Mizigo ikitolewa kwenye gari.
Aman Issaya wa taasisi hiyo akiwa na kiroba cha sukari akielekea eneo la makabidhiano.
Mratibu wa Taasisi ya The Hope Campaign,
Mpelo Kapama, akiwa amebeba kiroba cha sukari wakati taasisi hiyo
ilipotoa msaada wa vyakula na vifaa vya shuleni kwa Kituo cha Yatima
Group Trust Fund cha Chamazi Temekie jijini Dar es Salaam leo.
Mkuu wa wilaya ya Ilala Mh. Sophia Mjema
akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake Ilala wakati
alipotangaza kupatikana kwa wanafunzi hewa 599 katika shule 6 za wilaya
hiyo ambapo uchunguzi wa wanafunzi wengine hewa bado unaendelea.
Mkuu wa wilaya ya Ilala Mh. Sophia Mjema
akisisitiza jambo wakati alipozungumza na waandishi wa habari ofisini
kwake Ilala wakati alipotangaza kupatikana kwa wanafunzi hewa 599 katika
shule 6 za wilaya hiyo, Kulia ni Mkurugenzi wa Wilaya hiyo Bw. Edward
Mpogolo.
Mkuu wa wilaya ya Ilala Mh. Sophia Mjema
akifafanua jambo wakati akizungumza na waandishi wa habari ofisini
kwake Ilala wakati alipotangaza kupatikana kwa wanafunzi hewa 599 katika
shule 6 za wilaya hiyo.
Mkuu
wa Wilaya ya Ilala Mh. Sophia Mjema ametangaza kupatikana kwa wanafunzi
hewa 599 katika shule 6 za wilaya ya Ilala ambazo hakuzitaja, Mjema
amesema baada uchunguzi huo kumegundulika wanafunzi idadi hiyo ya
ambapo wahusika wote watachukuliwa hatua za kinidhamu lakini pia sheria
itachukua mkondo wake kwani hayo ni makosa kama yalivyo makosa mengine
Wilaya
ya Ilala ina shule za sekondari za serikali 46 na za sekondari 49
ukiacha shule za taasisi binafsi ,zoezi la ukaguzi bado linaendelea
katika shule zote za msingi wilayani humompaka Septemba 1 mwaka huu
ndiyo litamalizika.
Akizungumzia
suala la Madawati mkuu wa wilaya huyo amewapongeza wadau wote
waliochangia madawati mpaka kuhakikisha uhaba wa madawati katika
wilaya ya Ilala unakwisha huku kukiwa ziada ya madawati 2821
Ameongeza kuwa kazi kubwa inayofuatia kwa sasa ni kuongeza vyumba vya madarasa ambapo kazi hiyo inaendelea vizuri .
Mh.
Sophia mjema pia amemshukuru Rais Dk. John Pombe Magufuli kwa kuanzisha
mkakati wa wadau kuchangia madawati jambo ambalo limesaidia tatizo
hilo kushughulikiwa kikamilifu na wadau mbalimbali, lakini pia
akampongeza Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Mh. Paul Makonda kwa
usimiamizi thabiti wa utekelezaji wa mkakati huo jambo ambalo limesaidia
wilaya ya Ilala kumaliza kabisa tatizo la uhaba wa madawati katika
shule za zake za msingi
Hii
ni zawadi ya heshima (tuzo) iliyotolewa na kampuni ya Puma Energy
Tanzania na kukabidhiwa kwa mshindi wa kwanza,Mwanafunzi wa darasa la
sita kutoka shule ya Msingi Bunge,Veronika Inocent.
