Waziri
wa Afya Mahamoud Thabit Kombo akizungumza na Balozi wa Kuwait nchini
Tanzaania Jasem Al Najim alipomtembelea Ofisini kwake kumuelezea juu ya
Mradi wa kuifanyia matengenezo makubwa Hospitali Kuu ya Mnazimmoja,
Mjini Zanzibar.
Waziri
wa Afya Mahamoud Thabit Kombo akiwa na mgeni wake Balozi wa Kuwait
nchini Tanzania akimtembelea Hospitali Kuu ya Mnazimmoja ambayo
itafanyiwa matengenezo makubwa na Serikali ya nchi hiyo.
Waziri
wa Afya Mahmoud Thabit Kombo na Balozi wa Kuwait nchini Tanzania
wakitembelea wagonjwa waliolazwa katika wodi ya wanaume waliopata ajali
katika Hospitali Kuu ya Mnazimmoja.
Balozi
wa Kuwait Jasem Al-Njim akiangali chumba cha kuhifadhia maiti
(mortuary) ya Hospitali Kuu ya Mnazimmoja ambapo alisema sehemu hiyo
itakuwa ya kwanza kufanyiwa matengenezo makubwa.Balozi wa Kuwait Jasem
Al-Njim akiangali chumba cha kuhifadhia maiti (mortuary) ya Hospitali
Kuu ya Mnazimmoja ambapo alisema sehemu hiyo itakuwa ya kwanza kufanyiwa
matengenezo makubwa
WANANCHI WA KITONGOJI CHA PERA CHALINZE WAANZA KAMPENI YA KUPAMBANA NA MLIPUKO WA KIPINDUPINDU
………………………………………………………………………………………………
NA VICTOR MASANGU, CHALINZE
TANZIA: ANKAL MICHUZI AFIWA NA MWANAE
Ankal
Issa Michuzi anasikitika kutangaza kifo cha mwanae Maggid Muhidin
kilichotokea jana Jumapili huko Durban, Afrika Kusini, alikokuwa
masomoni.
Mipango
ya kuusafirisha mwili wa marehemu inafanywa, msiba utakuwa Tabata
Mawenzi jijini Dar es salaam ambako ratiba ya mazishi itatoka mara tu
baada ya mwili kuwasili.
Habari ziwafikie ndugu, jamaa, majirani na marafiki popote pale walipo.
Innalillah wa inna ilayhi raajiun.
TAMKO KUHUSU MWENENDO WA UGONJWA WA KIPINDUPINDU NCHINI
Serikali
kupitia Wizara yangu inaendelea na utaratibu wa kutoa taarifa ya
mwenendo wa mlipuko wa ugonjwa wa Kipindupindu nchini kila wiki kama
tulivyoahidi. Takwimu za ugonjwa huu zinaonyesha kuwa hadi kufikia
tarehe 08 Mei 2016, kulikuwa na jumla ya wagonjwa 21,262 ambao
wametolewa taarifa ya kuwa na ugonjwa huu, na kati ya hao, watu 333
wamepoteza maisha.
MBUNGE JIMBO LA MOSHI MJINI,JAFARY MICHAEL ATEMBELEA KATA ZILIZOATHIRIKA NA MVUA ZILIZONYESHA HIVI KARIBUNI.
Mbunge
wa Jimbo la Moshi mjini ,Jafary Michael (mwenye suti) akiwa na Mstahiki
Meya wa Manispaa ya Moshi,Raymond Mboya (Kulia) wakizungumza na Diwani
wa kata ya Ng’ambo ,Genesis Kiwhelu walipofika katika kata hiyo kujionea
athari za miondombinu iliyotokana na mvua zilizonyesha hivi karibuni.
Sehemu ya miondo mbunu ya maji ikiwa imeharibika.
Mbuge
Jafary Michael na Mstahiki Meya ,Raymond Mboya pamoja na Diwani wa kata
ya Ng’ambo Genesis Kiwhelu wakiangalia eneo la daraja lililopo katka
kata hiyo namna lilivyoharibika kutokana na mvua zilizonyesha hivi
karibuni.
Sehemu ya daraja hilo.
Mstahiki
Meya wa Manispaa ya Moshi,Raymond Mboya akiwa katika moja ya kivuko
kilichopo kata ya Ng’ambo akiangalia athari ya mvua zilizonyesha hivi
karibuni.
Diwani
wa kata ya Msaranga,Anna Mushi akimueleza jambo Mbunge wa Jimbo la
Moshi mjini,Jafary Michael alipofanya ziara ya kujionea athari ya mvua
zilizonyesha hivi karibuni na kuharibu miundombinu.

