Thursday, April 14, 2016

RAIS DKT. JOHN POMBE MAGUFULI APOKEA HATI ZA UTAMBULISHO WA MABALOZI KUTOKA NCHI MBALIMBALI IKULU JIJINI DAR ES SALAAM.

jpm1

 


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipokea Hati ya Utambulisho kutoka kwa Balozi Mteule wa nchi ya Jamhuri ya Czech hapa nchini  Pavel Rezac, tukio hilo lilifanyika Ikulu jijini Dar es Salaam.
jpm2
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimkaribisha Ikulu jijini Dar es Salaam Balozi Mteule wa nchi ya  Jamhuri ya Czech hapa nchini  Pavel Rezac.
jpm3
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na Balozi Mteule wa nchi ya Jamhuri ya Czech hapa nchini  Pavel Rezac mara baada ya kukabidhi hati zake za utambulisho Ikulu jijini Dar es Salaam.
jpm4
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na Balozi mteule kutoka nchi ya  Jamhuri ya Sudani Kusini Mariano Deng Ngor aliyefika Ikulu kwa ajili ya kuwasilisha hati yake za utambulisho.
jpm5
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na Balozi Mteule wa nchi ya Jamhuri ya Sudani Kusini Mariano Deng Ngor aliyefika Ikulu kwa ajili ya kuwasilisha hati yake za utambulisho.
jpm6
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipokea Hati ya Utambulisho kutoka kwa Balozi Mteule wa Brazil hapa nchini Carlos Alfonso Iglesias Ikulu jijini Dar es Salaam.
jpm7
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na Balozi Mteule wa Brazil hapa nchini Carlos Alfonso Iglesias Ikulu jijini Dar es Salaam.
jpm8
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na Balozi Mteule wa Tanzania nchini Kuwait Mahadhi  Juma Maalim Ikulu jijini Dar es Salaam. Balozi Mahadhi alifika Ikulu kwa ajili ya kuagana na Mhe. Rais kwa ajili ya kwenda kuanza kazi yake hiyo rasmi nchini Kuwait.
jpm9
Kaimu Mnikulu Ngusa Samike kulia akimkaribisha Balozi Mteule wa Brazil Carlos Alfonso Iglesias Ikulu jijini Dar es Salaam katikati ni Kaimu Mkuu wa Itifaki James Mbwana kutoka Wizara ya Mambo ya Nje Ushirikiano wa Afrika Mashariki, kikanda na Kimataifa.
PICHA NA IKULU

MADAKTARI NA WAUGUZI JIJINI ARUSHA WAFIKIWA NA LANCET TANZANIA LTD,YAFUNGUA MAABARA YA KISASA JIJINI ARUSHA.

Dixon Busagaga
to Ahmad, Adam, me, Francisgodwin2., MUHIDIN, Othman, Josephat, Cathbert, Mroki, Maggid, Haki, John, Robert, Othman, Richard, Deogratius, Yusuf, Mbeya, Luke, Shamim, Jestina, Maxence, Francis, MR, Khalfans2002
Mtafiti wa magonjwa mbalimbali Dkt Ahmed Kalebi akizungumza na madaktari na wauguzi kutoka katika Hospitali mbalimbali za jijini Arusha,wakati wa warsha iliyofanyika katika jengo ilipo Benki ya ABC.
Baadhi ya Madaktari na wauguzi katika Hospitali mbalimbali za jijini Arusha wakifuatilia mada iliyokuwa ikitolewa na Mtafiti wa Magonjwa mbalimbali Dkt Ahmed Kalebi (hayupo pichani)
Mtafiti Dkt Kalebi akizungumza juu ya ugonjwa a kisukari namna ambavyo umekuwa ukiwasumbua watu wengi kwa sasa.
Madaktari na wauguzi wakifuatilia mada.
Dkt Kalebi akisikiliza maswali kutoka madaktari mara baada ya kuwasilisha mada kuhusu magonjwa mbalimbali 
Mganga Mfawidhi wa Hosptali ya mkoa wa Arusha,Mt Meru ,Dkt Jackline Urioh akizungumza namna ambavyo watashirikiana na Lancet Tanzania Ltd katika kutumia maabara ya kisasa iliyofunguliwa jijini Arusha kwa ajili ya kufanya uchunguzi wa magonjwa mbalimbali.
Mtafiti Dkt Ahmed Kalebi (kulia) akimshukuru mganga mfawidhi Dkt Jackline Urioh mara baada ya kutoa neno kwa niaba ya mganga mkuu wa mkoa katika warsha hiyo iliyoenda sanjari na ufunguzi wa maabara ya kisasa ya Lancet.
Mmoja wa Madaktari waliohudhuria warsha hiyo akiuliza swali .
Washiriki wa warsha hiyo wakifurahia jambo mara baada ya kupata maelezo mbalimbali kuhusu magonjwa ya Saratani na Kisukari.
 Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii Kanda ya Kaskazini.

