Kamishina
Msaidizi wa Ustawi wa Jamii, Beatrice Fungamo (katikati), akiwasili
katika viwanja vya Shule ya Msingi Msimbazi Mseto jijini Dar es Salaam
baada ya kushiriki matembezi ya hiari ya kuadhimisha siku ya Watoto wenye Usonji yaliyofanyika jijini Dar es Salaam, mwishoni mwa wiki.
Kamishina
Msaidizi wa Ustawi wa Jamii, Beatrice Fungamo (kushoto), akipeana mkono
na Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA), mara baada ya
kushiriki matembezi ya hiari ya kuadhimisha siku ya watoto wenye usonji yaliyofanyika jijini Dar es Salaam, mwishoni mwa wiki. Katikati ni Mwenyekiti wa Chama cha Kuhudumia Watu Wenye Usonji Tanzania (NAPAT), Dk. Stella Rwezaula.
Baadhi ya watu waliohudhuria maadhimisho ya Siku ya Watoto wenye Usonji.
Wazazi waliohudhuria maadhimisho ya Siku ya Watoto wenye Usonji.
Baadhi ya wanachama wa Lions Club of Dar es Salaam Mzizima ambao walikuwa wadhamini wa maadhimisho hayo.
Baadhi ya watu waliohudhuria maadhimisho hayo.
Mwenyekiti wa Chama cha Kuhudumia Watu Wenye
Usonji Tanzania (NAPAT), Dk. Stella Rwezaula akizugumza katika maadhimisho hayo.
Usonji Tanzania (NAPAT), Dk. Stella Rwezaula akizugumza katika maadhimisho hayo.
Rais wa Lions Club of Dar es Salaam Mzizima akizungumza katika maadhimisho hayo.
Watu waliohudhuria maadhimisho hayo wakipata viburudisho.
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA), Joel Laurent akizungumza wakati wa matembezi ya hiari ya kuadhimisha siku ya watoto wenye Usonji.
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA), Joel Laurent akizungumza wakati wa matembezi ya hiari ya kuadhimisha siku ya watoto wenye Usonji.
Kamishina Msaidizi wa Ustawi wa Jamii, Beatrice Fungamo (kushoto), akizungumza wakati wa matembezi ya hiari ya kuadhimisha siku ya watoto wenye usonji yaliyofanyika jijini Dar es Salaam.
Kamishina Msaidizi wa Ustawi wa Jamii, Beatrice Fungamo (kushoto), akimkabidhi cheti cha shukrani Rais wa Lions Club of Dar es Salaam Mzizima kwa kufanikisha maadhimisho hayo.
MWILI WA MAREHEMU HENRY KIHERILE WAAGWA HOUSTON, TEXAS
Jioni
ya jana Jumamosi (16/04) Jumuiya ya Watanzania waishio katika jiji la
Houston na miji mingine ya karibu ilifanya Ibada Takatifu katika kanisa
la Umoja kumuaga mpendwa wao Henry Kiherile aliyefariki wiki moja na
nusu iliyopita baada ya kupigwa risasi na watu wasiojulikana. Ibada hiyo
ilihudhuriwa na idadi kubwa ya watu waliokuwa na huzuni kubwa juu ya
kifo hicho kilichogusa mioyo ya watu wengi. Mwili wa marehemu Henry
unatarajiwa kusafirishwa jioni ya leo kuelekea nyumbani Tanzania kwa
mazishi yanayotarajiwa kufanyika jijini Dar es Salaam siku ya Ijumaa
tarehe 22/04/2016. Pata picha za Misa hiyo hapa chini.