Sehemu ya Korongo lililopo katika kati hiyo lililotokana na mvua .
Mbunge
wa jimbo la Moshi mjini ,Jafary Michael akisaidia kupalia mahindi
wakati akiwa katika kata ya Msaranga akitembelea kujionea athari ya mvua
iliyosababisha uharibifu mkubwa wa miundo mbinu.
Mstahiki
Meya wa manispaa ya Moshi,Raymond Mboya akisadia kaika palizi la
Mahindi katika moja ya shamba lililopo kata ya Msaranga.
Diwani
wa kata ya Mji Mpya Abuu Shayo akimueleza jambo Mbunge wa jimbo la
Moshi mjini Jafaryy Michael alipofika katika kata hiyo kujionea athari
ya mvua iliyosababisha uharibifu mkubwa wa miundombinu .
Diwani
wa kata ya Njoro ,Jomba John Koi akionesha sehemu ya uharibifu
uliotokana na mvua zilizonyesha hivi karibuni na kuharibu miundombinu.
Fastjet Yachukua ubingwa wa bonanza la Fastjet sport extra
DC wa Wilaya ya Shinyanga akabidhi hati 92 za kimila
![]() |
| Haji Kihwele kutoka shirika la Oxfam akizungumza wakati wa hafla ya kukabidhi hati za hakimiliki za kimila zilizofanyika katika kijiji cha Nyida. |
![]() |
| kurugenzi wa SHIDEPHA+ Venance Muzuka akizungumza wakati wa hafla ya kukabidhi hati za hakimiliki za kimila zilizofanyika katika kijiji cha Nyida. |
![]() |
| Wakazi wa kijiji cha Nyida wakihudhuria hafla ya kukabidhi hati za hakimiliki za kimila. |
![]() |
| Wakazi wa kijiji cha Nyida wakiangalia hati zao walizopokea. |
![]() |
| Wakazi wa kijiji cha Nyida wakihudhuria hafla ya kukabidhi hati za hakimiliki za kimila. |
MKUU
wa Wilaya ya Shinyanga, Josephine Matiro amekabidhi jumla ya hati za
hakimiliki za kimila 92 kwa wakazi wa kijiji cha Nyida mkoani Shinyanga.
MAKAMU WA RAIS MHE. SAMIA SULUHU HASSAN, AWAHUTUBIA WANAWAKE KWENYE MAADHIMISHO YA SIKU YA MAMA MJINI DODOMA
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan,
akiangalia Bidhaa za aina mbalimbali zinazotengenezwa na Wajasiriamali
wadogowadogo kwenye maonesho ya maadhimisho ya siku ya Mama na sherehe
ya kumpongeza kwa kuchaguliwa Makamu wa Rais wa kwanza Mwanamke.
Maadhimisho hayo yaliyoandaliwa na Jumuiya ya UWT Taifa yamefanyika leo
Mei 8,2016 katika viwanja vya Nyerere Square mjini Dodoma.
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan,
akiangalia Bidhaa za aina mbalimbali zinazotengenezwa na Wajasiriamali
wadogowadogo kwenye maonesho ya maadhimisho ya siku ya Mama na sherehe
ya kumpongeza kwa kuchaguliwa Makamu wa Rais wa kwanza Mwanamke.
Maadhimisho hayo yaliyoandaliwa na Jumuiya ya UWT Taifa yamefanyika leo
Mei 8,2016 katika viwanja vya Nyerere Square mjini Dodoma.
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan,
akimkabidhi cheti mmoja kati waliofanya vizuri kwenye maonesho ya
maadhimisho ya siku ya Mama na sherehe ya kumpongeza kwa kuchaguliwa
Makamu wa Rais wa kwanza Mwanamke. Maadhimisho hayo yaliyoandaliwa na
Jumuiya ya UWT Taifa yamefanyika leo Mei 8,2016 katika viwanja vya
Nyerere Square mjini Dodoma.
Wananchi
wa Mkoa wa Dodoma wakimsikiliza Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan,alipokua akihutubia kwenye
maadhimisho ya siku ya Mama na sherehe ya kumpongeza kwa kuchaguliwa
Makamu wa Rais wa kwanza Mwanamke yaliyofanyika leo Mei 8,2016 katika
viwanja vya Nyerere Square mjini Dodoma.
