Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa
Rais- Muungano na Mazingira Mh. January Makamba akimsikiliza kwa
umakini Balozi wa Korea Nchini Tanzania Bw. Chung IL alipomtembelea
Waziri Ofsini kwake mtaa wa Luthuli jijini Dar es Salaam kuzungumzia
masuala mbalimbali yanayohusu mazingira
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa
Rais- Muungano na Mazingira Mh. January Makamba akiwa katika mazungumzo
na Balozi wa Korea Nchini Chung IL (wa pili kushoto) Ofisini kwake
jijini Dar es Salaam. Wengine ni Afisa kutoka Ubalozi wa Korea, Afisa
toka Wizara ya Mambo ya nje na wa mwisho kulia ni Kaimu Mkurugenzi wa
Mazingira Ofisi ya Makamu wa Rais Bw. Richard Muyungi
No comments :
Post a Comment