Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli akiwa na Waziri wa Elimu,
Sayansi, Teknolojia na
Ufundi Profesa, Joyce Ndalichako, Mkuu wa Chuo
Kikuu Huria cha Tanzania (OUT) na Waziri Mkuu Mstaafu Mhe. Mizengo
Pinda, Mwenyekiti wa Baraza la Chuo Kikuu Huria cha
Tanzania Profesa Samuel Wangwe Makamu Mkuu wa Chuo hicho Prof. Elifas Bisanda wakiondoka jukwaa
kuu baada ya kuhitimisha mahafali ya 31 ya chuo hicho yaliyofanyika kwenye
kampasi ya OUT huko Bungo, Kibaha, mkoa wa Pwani leo Novemba 24, 2016.
(PICHA NA IKULU)
Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli akihutubia wakati wa mahafali ya
31 ya Chuo Kikuu Huria cha Tanzania yaliyofanyika kwenye kampasi ya
chuo hicho huko huko Bungo, Kibaha, mkoa wa Pwani leo Novemba 24, 2016
Waziri wa Elimu,
Sayansi, Teknolojia na Ufundi Profesa, Joyce Ndalichako, akizungumza kwenye mahafali hayo
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt
John Pombe Magufuli akipiga makofi wakati Mkuu wa Chuo Kikuu Huria cha Tanzania
(OUT) na Waziri Mkuu Mstaafu Mhe. Mizengo Pinda akimtunuku Shahada ya Uzamivu
ya Udaktari wa Falsafa mhitimu Hebson Opiyo Andala kutoka Rwanda wakati wa
mahafali ya 31 ya chuo hicho yaliyofanyika kwenye kampasi ya OUT huko Bungo,
Kibaha, mkoa wa Pwani leo Novemba 24, 2016
Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli akisalimiana na baadhi ya wahitimu
wa Shahada ya Uzamivu ya Udaktari wa Falsafa wakati wa mahafali ya
31 ya Chuo Kikuu Huria cha Tanzania yaliyofanyika kwenye kampasi ya
chuo hicho huko huko Bungo, Kibaha, mkoa wa Pwani leo Novemba 24, 2016
Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli akisalimiana na baadhi ya wahitimu
wa Shahada ya Uzamivu ya Udaktari wa Falsafa wakati wa mahafali ya
31 ya Chuo Kikuu Huria cha Tanzania yaliyofanyika kwenye kampasi ya
chuo hicho huko huko Bungo, Kibaha, mkoa wa Pwani leo Novemba 24, 2016
Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli akisalimiana na baadhi ya wahitimu
wa Shahada ya Uzamivu ya Udaktari wa Falsafa wakati wa mahafali ya
31 ya Chuo Kikuu Huria cha Tanzania yaliyofanyika kwenye kampasi ya
chuo hicho huko huko Bungo, Kibaha, mkoa wa Pwani leo Novemba 24, 2016
Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli akisalimiana na baadhi ya
wahadhiri wakati wa mahafali ya 31 ya Chuo Kikuu Huria cha
Tanzania yaliyofanyika kwenye kampasi ya chuo hicho huko huko Bungo,
Kibaha, mkoa wa Pwani leo Novemba 24, 2016
Mkuu wa Chuo Kikuu Huria cha Tanzania (OUT) na Waziri Mkuu Mstaafu Mhe. Mizengo Pinda akimtunuku Shahada ya Uzamivu ya Udaktari wa Falsafa mhitimu Philip Filikunjombe wakati wa mahafali ya 31 ya chuo hicho yaliyofanyika kwenye kampasi ya OUT huko Bungo, Kibaha, mkoa wa Pwani leo Novemba 24,
No comments :
Post a Comment