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan,
akihutubia Wanawake kwenye maadhimisho ya siku ya Mama na sherehe za
kumpongeza kwa kuchaguliwa Makamu wa Rais Mwanamke wa kwanza
yaliyoandaliwa na Jumuiya ya UWT Taifa yaliyofanyika leo Mei 8,2016
katika viwanja vya Nyerere Square mjini Dodoma.
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan,
akionesha Tunzo alizokabidhiwa na UWT Taifa kwa ajili ya kumpongeza kwa
kuchaguliwa Makamu wa Rais wa Kwanza Mwanamke kwenye maadhimisho ya siku
ya Mama yaliyoandaliwa na Jumuiya ya UWT Taifa yaliyofanyika leo Mei
8,2016 katika viwanja vya Nyerere Square mjini Dodoma.
Vikundi
mbalimbali vya Ngoma Vikitumbuiza kwenye maadhimisho ya siku ya Mama na
kumpongeza Makamu wa Rais kwa kuchaguliwa Makamu wa Rais wa kwanza
Mwanamke yaliyoandaliwa na Jumuiya ya UWT Taifa yaliyofanyika leo Mei
8,2016 katika viwanja vya Nyerere Square mjini Dodoma.Vikundi
mbalimbali vya Ngoma Vikitumbuiza kwenye maadhimisho ya siku ya Mama na
kumpongeza Makamu wa Rais kwa kuchaguliwa Makamu wa Rais wa kwanza
Mwanamke yaliyoandaliwa na Jumuiya ya UWT Taifa yaliyofanyika leo Mei
8,2016 katika viwanja vya Nyerere Square mjini Dodoma.
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan,
akiagana na Wanawake na Wananchi wa Dodoma baada ya kuwahutubia kwenye
maadhimisho ya siku ya Mama na kumpongeza kwa kuchaguliwa Makamu wa Rais
wa kwanza Mwanamke yaliyoandaliwa na Jumuiya ya UWT Taifa yaliyofanyika
leo Mei 8,2016 katika viwanja vya Nyerere Square mjini Dodoma.(Picha na
OMR)
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan,
akiagana na Wanawake na Wananchi wa Dodoma baada ya kuwahutubia kwenye
maadhimisho ya siku ya Mama na kumpongeza kwa kuchaguliwa Makamu wa Rais
wa kwanza Mwanamke yaliyoandaliwa na Jumuiya ya UWT Taifa yaliyofanyika
leo Mei 8,2016 katika viwanja vya Nyerere Square mjini Dodoma.(Picha na
OMR)
NAIBU WAZIRI AGELINA MABULA AFUNGUA MKUTANO WA BARAZA LA WAFANYAKAZI WA WIZARA YA ARDHI
Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na maendeleo ya Makazi Mh. Angelina Mabula
akifungua mkutano wa Baraza la Wafanyakazi wa Wizara ya Ardhi, Nyumba
na maendeleo ya Makazi uliofanyika mwishoni mwa wiki katika ukubi wa
mikutano wa Shirika la Nyumba Upanga jijini Dar es salaam, Naibu Waziri
Angelina Mabula amewaasa wafanyakazi wa wizara hiyo kufanya kazi kwa
nidhamu na uadilifu kwani kumekuwa na malalamiko kutoka katika
halmashauri mbalimbali nchini wananchi wakilalamikia wafanayakai wa
idara za Ardhi jambo ambalo ziyo zuri, Jirekebisheni mfanye kazi kwa
maslahi ya watanzania ili wananchi waweze kutatuliwa shida zao katika
masuala ya migogoro ya ardhi bila matatizo wala vikwazo.
Katibu Mkuu Wizara ya Ardhi, Nyumba na maendeleo ya Makazi Bw. Yamungu Kayandabila akimkaribisha Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na maendeleo ya Makazi Mh. Angelina Mabula
ili kufungua mkutano wa Baraza la Wafanyakazi wa Wizara hiyo katika
mkutano uliofanyika mwishoni mwa wiki Upanga jijini Dar es salaam.
Baadhi ya wafanyakazi wakimsikiliza Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na maendeleo ya Makazi Mh. Angelina Mabula wakati alipokuwa akifungua rasmi mkutano huo.
Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na maendeleo ya Makazi Mh. Angelina Mabula
akiwa ameketi meza kuu pamoja na Katibu Mkuu wa wizara hiyo Bw. Yamungu
Kayandabila watatu kutoka kushoto pamoja viongozi wa Baraza la
Wafanyakazi Wizara ya Ardhi.
