Sunday, February 5, 2017

DK.SHEIN AWAANDALIA CHAKULA VIAJANA WA HALAIKI


 HAIK
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kushoto) akisalimiana na viongozi mara alipowasili katika viwanja vya Kambi ya KVZ Mtoni Mjini Magharibi Unguja leo katika  hafla ya  chakula maalum kwa Vijana walioshiriki Halaiki ya sherehe za Maadhimisho ya miaka 53 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar,
HAIK 1
  Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kushoto) akisalimiana na viongozi mara alipowasili katika viwanja vya Kambi ya KVZ Mtoni Mjini Magharibi Unguja leo katika  hafla ya  chakula maalum kwa Vijana walioshiriki Halaiki ya sherehe za Maadhimisho ya miaka 53 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar
HAIK 2
 Baadhi ya Viongozi walioshiriki katika hafla ya chakula cha mchana alichokiaandaa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi kwa Vijana wa halaiki walioshiriki katika sherehe za Mapinduzi ya mwaka 2017kutimiza miaka 53 katika viwanja wa Kambi ya KVZ Mkoa wa Magharibi Unguja leo.
HAIK 3
 Wakufunzi   wa  Vijana walioshiriki halaiki wakiimba wimbo maalum wakati wa  hafla ya chakula cha mchana alichokiaandaa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi kwa Vijana wa halaiki walioshiriki katika sherehe za Mapinduzi ya mwaka 2017 kutimiza miaka 53 katika viwanja wa Kambi ya KVZ Mkoa wa Magharibi Unguja leo.
HAIK 4
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) akiteta na Katibu wa Uhamasishaji Ali Mohamed Baraka (Shasha)(wa pili kulia) akiwepo Spika wa Baraza la Wawakilishi Mhe,Zubeir Ali Maulid (kulia) na Makamo wa Pili wa Rais Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi (kushoto) na Waziri wa nchi Ofisi ya rais tawala za Mikoa,Serikali za Mitaa na Idara maalum za SMZ Haji Omar Kheir, wakati wa hafla maalum ya chakula alichowaandalia Vijana walioshiriki katika Halaiki ya sherehe za maadhimisho ya miaka 53 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar iliyofanyika leo katika viwanja Kambi ya KVZ Mkoa wa Magharibi Unguja leo.
SHEI KULA
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (katikati ) akitia chakula wakati wa hafla maalum ya chakula aliyowaandalia Vijana walioshiriki katika Halaiki ya sherehe za maadhimisho ya miaka 53 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar iliyofanyika leo katika viwanja vya kambi ya KVZ Mkoa Magharibi Unguja.
SHEI KULA 1
 Baadhi ya Viongozi walioshiriki katika hafla ya chakula cha mchana alichokiaandaa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi kwa Vijana wa halaiki walioshiriki katika sherehe za Mapinduzi ya mwaka 2016 kutimiza miaka 53 katika viwanja wa Kambi ya KVZ Mkoa Magharibi Unguja iliyofanyika leo.

SHEI KULA 2

Baadhi ya Wakufunzi wakichukua Chakula kilichoandaliwa kwa Vijana walioshiriki katika halaiki  ya maadhimisho ya Sherehe za Miaka 53 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar  hafla hiyo iliyoandaliwa kwa ajili yao na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein katika viwanja vya Kambi ya KVZ Mtoni Mkoa wa Magharibi Unguja leo.
LAIKI
 Baadhi ya Vijana walioshiriki katika halaiki  ya maadhimisho ya Sherehe za Miaka 53 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar wakiwa katka hafla ya Chakula  katika hafla ya kilichoandaliwa kwa ajili yao na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein katika viwanja vya kambi ya KVZ Mtoni Mkoa Mjini Magharibi Unguja leo.
LAIKI 1

 Baadhi ya Vijana walioshiriki katika halaiki  ya maadhimisho ya Sherehe za Miaka 53 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar wakichukua Chakula  katika hafla ya iliyoandaliwa kwa ajili yao na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein katika viwanja vya kambi ya KVZ Mtoni Mkoa Mjini Magharibi Unguja leo.
LAIKI 2
Baadhi ya Vijana walioshiriki katika halaiki  ya maadhimisho ya Sherehe za Miaka 53 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar wakichukua Chakula  katika hafla ya iliyoandaliwa kwa ajili yao na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein katika viwanja vya kambi ya KVZ Mtoni Mkoa Mjini Magharibi Unguja leo.
LAIKI 3
Hawa ni miongoni mwa Vijana walioshiriki katika halaiki  ya maadhimisho ya Sherehe za Miaka 53 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar wakiwa katika hafla ya chakula kilichondaliwa kwa ajili yao na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein katika viwanja vya kambi ya KVZ Mtoni Mkoa Mjini Magharibi Unguja leo.
LAIKI 4
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) pamoja na Viongozi na kamati Uhamasishaji Vijana wa halaiki walioshiriki katika sherehe za Mapinduzi kutimiza   miaka 53 wakiwa katika picha ya pamoja katika viwanja Kambi ya KVZ Mtoni Mkoa wa Mjini Magharibi leo baada ya hafla ya chakula,[Picha na Ikulu.] 05/02/2017

No comments :

Post a Comment