Saturday, February 11, 2017

TFF YAPONGEZA JUHUDI ZA UJENZI WA UWANJA CHUNYA


Jamal-Malinzi2
Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), limepongeza juhudi zinazofanywa na Serikali ya Wilaya Chunya mkoani Mbeya na Halmashauri ya Mji huo kujenga uwanja bora wa mpira kwa miguu kwa wakazi wa wilaya hiyo.

No comments :

Post a Comment