Baadhi ya Wastaafu wa Serikali ya
Jamhuri ya Tanzania wakiwa katika lango la Wizara ya Fedha Zanzibar kwa
ajili ya kufanya uhakiki unaoendelea Wizarani hapo.
Mmoja kati ya Wastaafu wa Serikali
ya Jamhuri ya Tanzania akipelekwa katika chumba cha Uhakiki Zoezi
linaloendelea Wizara ya Fedha Zanzibar.
Mhakiki wa Wastaafu Mary
akiendelea kufanya kazi ya Uhakiki wa Wastaafu wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania ambapo Zoezi hilo linaloendelea Wizara ya Fedha Zanzibar.
Baadhi ya Wahakiki wakiendelea na Kazi ya Uhakiki wa Wastaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania .
Mhakiki wa Wastaafu Blandi Shija akimfanyia Uhakiki mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Msaidizi Mkaguzi Mkuu wa ndani wa
Serikali Stanslaus Mpempe akizungumza na Waandishi wa Habari kuhusiana
na Uhakiki wa Wastaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Zoezi
linaloendelea Wizara ya Fedha Zanzibar.
PICHA NA YUSSUF SIMAI -MAELEZO ZANZIBAR.
No comments :
Post a Comment