NAIBU WAZIRI ANGELINA MABULA AFUNGUA MKUTANO WA BARAZA LA WAFANYAKAZI WA NHC
Naibu
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. Dkt Angeline
Mabula akifungua rasmi mkutano wa Baraza la wafanyakazi wa Shirika la
Nyumba la Taifa NHC uliofanyika mwishoni mwa wiki kwenye makao makuu ya
shirika hilo Upanga jijini Dar es salaam ambapo alilipongeza shirika
hilo kwa kazi nzuri ambayo wafanyakazi wake wanaifanya kwani ndiyo
shirika pekee la Serikali linaloendeshwa kwa ufanisi mkubwa na kuiletea
heshima serikali, Waziri Mabula amewaambia wafanyakazi wa shirika hilo
pamoja na Menejimenti yake kuendelea na kazi nzuri ambayo wamekuwa
wakiifanya ili kuleta maendeleo zaidi nchini katika sekta ya
nyumba.PICHA NA JOHN BUKUKU-FULLSHANGWE-DAR ES SALAAM
Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. Dkt Angeline Mabula akifungua
mkutano wa baraza la wafanyakazi katika mkutano uliofanyika mwishoni
mwa wiki katikia makao makuu ya shirika hilo Apanga kulia ni Mkurugenzi
wa Shirika hilo Bw. Nehemia Mchechu na kushoto ni Adolf Kasegenya Katibu
wa Baraza la Wafanyakazi TAMICO NHC.
Naibu
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. Dkt Angeline
Mabula Mkurugenzi wa Shirika hilo Bw. Nehemia Mchechu kulia na
Adolf Kasegenya Katibu wa Baraza la Wafanyakazi TAMICO NHC kushoto
wakiimba wimbo wa wafanyakazi kabla ya kuanza kwa mkutano huo.
Naibu
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. Dkt Angeline
Mabula na Mkurugenzi wa Shirika hilo Bw. Nehemia Mchechu wakifurahia
jambo wakati wa mkutano huo.
Baadhi ya wafanyakazi wa Shirika la Nyumba wakifuatilia mkutano huo.
Mkurugenzi wa Shirika hilo Bw. Nehemia Mchechu
na Naibu Waziri Angelina Mabula wakiwa katika picha ya pamoja na
wafanyakazi wa shirika hilo baada ya kuufungua rasmi mkutano huo.
MTANGAZAJI WA CNN RICHARD QUEST AFURAHISHWA NA VIVUTIO VUA UTALII TANZANIA KATIKA MAONESHO YA INDABA
Kwa mara nyingine tena
Tanzania inashiriki katika onesho la kimataifa la Utalii la INDABA
yanayofanyika huko Afrika Kusini maonesho hayo yalianza jana tarehe 7
Mei na yanatarajiwa kumalizika tarehe 9 Mei, 2016. jijini Durdan,
Bodi ya Utalii (TTB) ndio waratibu wa onesho kwa upande wa Tanzania.
Katika onesho hili TTB inashirki pamoja na taasisi za TANAPA na Mamlaka
na Hifadhi ya Ngorongoro pamoja na makampuni mbalimbali binafsi Zaidi ya
30 ya sekta ya Utalii .
Katika siku yake ya kwanza Banda
la Tanzania limetembelewa na wadau wengi wakiwemo watalii, waandishi wa
habari za utalii, mawakala wa Utalii nk. Miongoni mwa watu mashuhuri
waliotembelea Banda la Tanzania ni Mwandishi maarufu na mtangazaji wa
Kimataifa kutoka Shirika la habari la CNN la Marekani Bwana Richard
Quest ambaye alifurahishwa na vivutio vua utalii nchini Tanzania mara
baada ya kupata maelezo kutoka kwa Maofisa wa Bodi ya Utalii Tanzania
TTB.
Baadhi
ya wagenimbalimbali waliotembelea katika banda la Tanzania katika
maonesho ya Utalii ya Indaba yanayofanyika katika jiji la Durban nchini
Afrika Kusini.
Baadhi ya wageni wakipata taarifa mbalimbali kutoka katika banda la Tanzania.
Wageni mbalimbali wakiwa katika banda la Tanzania.
WANAMUZIKI WA NYIMBO ZA INJILI WAJIUNGA NA MFUKO WA TAIFA WA BIMA YA AFYA (NHIF)
Kaimu
Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Sanaa, kutoka Wizara ya Habari,
Utamaduni, Sanaa na Michezo, Joyce Hagu (wa pili kushoto), akimkabidhi
Katibu wa Chama cha Muziki wa Injili Tanzania (Chamuita), Stellah Joel,
kadi ya Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), katika hafla ya uzinduzi
wa huduma hiyo kwa waimbaji wa nyimbo za injili uliofanyika Dar es
Salaam jana. Kutoka kushoto ni Mlezi wa chama hicho, Askofu Dk. Rejoyce
Ndalima na Rais wa chama hicho, Ado Novemba.