WAZIRI WA CZECH REPUBLIC NA UJUMBE WA WAFANYABIASHARA WATEMBELEA KIWANDA CHA MAZIWA MILKCOM KIGAMBONI

1
Marian Jureck Waziri wa Kilimo wa wa Jamhuri ya watu wa Czech Republic  akiangalia chakula cha Ng’ombe wakati alipotembelea mashamba ya ng’ombe na kiwanda cha MilkCom kinachomilikiwa na makampuni ya OilCom Group  kilichopo Kigamboni wilayani Temeke jijini Dar  es salaam akiongozana na ujumbe wa wafanyabiashara kutoka nchini humo, Ujumbe huo ulikuja nchini kwa lengo la kuangalia fursa za uwekezaji  zilizopo  nchini Tanzania na ushirikiano wa kibiashara kati ya nchi hizi mbili.(PICHA NA JOHN BUKUKU-FULLSHANGWE-KIGAMBONI)
3
Marian Jureck Waziri wa Kilimo wa wa Jamhuri ya watu wa Czech Republic akiongozwa na Mkurugenzi wa kiwanda cha Milkcom Bw. Salum Nahdi wakati alipokuwa akitembelea kiwanda hicho.
4
Baadhi ya ng’ombe katika shabla la kampuni ya MilkCom
5
Mkurugenzi wa Kiwanda cha Milkcom Bw. Salum Nahdi kulia, Mh. Balozi wa Heshima wa Jamhuri ya Czech Republic nchini Tanzania Mh.John Chaggama na SAid Nahdi Mkurugenzi wa Makampuni ya OilCom Group wakifurahia jambo wakati wa ziara hiyo ya ujumbe wa Czech Republic.
6
Baadhi ya wafanyabiashara hao wakikagua eneo la kukamulia maziwa.
7
Dk. Sajeev Kumar Meneja wa Shamba la mifugo akitoa maelezo kwa Marian Jureck Waziri wa Kilimo wa wa Jamhuri ya watu wa Czech Republic na ujumbe wake wakati alipotembelea shamba hilo.
10
Marian Jureck Waziri wa Kilimo wa wa Jamhuri ya watu wa Czech Republic akiuliza jambo wakati alipotembelea shamba la ng’ombe la Milkcom.
11
Meneja wa Shamba la ng’ombe la Milkcom akitoa maelezo kwa Marian Jureck Waziri wa Kilimo wa wa Jamhuri ya watu wa Czech Republic na ujumbe wake wakati alipotembekea katika shamba hilo.
13
Ng’ombe wa maziwa wakikamuliwa kwa mashine maalum.
14
Francis Gatara Meneja wa uzalishaji kiwanda cha maziwa cha Milkcom akitoa maelezo kwa Marian Jureck Waziri wa Kilimo wa wa Jamhuri ya watu wa Czech Republic wa tatu kutoka kulia , kulia ni Mkurugenzi wa Kiwanda hicho Bw. Salim Nahdi.
15
Marian Jureck Waziri wa Kilimo wa wa Jamhuri ya watu wa Czech Republic  wa pili kutoka kulia na baadhi ya wafanyabiashara wakiangaliwa pakiti za maziwa ambayo tayari yameshazalishwa kwa ajili ya kuingizwa kwenye soko.
16
Marian Jureck Waziri wa Kilimo wa wa Jamhuri ya watu wa Czech Republic wa pili kutoka kulia na Mkurugenzi wa kiwanda hicho Salim Nahdi  wa tatu kutoka kulia wakionyesha pakiti za maziwa yaliyokwasha tengenezwa tayari kuingiua kwenye soko.
17
Marian Jureck Waziri wa Kilimo wa wa Jamhuri ya watu wa Czech Republic akipokea zawadi kutka kwa Salim Nahdi Mkurugenzi wa kiwanda cha maziwa cha Milkcom.
18
Marian Jureck Waziri wa Kilimo wa wa Jamhuri ya watu wa Czech Republic akiwa katika picha ya pamoja na uongozi wa kiwanda cha Milkcom na ujumbe wa wafanyabiashara alioongozana nao.

