Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Ardhi
Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Moses Kusiluka akifungua Semina ya
Uongozi kwa watendaji wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi
iliyofanyika katika Ukumbi wa BOT Jijini Dar es salaam.
Baadhi ya Watendaji wa Wizara ya
Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi wakifuatilia Semina ya Mafunzo ya
uongozi iliyofanyika Katika Ukumbi wa BOT Jijini Dar es salaam.
Muwezeshaji; Bwn. Peter K. Kiuluku
wa Taasisi ya Uongozi ya Afrika Mashariki na Kusini (ESAMI) akitoa Mada
katika Semina ya Uongozi kwa Watendaji wa Wizara ya Ardhi nyumba na
Maendeleo ya makazi.
Mjumbe wa semina; Bi. Teddy Njau
akisisitiza jambo wakati wa Semina ya Mafunzo ya uongozi iliyofanyika
Katika Ukumbi wa BOT Jijini Dar es salaam.
Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya
Utawala na Usimamizi wa Rasilimaliwatu; Bwn. Victor Kategere;
akisisitizia jambo wakati wa kufungwa kwa Semina ya Uongozi kwa
watendaji wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi
yaliyofanyika katika Ukumbi wa BOT Jijini Dar es salaam, kushoto kwake
ni Katibu Mkuu wa Wizara hiyo na anayemfuata ni Muwezeshaji; Bwn. Peter
K. Kiuluku wa Taasisi ya Uongozi ya Afrika Mashariki na Kusini (ESAMI)
Na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi
No comments :
Post a Comment