Mkurugenzi
Mkuu kutoka kampeni ya Puma Energy Tanzania Ltd,Philippe Corsaletti
akimkabidhi tuzo/zawadi ya Begi na cheti mwanafuzi wa darasa la sita
kutoka shule ya Msingi Bunge,Veronika Inocent baada ya kuibuka mshindi
wa kwanza katika Kilele cha shindano la Uchoraji kwa ajili ya
kuhamasisha usalama barabarani katika shule za msingi jijini Dar Es
Salaam kwa mwaka 2016,hafla hiyo fupi iliyoandaliwa na Kampuni ya Puma
Energy Tanzania ilifanyika mapema leo katika viunga vya shue ya msingi
Bunge.
Mashindano
hayo yalihusisha shule kumi kwa upande wa Dar Es Salaam ambazo ni
Mwananyamala,Kisutu,Bunge,Kisiwani,Mchangani,Mnazini,Mwananyamala
B,Mikocheni,Mtendeni,Kisutu,Kisiwani na Ugindoni,Shule nyingine tatu ni
kutoa mkoa wa Geita ambazo zitashiriki na mchakato wa kuwapata
washindi,matokeo ya washindi wa mwisho yatatangazwa wakati wa kilele cha
cha wiki ya Usalama barabarani ambayo inatarajia kufanyika hivi
karibuni 
Mwanafuzi
wa darasa la sita kutoka shule ya Msingi Bunge,Veronika Inocent akilia
kwa furaha mara baada ya kuibuka mshindi wa kwanza katika Kilele cha
shindano la Uchoraji kwa ajili ya kuhamasisha usalama barabarani katika
shule za msingi jijini Dar Es Salaam kwa mwaka 2016,hafla hiyo fupi
iliyoandaliwa na Kampuni ya Puma Energy Tanzania ilifanyika mapema leo
katika viunga vya shue ya msingi Bunge.
Mkuu
wa Kikosi cha Usalama Barabarani nchini,Kamanda Mohamed Mpinga pamoja
na Waandaji kutoka kampuni ya Puma Energy Tanzania na AMEND wakitafuta
washindi watatu wa shindano la uchoraji katika masuala mazima ya
kuhamasisha usalama barabarani 2016.
Mkuu
wa Kikosi cha Usalama Barabarani nchini,Kamanda Mohamed Mpinga
akimkabidhi Mwanafunzi wa darasa la sita,Shaaban zawadi ya Begi na
Cheti,kutoka shule ya msingi Bunge baada ya kuibuka mshindi wa tatu
katika Kilele cha shindano la Uchoraji kwa ajili ya kuhamasisha usalama
barabarani katika shule za msingi jijini Dar Es Salaam kwa mwaka
2016,hafla hiyo fupi iliyoandaliwa na Kampuni ya Puma Energy Tanzania
ilifanyika mapema leo katika viunga vya shue ya msingi Bunge.
Picha
ya Pamoja na Washindi watatu shindano la Uchoraji kwa ajili ya
kuhamasisha usalama barabarani katika shule za msingi jijini Dar Es
Salaam kwa mwaka 2016.
Baadhi ya Wanafunzi walioshiriki na kuibuka na zawadi kutoka Kampuni ya Puma Energy Tanzania .