Mkuu wa wilaya arudi uwanjani rasmi

KA1
Mkuu wa wilaya Iringa Bwana Richard Kasesela, baada ya kazi jana alijiunga na wana chuo cha RUCU kucheza mpira wa kikapu. Mchezo ambao alikuwa akicheza enzio hizo. Mkuu huyo wa wilaya aliahidi kuukuza mchezo huo mkoani Iringa.
KA2 KA3

UFINYU WA BAJETI KATIKA SEKTA YA MICHEZO UMECHANGIA KITUO CHA MICHEZO SONGEA KUSHINDWA KUENDESHA MAFUNZO KWA WANAMICHEZO

WB
Na Mwandishi Maalum – Songea
 Ufinyu wa Bajeti katika sekta ya michezo umechangia kwa kiasi kikubwa kwa kituo cha Michezo cha kanda ya Kusini- Songea  kushindwa kuendesha mafunzo ya muda mfupi kwa  makocha, marefarii, madaktari wa michezo, uongozi na utawala  katika michezo.

Ndanda Kosovo azikwa katika makaburi ya Kinondoni leo

085A9851
WAZIRI wa Habari, Vijana, Sanaa, Utamaduni na Michezo, Nape Nnauye pamoja na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mh. Paul Makonda wamewaongoza mamia ya waombolezaji katika shughuli ya mazishi ya staa wa Muziki aliyefariki mwishoni mwa wiki iliyopita, Ndanda Kosovo ‘Kichaa’ katika Makaburi ya Kinondoni jijini Dar,
Mwanamuziki huyo Ndanda Kosovo ‘Kichaa’ amezikwa leo Jumatano kwenye Makaburi ya Kinondoni jijini Dar ambapo maandalizi yamefanyika kwenye nyumba ya Ubalozi wa Congo DRC iliyopo Kinondoni-Hananasif jijini.
Dodoo alisema wameamua kumzika marehemu hapa nchini kufuatia wosia wake alioutoa mbele ya Waziri wa Habari, Vijana, Sanaa, Utamaduni na Michezo, Nape Nnauye wakati akizungumza na wanamuziki wa dansi katika Ukumbi wa Vijana Kinondoni mwezi uliopita.
Katika kikao hicho Ndanda alisimama na kusema endapo akifa basi maiti yake izikwe hapa Tanzania kwa kuwa ndipo mahali alipopatia mafanikio makubwa ya kimuziki na anahisi ndiyo sehemu ambayo atazikwa na watu wengi kuliko Lubumbashi alikozaliwa
IMG_6672
IMG_6702
IMG_6704
IMG_6697
IMG_6626
IMG_6633
IMG_6381
IMG_6443
IMG_6491
IMG_6544
IMG_6589

KUBENEA HAUKUMIA KIFUNGO CHA NJE


Mhe. Said Kubenea– Mbunge wa Jimbo la Ubungo (CHADEMA).
 ………………………………………………………………………………………………………….
Na. Raymond Mushumbusi– Dar es salaam.
  Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imemuhukumu mbunge wa Ubungo (CHADEMA) Saeed Kubenea kifungo cha nje cha miezi mitatu kutokana kosa la kutumia lugha ya matusi dhidi ya aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Paul Makonda ambaye sasa ni Mkuu wa
Mkoa wa Dar es Salaam.
 

