Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa
akizungumza na watumishi wa Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro kwenye
ukumbi wa Ofisi za Mamlaka hiyo Desemba 6, 2016. (Picha na Ofisi ya
Waziri Mkuu)
Baadhi ya watumishi wa Mamlka ya
Hifadhi ya Ngorongoro wakimsikiliza Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa wakati
alipozungumza nao kwenye ukumbi wa Ofisi za Mamlaka hiyo Desemba 6,
2016.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
No comments :
Post a Comment