikomunisti cha China (CPC), Mhe Guo Jinlong pamoja na Ujumbe aliombatana nao  Jijini Dar es Salaam. 
CP2
  Mjumbe wa Kamati Kuu na Katibu Mkuu wa Chama cha Kikomunisti cha China (CPC), Mhe Guo Jinlong akimueleza jambo Spika wa Bunge  Mhe Job Ndugai wakati walipofanya mazungumzo Jijini Dar es Salaam.
CP3
CP4
Spika wa Bunge Mhe Job Ndugai akifafanua jambo wakati akimkabidhi zawadi Mjumbe wa Kamati Kuu na Katibu Mkuu wa Chama cha Kikomunisti cha China (CPC), Mhe Guo Jinlong mara baada ya kuzungumza nae Jijini Dar es Salaam.  
CP5
Spika wa Bunge Mhe Job Ndugai (kushoto) akifurahia jambo  wakati na Mjumbe wa Kamati Kuu na Katibu Mkuu wa Chama cha Kikomunisti cha China (CPC), Mhe Guo Jinlong (katikati) pamoja na Balozi wa China Nchini  Dkt.Lu Youqing (kulia) wakati wakisili katika ukumbi wa mikutano kwa ajili ya mazungumzo Jijini Dare es Salaam. 
(Picha na Ofisi ya Bunge)

No comments :

Post a Comment