![]() |
| Marehemu Henry Kiherile enzi za uhai wake |
| Gari lililobeba mwili wa Henry likiingia kanisani |
| Wachungaji wakiwa nje ya kanisa kabla ya ibada |
| Jeneza lililobeba mwili wa Henry likiingizwa kanisani |
| Dada Lulu ( mdogo wa Marehemu Henry ) akimuaga kwa uchungu kaka yake |
| Mr. & Mrs. Tenende ( Baba na Mama mkubwa wa marehemu ) wakiwa kanisani |
Chinese Association for International Understanding (CAFIU) Promotes Chinese and African Non Governmental Organization (NGOs) Cooperation – Beijing, China
The African Delegation from three
countries Tanzania, Kenya and Botswana in a meeting with CAFIU Deputy
Secretary General Mr. Liu Kaiyang and other CAFIU Staff in CAFIU Office
in Beijing China March 22, 2016.
The Delegation participating in
the presentations on : China and Africa Relations presented by Xu
Weizhong, Director of African Studies from China Institutes of
Contemporary International Relations and China Poverty Reduction Program
and external assistance by Dr. Tan Weiping, Deputy Director of
International Poverty Reduction Center in March 23, 2016 in Beijing
China
The Tanzania Delegation presents a
gift to Dr. Xu Weizhong, Director of African Studies from China
Institutes of Contemporary International Relations after presentation.
From left are Mr. George Muntu, Mr. Fred Maiga, Ms. Philomena Marijani,
Mr. Joseph Kahama and Catherine Mfinanga in Beijing China March 23, 2016
The African delegation in a
discussion with Prof. LIU Hongwu , Academic Leader and Director at
Institute of African Studies Zhejiang Normal University during their
visit to the University, March 27, 2016 at Zhejiang Province
Tanzania Delegation took a memorial photo at the banner that shows the previous visit of the 3rd
President of the United Republic of Tanzania, H.E. Benjamin Mkapa at
Zhejiang Normal University. From left are Ms. Catherine Mfinanga, Ms.
Philomena Marijani, Mr. Joseph Kahama and Mr. Fred Maiga.
The Heads of African Delegation
Mr. Joseph Kahama from Tanzania and Puso Gaborone from Botswana
handing over a gift on behalf from African Delegation to the Leader of
Zhejiang Provincial Committee of the Chinese People’s Political
Consultative Conference. The gift was a table traditional cloth made
from Tanzania in March 29, 2016 during their visit at Zhejiang
Province.
The evaluation meeting of the
program chaired by Wang Lin, CAFIU Director for Asian and African
Affairs Divisions and Wang Xiaoyi, CAFIU Officer for Asian and African
Affairs during the final day of the Program in March 30, 2016 at
Hangzhou E-M Grand Hotel.
The evaluation meeting of the
program chaired by Wang Lin, CAFIU Director for Asian and African
Affairs Divisions and Wang Xiaoyi, CAFIU Officer for Asian and African
Affairs during the final day of the Program in March 30, 2016 at
Hangzhou E-M Grand Hotel.
…………………………………………………………………………………………………….
By Philomena Marijani, Advocacy and Communications Manager, WAMA Foundation
The Chinese Association for
International Understanding (CAFIU) has called for collaboration between
Chinese and African Non Governmental Organization (NGOs) so as to
increase bilateral cooperation between China and Africa. The call was
made by CAFIU Deputy Secretary General, Liu Kaiyang during the meeting
that was held in CAFIU office in Beijing, China two weeks ago with
African Delegation from three countries: Tanzania, Kenya and Botswana.
CAFIU invited the delegates from
three African countries to discuss on how the Non- Governmental
Organizations (NGOs) from China and Africa can collaborate in supporting
the development of the communities in respective countries. The program
also aimed at creating awareness to the delegates from Tanzania, Kenya
and Botswana on China recent development and discusses the ways of
strengthening the cooperation between China and respective African
countries. The program took place from March 21-30, 2016 in Beijing and
Zhejiang, China.
Giving out their observations,
the representatives from three countries explained the need for Chinese
Social Organizations to work closely with the target communities and
partner with local NGOs that include youths related NGOs, Scouts, and
Girl Guide associations. They also proposed the Chinese Associations to
work with media to increase visibility so as public can understand their
activities hence enhance partnership.