NHC YAFUNGUA OFISI ZAKE ZA MAUZO YA MRADI WA KAWE-711


Pichani waweza kuona mita chache kutoka mzunguko (round about) ya Kawe kuelekea Mbezi Beach ya chini, pinda kona kulia kwako utauona Mradi Wa Kawe-711. Karibu upate maelezo na kuona maendeleo ya mradi.
Unapovuka mzunguko wa Kawe kuelekea Mbezi Beach ya chini unaweza kuona majengo ya NHC Kawe -711 yaliyojengwa kwa mpangilio makini  kata kulia kwako utauona mradi huo. Karibu upate maelezo na kuona maendeleo ya mradi.
Majengo ya mradi wa nyumba za makazi na biashara ya Kawe 711 yaliyojengwa kwa mpangilio makini   yanavyoonekana hivi sasa. Karibu upate maelezo na kuona maendeleo ya mradi.
Unapochepuka kulia utakutana na barabara ya vumbi mbele yako majengo ya mradi wa nyumba za makazi na biashara ya 711 yaliyojengwa kwa mpangilio makini, hapo ndipo zilipo ofisi za mauzo za mradi huo Karibu upate maelezo na kuona maendeleo ya mradi.
Geti la kuingilia kwenye mradi wa nyumba za makazi na biashara ya 711 yaliyojengwa kwa mpangilio makini, hapo ndipo zilipo ofisi za mauzo za mradi huo. Karibu upate maelezo na kuona maendeleo ya mradi.
 Bango la mradi huo 
Jengo la  mradi wa nyumba za makazi na biashara ya 711 yaliyojengwa kwa mpangilio makini, hapo ndipo zilipo ofisi za mauzo za mradi huo .Karibu upate maelezo na kuona maendeleo ya mradi.
Ufikapo katika jengo hilo utakutana na sura za maafisa mauzo wachangamfu watakaokuhudumia pale pale na kukuonyesha maendeleo ya mradi na sehemu nyumba hizo zilipo kiasi kwamba sasa hautasumbuka kwenda mjini na baadaye kuelekezwa zilipo site.
 Ufikapo katika jengo hilo utakutana na sura za maafisa mauzo wachangamfu watakaokuhudumia pale pale na kukuonyesha maendeleo ya mradi na sehemu nyumba hizo zilipo kiasi kwamba sasa hautasumbuka kwenda mjini na baadaye kuelekezwa zilipo site.
Ofisi za mauzo za mradi wa NHC Kawe 711 zinavyoonekana utakatibishwa maafisa mauzo wachangamfu watakaokuhudumia pale pale na kukuonyesha maendeleo ya mradi na sehemu nyumba hizo zilipo kiasi kwamba sasa hautasumbuka kwenda mjini na baadaye kuelekezwa zilipo site.
 Ofisi za mauzo za mradi wa NHC Kawe 711 zinavyoonekana utakatibishwa maafisa mauzo wachangamfu watakaokuhudumia pale pale na kukuonyesha maendeleo ya mradi na sehemu nyumba hizo zilipo kiasi kwamba sasa hautasumbuka kwenda mjini na baadaye kuelekezwa zilipo site.
Ofisi za mauzo za mradi wa NHC Kawe 711 zinavyoonekana utakatibishwa maafisa mauzo wachangamfu watakaokuhudumia pale pale na kukuonyesha maendeleo ya mradi na sehemu nyumba hizo zilipo kiasi kwamba sasa hautasumbuka kwenda mjini na baadaye kuelekezwa zilipo site.

UKATILI WA KIJINSIA SOKO LA TEMEKE STEREO JIJINI DAR ES SALAAM BADO KUNA CHANGAMOTO KUBWA

 Katibu wa Soko la Temeke AStereo, Omary Seif Mangilile akizungumza katika kapmpeni ya kuongeza uelewa dhidi ya ukatili wa kijinsia masokoni iliyofanyika katika soko la Temeke Stereo Dar es Salaam leo asubuhi. Kulia ni Meneja wa Mradi huo wa kupinga ukatili huo, Grace Mateh  kutoka Shirika la Equality for Growth (EfG). Hata hivyo katika soko hilo bado kunachangamoto kubwa ya vitendo hivyo vya ukatili wa kijinsia hasa kwenye eneo la wauza mihogo kama ilivyoelezwa na baadhi ya wafanyabiashara katika soko hilo.
 Ofisa Ufuatiliaji na Tathimini wa EfG, Julius Samora akifafanua mambo kadhaa yanayohusu ukatili wa kijinsia katika kampeni hiyo.
Mwezeshaji katika kampeni hiyo Maulid Sufian akiongoza kupokea maswali na kujibu.
Wasanii wa kundi la Machozi la Temeke wakitoa burudani kwenye kampeni hiyo.
Wananchi, wafanyabiasha na wadau wengine wakiwa kwenye kampeni hiyo.
Wananchi, wafanyabiasha na wadau wengine wakiwa kwenye kampeni hiyo.