Hapa mwimbaji nguli wa nyimbo za injili Mzee Kitenzogu Makassy akikabidhiwa kadi yake baada ya kujiunga na NHIF.
Burudani kutoka Kwaya ya Victorous Station ya Mwananyamala ikiendelea.
Wanakwaya wakibadilishana mawazo katika uzinduzi huo.
Burudani zikiendelea.
Waimbaji wa kwaya ya Kanisa la Nabii Flora la Salasala wakitoa burudani.
Wanakwaya ya Ukombozi ya Kanisa la Anglikana Tegeta wakionesha umahiri wa kumtukuza mungu kwa kuimba.
Muonekano wa meza kuu katika uzinduzi huo.
Ushuhuda ukitolewa kuhusu mungu anavyowatendea watu wake miujuzi.
Mlezi wa chama hicho, Askofu Dk. Rejoyce Ndalima (kushoto), akiwa ameketi na mgeni rasmi mama Joyce Hagu.
Maofisa
wa NHIF kutoka Wilaya ya Kinondoni wakiwa tayari kuwandikisha wanachama
wapa katika uzinduzi huo. Kutoka kulia ni Derick Ndyetabula, Margaret
Malangalila na Dk.Fortunatus Salala.
Mchungaji
David Nyanda ambaye ni muimbaji (wa pili kulia), akionesha manjonjo
wakati akitoa burudani kwa kuimba katika uzinduzi huo.
Katibu wa Chama cha Muziki wa Injili Tanzania (Chamuita), Stellah Joel akizungumza kwenye uzinduzi huo.
Waimbaji na maofisa wa NHIF kutoka Kinondoni wakifuatilia uzinduzi huo.
Rais wa Chamuita, Ado Novemba akizungumza kwenye uzinduzi huo.
Furaha na shangwe zikiendelea katika uzinduzi huo watu wote mikono juuu.
Meneja wa NHIF Wilaya ya Kinondoni, Constantine Makala akitoa darasa kuhusu faida za kujiunga na NHIF na jinsi ya kujiunga.
Dk.Fortunatus Salala wa NHIF akizungumza kwenye uzinduzi huo.
Mmoja
wa waimbaji wa nyimbo za injili akielezea jinsi alivyonufaika na mfuko
huo baada ya kujiunga miezi miwili iliyopita pamoja na mke wake.
Kaimu
Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Sanaa, kutoka Wizara ya Habari,
Utamaduni, Sanaa na Michezo, Joyce Hagu (kushoto), akionesha kadi za
wanachama hao baada ya kuzizindua. Kulia ni Maadam Ruti Mwamfupe.
…………………………………………………………………………………………
Na Dotto Mwaibale
…………………………………………………………………………………………
Na Dotto Mwaibale
WANACHAMA
wa Chama cha Muziki wa Injili Tanzania (Chamuita), wamejiunga na Mfuko
wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), ili waweze kupata matibabi ya uhakika
pindi watakapo umwa.
SPIKA AFUNGUA MKUTANO WA CHAMA CHA WABUNGE WANAOPAMBANA NA RUSHWA
Spika
wa Bunge Mhe. Job Ndugai akifungua Semina wa Chama cha Wabunge
wanaopambana na Rushwa-Tanzania Mjini Dodoma leo tare 8 Mei, 2016.
Spika
wa Bunge Mhe. Job Ndugai akifungua Semina wa Chama cha Wabunge
wanaopambana na Rushwa-Tanzania Mjini Dodoma leo tare 8 Mei, 2016
Spika
wa Bunge Mhe. Job Ndugai ( katikati pamoja na viongozi wengine
wakifuatilia uwasilishwaji wa mada wakati wa Semina wa Chama cha Wabunge
wanaopambana na Rushwa-Tanzania. Wengine katika ni , Waziri wa Nchi
Ofisi ya Rais Utumishi na Utawala Bora Mhe. Angela Kairuki (kushoto) na
Cecilia Paresso (Mb) – Makamu Mwenyekiti wa Chama hicho.
Wakili wa kujitegemea Bw. Said Yakubu akiwasilisha mada wakati wa Semina wa Chama cha Wabunge wanaopambana na Rushwa-Tanzania.
(Picha na Ofisi ya Bunge)


























No comments :
Post a Comment