Other observation made was on
communication issue. It was agreed that it’s good the people from both
parties to be encouraged to learn different languages. For example in
Tanzania there are Confucius Institutes (the Chinese teaching and
cultural transmission) at the University of Dar es Salaam, University of
Dodoma and Zanzibar Journalism and Mass Media College. Also the Chinese
Language has also been introduced in six schools in Dar es Salaam,
Dodoma and Morogoro. Tanzanians who are interested to learn Chinese
language can use these opportunities available. When people are skilled
with different language it’s an easy path for easy collaboration in
different sectors include business.
The delegates also had the
opportunity to meet and have a discussion with Qi Xuchun, CAFIU Vice –
President who is also Vice chairman of the National Committee of the
Chinese People’s Political Consultative Conference (CPPCC) at the Great
Hall of the People in
Beijing.
Addressing the delegates Mr.
Qi Xuchun said China and Africa are brothers and it has been shown
during the Forum on China and Africa Cooperation (FOCAC) meetings. He
advised the delegates apart from learning from other countries they need
to identify their own strategies and paths for development.
“Both China and Africa has a
long history. Indeed, Botswana, Kenya and Tanzania are very important
part of China Foreign Policy. We will work together with African
countries and stand ready for friendship and cooperation; for people to
people and country to country” You need to have confidence, believe in
yourself, in your people, your country. Find a road map that is
peaceful and good to your country development.” Said Mr. Xuchun
The African delegates had an
opportunity to visit Zhejiang Province in which the G20 Summit will take
place in September this year. The G20 Summit will take place in
Hangzhou, Zhejiang- China in September 2016 and leaders from different
countries in the world are expected to attend the summit. Zhejiang
Province is situated in the coastal area in southeast China and borders
Shangai on the North.
In Zhejiang Province the
delegates had an opportunity to visit different places include:
Municipal Government of Yiwu City; Met the Leader of Zhejiang
Provincial Committee of the Chinese People’s Political Consultative
Conference; Visited the Institute of African Studies, Zhejiang Normal
University, the University has a great relationship with the
Universities in Tanzania include University of Dar es Salaam and Dodoma.
Most of the Tanzanians scholars had opportunities to be engaged in this
university. For people who are interested to know more about this
university can visit their website: http://ias.zjnu.cn and http://iso.zjnu.edu.cn
Also the delegates visited the
Suoyuan Village which is one of the top ten villages in Zhejiang
Provinces. The village provides an opportunity for the students from
18 years and above as well as other people all over the world to learn
about Chinese traditional and culture. The deadline for application is
April 30, 2016. For more information about the village and application
visit the website: http://jinhua-homestay.com/en/suoyuan.php
The program was a well organized
and very beneficial to delegates from three countries Tanzania, Kenya
and Botswana. It enhanced their knowledge about China and Africa
relations and about the opportunities available for cooperation in
different sectors to include education and business.
The delegates from Tanzania that
were sponsored by CAFIU through the Embassy of China in Tanzania to
attend the program were: (1) Mr. Joseph Kahama, Secretary General of
Tanzania – China Friendship Promotion Association (The Head of
Delegation from Tanzania); (2) Mr. Fred Maiga, Board Member of Tanzania –
China Friendship Promotion Association; (3) Mr. George Muntu, a member
of Tanzania – China Friendship Promotion Association; (4) Ms.
Philomena Marijani, Advocacy and Communications Manager at WAMA
Foundation and Ms. Catherine Mfinanga, Field Officer at WAMA
Foundation.
Chinese Association for
International Understanding (CAFIU) is a non- profit organization
established in 1981 committed to enhance mutual understanding and
friendly cooperation between China and other countries. CAFIU and its
partners conduct its activities in form of exchange visits and study
tours, organizing high level dialogues for domestic and overseas
participants as well as supporting Chinese NGOs in international
exchanges and poverty alleviation programs.
