Friday, December 9, 2016

Rais Magufuli avunja mwiko na kuweka historia mpya JWTZ.

RAIS John Magufuli ametunuku Kamisheni kwa maofisa wanafunzi 194 wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) kundi la 59/15 katika viwanja vya Ikulu jijini Dar es Salaam.

No comments :

Post a Comment