Tuesday, February 21, 2017

MAJALIWA AWASALIMIA WANANCHI WA BASHNET

unnamed

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwasalimia wananchi wa kijiji cha Bashnet wilayani Mbulu wakati aliposimama kijijini hapo akitoka Mbulu kwenda Hanang Februari 21, 2017.
(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments :

Post a Comment