MBUNGE WA MKURANGA MH. ABDALLAH ULEGA AGAWA VIFAA VYA MICHEZO KATIKA SHULE ZA SEKONDARI
Mbunge wa Jimbo la mkuranga Abdallah Ulega akikabidhi jezi seti 20 na mipira 20 kwa walimu na manahodha wa shule zote za Sekondari zilizopo wilayani humo jana .shule hizo hivi sasa zipo kwenye maandalizi ya mashindano ya UMISETA Picha na David John
……………………………………………………………………………………….
MBUNGE wa Jimbo la Mkuranga Abdallah Ulega amekabidhi jezi seti20 na mipira 20 zenye thamani ya sh.milioni 4katika shule zote za Sekondari zilizopo katika Jimboni hapa.
Akikabidhi jezi hizo wilayani hapa jana katika hafla
fupi iliyowakutanisha walimu wakuu,wanamichezo,watendaji wa halmashauri
,pamoja na Ofisa Elimu ,Ulega amesema ameamua kutoa vifaa hivyo Kwa
lengo la kusaidia Serikali katika juhudi za kuinua michezo lakini pia
nisehemu ya Kazi zake kama Mbunge.MBUNGE wa Jimbo la Mkuranga Abdallah Ulega amekabidhi jezi seti20 na mipira 20 zenye thamani ya sh.milioni 4katika shule zote za Sekondari zilizopo katika Jimboni hapa.
Amesema kuwa michezo licha ya
kujenga utimamu wa mwili lakini pia ni ajira huku akitoa mfano Kwa
Mbwana Samatta anavyofanikiwa na leo anakipiga Ulaya.
“Ndugu zangu walimu na manahodha
wa timu zote Kutoka shule 20 za sekondari zilizoponda ndani ya Jumbo
langu la Mkuranga nimetoa vifaa hivi ili muweze kushiriki vyema katika
michezo ya shule za Sekondari UMISETA nakutuletea mafanikio,”alisem
Ulega
pia amesema kuwa anatambua kuwa
kuna changamoto za kutosha katika michezo hususani vifaa vya michezo Kwa
kutambua hilo ameamua kutoa vifaa hivyo huku akiwataka wanafunzi na
walimu hao kusimamia vyema.
Aidha Mbunge Ulega amehaidi kutoa
ushirikiano wa dhati Kwa walimu na viongozi mbalimbali wa halmashauri
hiyo ili Kwa pamoja kuharakisha maendeleo jimboni hapa ikiwamo michezo.
Pia amewaambia viongozi hao
kujenga mashirikiano ya Katibu na yeye kama mwakilishi wao yupo tayari
Kwa wakati wowote kutumika na kusikiliza maoni yao.
Kwaupande wake Ofisa Elimu wa
Halmashauri Kwa upande wa shule za Sekondari Benjamini Majoya
akizungumza katika hafla hiyo alisema kuwa Mbunge Ulega amefanya jambo
ambalo halijawahi kufanywa Kwa viongozi wengine waliotangulia.
Amesema kuwa watamuunga mkono Mbunge huyo Kwa kuhakikisha wanafanya vizuri katika nyanja ya Elimu na michezo Kwa ujumla.
“Kwanza tunashukuru Kwa vifaa
hivi kwani vimekuja katika wakati muhimu ambapo tunakwenda katika
mashindano ya UMISETA na Kwa vifaa hivi ushindi upo,”amesema Majoya
Pia ameongeza kuwa hakuna ubishi
kwamba michezo ni ajira hivyo lazima watahakikisha vijana hao wanafanya
vizuri katika michezo na taaluma pia
Waumini wa Askofu Gwajima wachangia Damu Muhimbili
Waumini wa Kanisa la Ufufuo na
Uzima linaongozwa na Askofu Josephat Gwajima wakiwa kwenye foleni kwa
ajili ya kuchangia damu ili kuokoa maisha ya wagonjwa wenye mahitaji ya
damu. Shughuli hiyo imefanywa jana na Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH)
kwa kushirikiana na Mpango wa Taifa wa Damu Salama.