Mkurugenzi
Mkuu kutoka kampeni ya Puma Energy Tanzania Ltd,Philippe Corsaletti
alisema kuwa shindano hilo linalenga kusaidia kuelimisha Wanafunzi wa
shule za msingi katika masuala ya Usalama barabarani."Mpangp wetu wa
usalama barabarani kwa mashule hapa Tanzania ulianza toka mwaka 2013 na
mpaka sasa shule za msingi zipatazo 30 zimeshiriki,ikiwa ni jumla ya
wanafunzi 38,638",alisema Philippe.Alisema kuwa shindano hilo pia
linalenga kumpatia Mwanafunzi nafasi ya kushiriki mawazo
Waziri Mkuu, Kassim Majliwa na Mkewe Mary wakimtazama mtoto
Nchambi Peter aliyeungua moto wakati walipotemblea hospitali ya wilaya ya
Mpanda Agosti 21, 2016. Kulia ni Mam wa mtoto huyo, Dotto Makengele. (PICHA NA OFISI YA WAZIRI MKUU)
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa na Mkewe Mary (kulia
kwake)wakizungumza na wagonjwa wakati walipotembelea hospitali ya wilaya ya
Mpanda wakiwa katika siku ya kwanza ya ziara ya mkoa w Katazi Agosti 21, 2016
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa na Mkewe Mary (kulia
kwake)wakizungumza na wagonjwa wakati walipotembelea hospitali ya wilaya ya
Mpanda wakiwa katika siku ya kwanza ya ziara ya mkoa w Katazi Agosti 21, 2016
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa na Mkewe Mary (kulia
kwake)wakizungumza na wagonjwa wakati walipotembelea hospitali ya wilaya ya
Mpanda wakiwa katika siku ya kwanza ya ziara ya mkoa w Katazi Agosti 21, 2016
Waziri Mkuu,Kassim Majlaiwa na mkewe Mary wakitazama watoto
mapacha wa kiume waliozaliwa na Bi Sikudhani Rashidi usiku wa kuamkia
Agosti 21, 2016 katika hospitali ya wilaya ya Mpanda
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu
Hassan akizungumza wakati wa mkutano na Watendaji wa Ofisi yake Idara ya
Mazingira Ikulu jijini Dar es Salaam.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza wakati wa mkutano na Watendaji wa Ofisi yake Idara ya Mazingira, kushoto ni Waziri wa nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Mhe. January Makamba na kulia ni Katibu Mkuu Oisi ya Makamu wa Rais Bw. Mbaraka Abduwakil Ikulu jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi Msaidizi Idra ya Mazingira Bi. Esther Makwaia akiwasilisha taarifa ya hali ya Mazingira nchini kwenye mkutano na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu, Ikulu jijini Dar es Salaam
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza wakati wa mkutano na Watendaji wa Ofisi yake Idara ya Mazingira mara baada ya kupata taarifa za maendeleo, mipango na mikakati ya Idara hiyo, kulia ni Waziri wa nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Mhe. January Makamba. (Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais)
Waziri wa nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Mhe. January Makamba akifafanua jambo kwenye mkutano wa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan pamoja na Watendaji wa Idara ya Mazingira (Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais)
.................................................
Askari wa Kikosi cha Uokoaji cha
Zimamoto wakizima moto uliokuwa ukiteketeza ghala la Kampuni ya Boss
Shopping Centre Ltd zilimo kuwa zikihifadhiwa bidhaa mbalimbali eneo la
Viwanda Chang'ombe jijini Dar es Salaam leo mchana.
wananchi wakijadiliana jambo eneo la tukio.
Kazi ya uokoaji ikiendelea.
Askari wa uokoaji wakiwa kazini.
Mmoja wa wamiliki wa ghala hilo akisaini fomu ya uzimaji wa moto huo.
Moto ukiendelea kuwaka
Wananchi wakiwa eneo la tukio.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza wakati wa mkutano na Watendaji wa Ofisi yake Idara ya Mazingira, kushoto ni Waziri wa nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Mhe. January Makamba na kulia ni Katibu Mkuu Oisi ya Makamu wa Rais Bw. Mbaraka Abduwakil Ikulu jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi Msaidizi Idra ya Mazingira Bi. Esther Makwaia akiwasilisha taarifa ya hali ya Mazingira nchini kwenye mkutano na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu, Ikulu jijini Dar es Salaam
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza wakati wa mkutano na Watendaji wa Ofisi yake Idara ya Mazingira mara baada ya kupata taarifa za maendeleo, mipango na mikakati ya Idara hiyo, kulia ni Waziri wa nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Mhe. January Makamba. (Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais)
Waziri wa nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Mhe. January Makamba akifafanua jambo kwenye mkutano wa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan pamoja na Watendaji wa Idara ya Mazingira (Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais)
.................................................











No comments :
Post a Comment