Wednesday, December 14, 2016

AKUTWA AMEKUFA CHINI YA MTO NG’OMBE DARAJA LA CHUO UBUNGO JIJINI DAR ES SALAA

ph1
Wananchi wakiaungali Mwili wa Mtu ambaye jina lake alikuweza kupatikana mara moja umekutwa umekufa kwa kifo cha kutatanisha  chini ya mto Ng’ombe  daraja la chuo Kikuu Ubungo jijini Dar es Salaam leo, chanzo cha mauaji hayo akijafahamika.
ph2
Mwili  wa mtu aliyekutwa amekufa eneo la mto Ng’ombe  daraja la chuo Ubungo jijini Dar es Salaam.
ph3
Wananchi wakiaungali Mwili wa Mtu ambaye jina lake alikuweza kufahamika mara moja uliokutwa umekufa kwa kifo cha kutatanisha  jijini Dar es Salaam.

No comments :

Post a Comment