Aliyekuwa Waziri wa Katiba na Sheria Dkt. Harrison
Mwakyembe akimkabidhi Taarifa Waziri wa Katiba na Sheria Prof.
Palamagamba Kabudi katika makabidhiano ya Ofisi yaliyofanyika Makao
Makuu ya Wizara yaliyoko Chuo Kikuu cha Dodoma mjini Dodoma.
Mwakyembe akimkabidhi Taarifa Waziri wa Katiba na Sheria Prof.
Palamagamba Kabudi katika makabidhiano ya Ofisi yaliyofanyika Makao
Makuu ya Wizara yaliyoko Chuo Kikuu cha Dodoma mjini Dodoma.
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dkt
Harrison Mwakyembe aliyesimama akizungumza katika hafla ya kukabidhi
Ofisi kwa Waziri Katiba na Sheria Prof Palamagamba Kabudi (aliyekaa
kulia kwake) na kushoto kwake ni Mkurugenzi wa Katiba na ufuatiliaji
Haki Wizarani Bw. Patience Ntwina.
Harrison Mwakyembe aliyesimama akizungumza katika hafla ya kukabidhi
Ofisi kwa Waziri Katiba na Sheria Prof Palamagamba Kabudi (aliyekaa
kulia kwake) na kushoto kwake ni Mkurugenzi wa Katiba na ufuatiliaji
Haki Wizarani Bw. Patience Ntwina.
Naibu Katibu Mkuu Bw. Amon Mpanju (aliesimama)
akizungumza katika hafla ya makabidhiano ya Ofisi katika ya Waziri
Katiba na Sheria Prof Palamagamba Kabudi (kushoto kwake) na Waziri wa
Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dkt Harrison Mwakyembe aliekaa
kushoto ni Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimali Watu Wizarani Bw.
Aloyce Mwogofu.
akizungumza katika hafla ya makabidhiano ya Ofisi katika ya Waziri
Katiba na Sheria Prof Palamagamba Kabudi (kushoto kwake) na Waziri wa
Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dkt Harrison Mwakyembe aliekaa
kushoto ni Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimali Watu Wizarani Bw.
Aloyce Mwogofu.
Baadhi ya watumishi wa Wizara wakishuhudia makabidhiano hayo ya
ofisi yalipofanyika Wizarani kati ya Waziri wa Habari, Utamaduni,
Sanaa na Michezo Dkt Harrison Mwakyembe na Waziri Katiba na Sheria
Prof Palamagamba Kabudi
ofisi yalipofanyika Wizarani kati ya Waziri wa Habari, Utamaduni,
Sanaa na Michezo Dkt Harrison Mwakyembe na Waziri Katiba na Sheria
Prof Palamagamba Kabudi
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dkt
Harrison Mwakyembe akisaini kitabu cha wageni
Harrison Mwakyembe akisaini kitabu cha wageni
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dkt
Harrison Mwakyembe akizungumza mara baada ya kukabidhi ofisi.
Harrison Mwakyembe akizungumza mara baada ya kukabidhi ofisi.
No comments :
Post a Comment