Madaktari Bingwa wa Moyo kutoka
Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) kwa kushirikiana na Madaktari
wenzao kutoka Taasisi ya Open Heart International (OHI) ya Nchini
Australia wakitoa huduma ya matibabu ya moyo bila ya kupasua kifua
(Catheterization) kwa mgonjwa. Kushoto ni Afisa Muuguzi Ayoub Mchau,
akifuatiwa na Dkt. Daniel Maclennan na kulia ni Dkt. Peter
Kisenge.(Picha na Anna Nkinda – JKCI)
Afisa Muuguzi wa Taasisi ya Moyo
ya Jakaya Kikwete (JKCI) Ayoub Mchau akiendelea na maandalizi ya kazi
ya kutoa huduma ya matibabu ya moyo bila ya kupasua kifua
(Catheterization) kwa mgonjwa huku Dkt. Daniel Maclennan (kulia) na
Dkt. Peter Kisenge (katikati) wakimtazama. Taasisi hiyo kwa
kushirikiana na Taasisi ya Open Heart International (OHI) ya Nchini
Australia hivi sasa iko katika kambi maalum ya siku sita ya upasuaji
kwa wagonjwa wa moyo na katika kambi hiyo wagonjwa 20 wanarajiwa kupata
matibabu.
Dkt. Bingwa wa Moyo kutoka
Taasisi ya Open Heart International (OHI) ya Nchini Australia akitoa
elimu kwa vitendo jinsi ya upasuaji wa moyo bila ya kupasua kifua
(Catheterization) kwa mgonjwa unavyofanyika. Taasisi hiyo kwa
kushirikiana na Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) wako katika
kambi maalum ya siku sita ya upasuaji kwa wagonjwa wa moyo ambapo kazi
hiyo inaenda sambamba na utoaji wa elimu kwa wataalamu wa ndani
wakiwemo madaktari, wauguzi, wagavi na mafundi wanaohusika na
utengenezaji wa mashine za kimatibabu.
Dkt. Bingwa wa Moyo kutoka
Taasisi ya Open Heart International (OHI) ya Nchini Australia akitoa
elimu kwa vitendo jinsi ya upasuaji wa moyo bila ya kupasua kifua
(Catheterization) kwa mgonjwa unavyofanyika. Taasisi hiyo kwa
kushirikiana na Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) wako katika
kambi maalum ya siku sita ya upasuaji kwa wagonjwa wa moyo ambapo kazi
hiyo inaenda sambamba na utoaji wa elimu kwa wataalamu wa ndani
wakiwemo madaktari, wauguzi, wagavi na mafundi wanaohusika na
utengenezaji wa mashine za kimatibabu.
Madaktari wakiendelea na kazi ya kutoa huduma ya matibabu ya moyo bila ya kupasua kifua (Catheterization) kwa mgonjwa.
Madaktari wakiendelea na kazi ya kutoa huduma ya matibabu ya moyo bila ya kupasua kifua (Catheterization) kwa mgonjwa.
Madaktari wakiendelea na kazi ya kutoa huduma ya matibabu ya moyo bila ya kupasua kifua (Catheterization) kwa mgonjwa.
No comments :
Post a Comment