Thursday, February 23, 2017

WAZIRI WA MALIASILI NA UTALII, PROF. JUMANNE MAGHEMBE NA BAADHI YA WATUMISHI WAAGA MSAFARA WA KUNDI LA KWANZA LA WATUMISHI KUHAMIA DODOMA


1
Baadhi ya watumishi wakiangalia gari la Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) ambalo limebeba vifaa vya  ofisi vya kundi la kwanza la watumishi wa Wizara hiyo wanaohamia mjini Dodoma leo
2
Waziri wa Maliasili na Utalii, Prof. Jumanne Maghembe (kulia)  na baadhi ya watumishi wakiaga msafara wa kundi la kwanza la watumishi wa Wizara hiyo wanaohamia mjini Dodoma leo
3 4 5

No comments :

Post a Comment