Sunday, November 20, 2016

BALOZI SEIF AONGOZA KIKAO CHA MAANDALIZI YA SHEREHE ZA MIAKA 53 YA MAPINDUZI MATUKUFU YA ZANZIBAR


MAKAMU WA RAIS MHE. SAMIA SULUHU HASSAN AHIMIZA MATUMIZI YA TAKWIMU SAHIHI ILI KUHARAKISHA MAENDELEO

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, (aliyevaa joho jekundu), akiwa nje ya Ofisi Kuu ya Chuo cha Takwimu Mashariki mwa Afrika (EASTC) kilichoko Changanyikeni Jijini Dar es salaam, wakati wa Mahafali ya Pili ya Chuo hicho ambapo wahitimu 154 kutoka nchi nane Barani Afrika wametunukiwa Astashahada na Shahada za Takwimu Rasmi zinazotolewa na chuo hicho.
Askari wakipandisha bendera za mataifa mbalimbali ya Kiafrika ambazo wanafunzi wake wamehitimu astashahada na Shahada katika Chuo cha Takwmimu Mashariki mwa Afrika (EASTC) kilichoko Changanyoike Jijini Dar es salaam, wakati wa Mahafali ya Pili ya Chuo hicho ambapo wahitimu 154 kutoka nchi saba Barani Afrika wametunukiwa Astashahada na Shahada za Takwimu Rasmi zinazotolewa na chuo hicho.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akiwatunuku Astashahada na Shahada za Takwimu Rasmi wahitimu 154 kutoka nchi nane barani Afrika wakati wa Mahafali ya Pili ya Chuo cha Takwimu Mashariki mwa Afrika (EASTC) kilichoko Changanyikeni Jijini Dar es salaam, wakati wa Mahafali ya Pili ya Chuo hicho.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akiwatunuku Astashahada na Shahada za Takwimu Rasmi wahitimu 154 kutoka nchi nane barani Afrika wakati wa Mahafali ya Pili ya Chuo cha Takwimu Mashariki mwa Afrika (EASTC) kilichoko Changanyikeni Jijini Dar es salaam, wakati wa Mahafali ya Pili ya Chuo hicho.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, (kulia) na Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Philip Mpango (Mb), wakiimba wimbo wa Taifa kabla ya makamu wa Rais kuwatunuku vyeti wahitimu 154 kutoka nchi nane za bara la Afrika waliohitimu Astashahada na Shahada za Takwimu Rasmi zinazotolewa na Chuo cha Takwimu Mashariki mwa Afrika (EASTC) kilichoko Changanyikeni Jijini Dar es salaam, wakati wa Mahafali ya Pili ya Chuo hicho yaliyofanyika chuoni hapo.

PIERRE-EMERICK AUBAMEYANG AIZAMISHA BAYERN MUNICH

YAYA TOURE AREJEA DIMBANI KWA KISHINDO NA KUIPATIA USHINDI MANCHESTER CITY

SAMIA: WIZARA NA TAASISI ZA SERIKALI ZINAMATUMIZI MADOGO YA TAKWIMU

CRISTIANO RONALDO AFUNGA HAT-TRICK NA KUIZAMISHA ATLETICO MADRID

ARSENAL YALAZIMISHA SARE NA MANCHESTER UNITED DAKIKA ZA MWISHO

Goli la kusawazisha la Olivier Giroud la dakika ya 89, limeipatia Arsenal pointi moja na kuinyima Manchester United ushindi ambao walikuwa wakishahili kuupata katika dimba la Old Trafford.

Katika mchezo huo Juan Mata aliifungia Manchester United goli la kwanza kwa shuti la guu la kushoto, akiunganisha pasi ya Ander Herrera katika dakika ya 68.
Arsenal walikuwa hawajafanya jitihada zozote makini za kutafuta goli walijikuta wakisawazisha goli hilo kupiti Giroud aliyeunganishwa kwa kichwa krosi ya Alex Oxlade-Chamberlain.
          Kipa Petr Cech akiwa hana la kufanya baada ya kushindwa kuzuia shuti la Juan Mata
  Mshambuliaji Oliver Giroud akiwa ameruka juu na kupiga mpira kwa kichwa uliosawazisha goli

BUSU LA JLO LAVUNJA NDOA YA MARC ANTHONY NA MODO SHANNON DE LIMA

WANANCHI INDIA WAJITOLEA KUMCHANGIA FIGO WAZIRI WAO

KOCHA PEP GUARDIOLA AKANUSHA MADAI ALIYOTOA SAMIR NASRI

WHO YATANGAZA UGONJWA WA ZIKA KUWA SI JAMBO LA DHARURA KIMATAIFA

ABIRIA 10 WANUSURIKA KIFO BAADA YA BASI LAO KULIPUKA MOTO KENYA

Abiria wapatao 10 wamenusurika kifo baada ya basi walilopanda la Lamu kulipuka moto katika eneo la Gamba kwenye Kaunti ya Lamu Mkoa wa Mombasa nchini Kenya.

Hata hivyo mizigo yao yote iliyokuwamo kwenye basi hilo la kampuni ya Tahmeed, iliteketea kwa moto katika tukio hilo.
Kwa muijibu wa abiria, tukio hilo limetokea wakati wakielekea Mombasa kutokea Lamu, ambapo awali basi hilo lilipata hitilafu na baadhi ya abiria wakamishiwa kwenye basi lingine.

MKUU WA WILAYA YA TEMEKE AFUNGA MAFUNZO YA MGAMBO KUNDI LA 54/16

                                                               Baadhi ya Viongozi wenye Kampuni za Ulinzi
Mkuu wa Wilaya ya Temeke, Felix Lyaniva (wa pili kulia) akipokea risala kutoka kwa mmoja wa wahitimu , Asma Rajabu (kushoto) wakwanza kulia ni Kaimu Kamanda Kikosi cha 831 KJ Mgulani JKT Meja, Dorah Kawawa
Kaimu Kamanda Kikosi cha 831 KJ Mgulani JKT Meja, Dorah Kawawa akifatilia jambo kwa umakini
Luteni, Nelson Ponera akiangalia vijana wake wanavyo jituma mbele ya mgeni rasmi
 Mkuu wa Wilaya ya Temeke, Felix Lyaniva (wa katikati) akizungumza jambo wakati akifunga mafunzo ya Mgambo kundi la 54/16 yaliyofanyika viwanja vya JKT Mgulani Dar es Salaam, ambapo 482 wamehitimu Mafunzo hayo, kulia ni Kaimu Kamanda Kikosi cha 831 KJ Mgulani JKT Meja, Dorah Kawawa na Luteni, Nelson Ponera
Mmoja wa wahitimuwa wa mafunzo hayo akionyesha umahiri wake kwa kucheza karate

No comments :

Post a Comment