Thursday, August 25, 2016

Jenista Mhagama kufungua Maonesho ya wajasiriamali.

pix 1
Katibu Mtendaji wa Baraza la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi (NEEC) Bi. Benga’i Issa wa kwanza kulia akiongea na waandishi wa habari hawapo pichani kuhusu maonesho ya wajasiriamali yataofanyika Septemba 26 mwaka huu jijini Dar es salaam , kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Sekta  Binafsi nchini (TPSF) Bw. Godfrey Simbeye.
pix 2
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Sekta  Binafsi nchini (TPSF)  Bw. Godfrey Simbeye kushoto akiongea na waandishi wa habari hawapo pichani kuhusu maonesho ya wajasiriamali yataofanyika Septemba 26 mwaka huu jijini Dar es salaam, kulia ni Katibu Mtendaji wa Baraza la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi (NEEC) Bi. Benga’i Issa.
Picha Zote Na Ally Daud-Maelezo

Mkurugenzi wa masuala ya nje ya SABMiller afanya ziara ya kikazi nchin

MEO1
Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda Biashara na Uwekezaji Dk,Adhelm Meru akisalimiana na Bw.Monwabisi Fendeso alipowasili ofisini kwake na ujumbe wake kwa ziara ya kikazi
MEO2
Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda Biashara na Uwekezaji Dk,Adhelm Meru katika mazungumzo na Monwabisi Fendeso na ujumbe wake
MEO3
Mkurugenzi Mtendaji wa Tanzania Private Sector Foundation,Bw.Godfrey Sembeye akibadilishana mawazo na Monwabisi Fendeso kutoka SABMiller Africa walipokutana jijini Dar es Salaam jana
MEO4
Monwabisi Fendeso na ujumbe wake katika majadiliano na watendaji wa Chama cha Wafanyabiashara
…………………………………………………………………….

No comments :

Post a Comment