WABUNGE WA AFRIKAMASHARIKI WATEMBELEA THE GUARDIAN

 NA K-VIS MEDIA/Khalfan Said
……………………………………………………..
Wabunge wa bunge la Arika Mashariki, (EALA), kutokaTanzania, wameendelea na ziara yao ya kutembelea vyombovya habari hapa nchini, ikiwa ni mkakati wa Jumuiya hiyo, kushirikisha vyombo vya habari ili kuwafahamishawananchi wa nchi hizo manufaa ya jumuiya hiyo kwao. LeoAprili 13, 2016, wabunge hao wakiongiozwa na Mwenyekiti wao Mh. Makongoro Nyerere, wametembelea kampuni ya The Guardian, wachapishaji wa magazeti ya The Guardian, Nipashe na Lete Raha, na kupata fursa ya kuelezwa shughuli zifanywazo na waandishi wa habarikwenye kampuni hiyo ambapo walitembelea kitengo cha habari mtandao, (E-NEWS), kitengo cha usanifu gazeti na kumalizia kwa mkutano wa kubadilishana mawazobaina ya wabunge hao na uongozi wa chumba cha habari cha The Guardian. Pichani, msanifu wa gazeti la The Guardian, Ben Mgana (aliyekaa), akiwaonyesha jinsi gazeti hilo linavyoandaliwa kabla ya kuchapishwa. Wakwanza kushoto ni Mhari Mtendaji wa gazeti hilo, Wallace Maugo, Mkuu wa chumba cha Habari cha The Guardian, Jesse Kwayu, (wapili kushoto) na wabunge wa hilo wakiongozwa na wmenyekiti wao Mh. Makongoro Nyerere (watatu kulia)
 MhaririMtendaji wa The Guardian, Wallace Mauggo, (watatu kushoto) na Mhariri Mkuu wa Chumba cha Habari cha The Guardian Limited, Bw. Jesse Kwayu) wakiwaonyesha wabunge hao baadhi ya magazeti yanayochapishwa na kampuni hiyo
 Mwenyekiti wa wabunge wa EALA-Tanzania, Mh. Makongoro Nyerere, 9wapili kulia), akisalimianana Mkuu wa kitengo cha habari mtandao (E-NEWS), cha The Guardian Limited, Mashaka Mgeta, wakati wabunge hao walipotembelea chumba cha Habari cha The Guardian Mikocheni jijini Dar es Salaam
Continue reading →

MAKABIDHIANO YA OFISI YA WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO

Z1
Waziri wa Fedha na Mipango Dkt.Khalid Salum Mohammed (kulia)  akikabidhiana Ofisi na aliyekuwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Ikulu na Utawala Bora Dkt.Mwinyihaji Haji Makeme Mwadini leo katika ukumbi wa Tume ya Mipango Vuga Mjimkongwe wa Zanzibar baada ya uteuzi uliofanywa na  Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Sheun,
Z2
Aliyekuwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Ikulu na Utawala Bora Dkt.Mwinyihaji Haji Makeme Mwadini akitoa shukurani kwa wafanyakazi wa tume ya mipango wakati wa makabidhiano ya Ofisi na  Waziri wa Fedha na Mipango Dkt.Khalid Salum Mohammed katika ukumbi wa Tume ya Mipango Vuga Mji Mkonge wa Zanzibar baada ya uteuzi uliofanywa na  Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Sheun.
Z3
Waziri wa Fedha na Mipango Dkt.Khalid Salum Mohammed alipozungumza na wafanyakazi wa Tume ya Mipango na kwataka kuwa na mashikiano katika kazi kulitea Maendeleo Taifa letu wakati wa makabidhiano ya Ofisi leo na   Aliyekuwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Ikulu na Utawala Bora Dkt.Mwinyihaji Haji Makeme Mwadini katika ukumbi wa Tume ya Mipango Vuga Mji Mkongwe wa Zanzibar baada ya uteuzi uliofanywa na  Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Sheun,
Z4
Aliyekuwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Ikulu na Utawala Bora Dkt.Mwinyihaji Haji Makeme Mwadini akiagana na Waziri wa Fedha na Mipango Dkt.Khalid Salum Mohammed baada ya makabidhiano ya Ofisi katika viwanja vya Ofisi ya Tume ya Mipango leo Vuga Mji Mkongwe wa Zanzibar baada ya uteuzi uliofanywa na  Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Sheun .[Picha na Ikulu.]

