Spika wa Bunge
Mhe Job Ndugai akielezea jambo wakati akizungumza na Mjumbe wa Kamati
Kuu na Katibu Mkuu wa Chama cha Kikomunisti cha China (CPC), Mhe Guo
Jinlong pamoja na Ujumbe aliombatana nao Jijini Dar es Salaam.
Mjumbe wa
Kamati Kuu na Katibu Mkuu wa Chama cha Kikomunisti cha China (CPC), Mhe
Guo Jinlong akimueleza jambo Spika wa Bunge Mhe Job Ndugai wakati
walipofanya mazungumzo Jijini Dar es Salaam.
Spika wa Bunge Mhe Job Ndugai
akifafanua jambo wakati akimkabidhi zawadi Mjumbe wa Kamati Kuu na
Katibu Mkuu wa Chama cha Kikomunisti cha China (CPC), Mhe Guo Jinlong
mara baada ya kuzungumza nae Jijini Dar es Salaam.
Spika wa Bunge Mhe Job Ndugai
(kushoto) akifurahia jambo wakati na Mjumbe wa Kamati Kuu na Katibu
Mkuu wa Chama cha Kikomunisti cha China (CPC), Mhe Guo Jinlong
(katikati) pamoja na Balozi wa China Nchini Dkt.Lu Youqing (kulia)
wakati wakisili katika ukumbi wa mikutano kwa ajili ya mazungumzo Jijini
Dare es Salaam.
(Picha na Ofisi ya Bunge)
No comments :
Post a Comment