Mshauri wa MN, Erica Ishengoma
akiandika maelezo baada ya kumsikiliza mmoja wa waumini wa kanisa hilo,
huku wengine wakiwa kwenye foleni kabla ya kutoa damu.
Ofisa Uhamasishaji wa uchangiaji
damu salama, Hamisi Kubiga (kulia) na Erica Ishengoma wakiwapatia chupa
maalumu za kuweka damu baada ya kupima uzito.
Wataalamu wa maabara, Peter
Onesmo (kulia) na Anthony (wa pili kulia) wa Hospitali ya Taifa
Muhimbili (MNH) wakiendelea kutoa damu baada ya waumini hao kujitokeza
kwa wingi jana katika kanisa hilo lilipo Ubungo jijini Dar es Salaama.
Mtaalamu wa maabara Anthony wa Hospitali ya Taifa Muhimbili akiendelea na shughuli ya utoaji damu jana katika kanisa hilo.
Hawa Hamisi (18) akichangia damu
jana. Hawa amesema kuwa anasikia fahari kuchangia damu ili kuokoa maisha
ya wagonjwa wanaohitaji damu katika hospitali hiyo.
Mtaalamu wa maabara wa MNH,
Sebastian Magulu akiandaa chupa za damu baada ya waumini wa kanisa hilo
kutoa damu jana tayari kwa kuhifadhiwa na kusafirishwa hadi Hospitalia
ya Taifa ya Muhimbili.
Muumini wa kanisa hilo, Vedasto Aloysi akitolewa damu jana katika kanisa hilo na mtaalamu wa maabara na Peter Onesmo.
Picha zote na John Stephen, Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH)
………………………………………………………………………………………………….
Na Neema Mwangomo
Dar es Salaam, Tanzania.
Waumini wa Kanisa la Ufufuo na Uzima linaloongozwa na Askofu Josephat
Gwajima wamejitokeza kwa wingi kuchangia damu jana ili kuokoa maisha ya
wagonjwa wanaohitaji damu katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH).
Katika shughuli hiyo ya utoaji
damu MNH kwa kushirikiana na Mpango wa Taifa wa Damu Salama, Kanda ya
Mashariki wamefanikiwa kukusanya zaidi ya chupa nyingi za damu.
Akizungumzia shughuli hiyo
Ofisa Uhamasishaji wa Damu salama wa MNH, Hamisi Kubiga amesema kwamba
mahitaji ya damu katika hospitali hiyo ni makubwa kwani kwa siku chupa
zinazotakiwa kukusanywa ni 70 hadi 100 ili kuweza kukidhi mahitaji ya
wagonjwa wanaohitaji damu.
Kubiga amesema kuwa baadhi ya
makundi ambayo yanauhitaji mkubwa wa damu ni kina mama wajawazito,
majeruhi, na wagonjwa wa saratani hivyo amewaomba Watanzania wajitokeze
kwa wingi kuchangia damu ili kuokoa maisha ya wagonjwa.
“Hivi sasa tunaendesha mpango
wa uchangiaji damu, tunashukuru wapo wananchi wamejitokeza lakini bado
tunawaomba wananchi, taasisi kampuni binafsi na umma waje kwa wingi ili
kwa pamoja tuwasaidie wenzetu wenye uhitaji,” amesema Kubiga.
Shughuli ya utoaji damu inaendelea jumapili ijayo kwenye kanisa hilo la Ufufu na Uzima.
Endapo taasisi, kanisa, shule
na makundi mengine yanataka kuchangia damu. Wawasiliane na Mkuu wa Idara
ya Maabara wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili kwa namba 0754 575 981, Mkuu wa Idara ya Maabara namba0713 777 595 na Ofisa Uhamasishaji wa Damu salama wa hospitali hiyo namba 0754 597 165.


No comments :
Post a Comment