MKE WA WAZIRI MKUU MARY MAJALIWA AWAOMBA WANANCHI WILAYA YA RUANGWA KUWAOMBEA DUA VIONGOZI WA TAIFA

229
MKE wa Waziri Mkuu, Mary Majaliwa amewaomba wananchi wa wilaya ya Ruangwa kuwaombea dua viongozi wa taifa, Rais Dk. John Magufuli, Makamu wa Rais, Samia Suluhu Hassan na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ili waweze kufanya kazi zao kikamilifu.

Maboresho ya sheria ya Vyama vya Siasa ndio Mkombozi wa Siasa nchini- Mhe. jenister Mhagama

B1
Msajili wa Vyama vya Siasa nchini Mhe. Jaji francis S. K Mutungi pamoja na Maaafisa Wandamizi kutoka Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa wakiwa nje ya ukumbi wa Saadan wa Mwalimu Nyerere Jijini Dar es salaam Leo kabla ya kuanza kikao cha kamati ya Kudumu ya Bunge ya Katiba na Sheria cha kupitisha bajeti ya mwaka 2016/2017 ya Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa.
B2
Waziri wa Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Ulemavu Mhe. Jenista Mhagama akijibu hoja za wajumbe kwenye kikao cha kamati ya Kudumu ya Bunge ya Katiba na Sheria cha kupitisha bajeti ya Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa kilichofanyika  Leo katika ukumbi wa Saadan wa Mwalimu Nyerere Jijini dar es salaam.
B3
Mhe. Dkt Abdallah Possi, Naibu Waziri (Ofisi ya Waziri Mkuu) Sera, Bunge, Kazi , Vijana, Ajira na Ulemavu akiteta jambo na Msajili wa vyama vya Siasa  Mhe. Jaji Francis S.K Mutungi  kwenye kikao cha kamati ya Kudumu ya Bunge ya Katiba na Sheria cha kupitisha bajeti ya mwaka 2016/2017 ya  Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa kilichofanyika  Leo katika ukumbi wa Saadan wa Mwalimu Nyerere Jijini dar es salaam.
B4
Msajili wa Vyama vya Siasa Nchini Mhe. Jaji Francis S.K Mutungi akitoa ufafanuzi wa hoja za wajumbe kwenye kikao cha kamati ya Kudumu ya Bunge ya Katiba na Sheria cha kupitisha bajeti yam waka 2016/2017 ya  Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa kilichofanyika  Leo katika ukumbi wa Saadan wa Mwalimu Nyerere Jijini dar es salaam. Kushoto ni Waziri wa Sera, Bunge, Kazi , Vijana, Ajira na Ulemavu Mhe. Jenista Mhagama na Manaibu waziri ,Mhe Antony P. Mavunde na Mhe. Dkt Abdallah Possi
B5
Mjumbe wa kamati ya Kudumu ya Bunge ya Katiba na Sheria, Mhe Richard Ndassa  akiwasilisha hoja kwenye  kikao cha kamati ya Kudumu ya Bunge ya Katiba na Sheria cha kupitisha bajeti ya mwaka 2016/2017 ya  Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa kilichofanyika  Leo katika ukumbi wa Saadan wa Mwalimu Nyerere Jijini dar es salaam. Kulia ni wajumbe wa kamati.
B6
Waziri wa Sera, Bunge, Kazi , Vijana, Ajira na Ulemavu Mhe. Jenista Mhagama akijibu hoja za wajumbe kwenye kikao cha kamati ya Kudumu ya Bunge ya Katiba na Sheria cha kupitisha bajeti ya Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa kilichofanyika  Leo katika ukumbi wa Saadan wa Mwalimu Nyerere Jijini dar es salaam. Kulia ni Mhe. Dkt Abdallah Possi, Naibu waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu .
B7
Angelina Sanga, Katibu kiongozi wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Katiba na Sheria akiwapitisha wajumbe (hawapo pichani) kwenye vifungu vya bajeti ya mwaka 2016/2017 ya Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa kwenye kikao cha kamati ya Kudumu ya Bunge ya Katiba na Sheria cha kupitisha bajeti ya Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa kilichofanyika Leo katika ukumbi wa Saadan wa Mwalimu Nyerere Jijini dar es salaam.
B8
Waadhi ya wajumbe wa kamati ya Kudumu ya Bunge ya Katiba na Sheria wakifuatilia kwa makini mawasilisho ya bajeti ya mwaka 2016/2017 ya Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa kwenye kikao cha kamati ya Kudumu ya Bunge ya Katiba na Sheria cha kupitisha bajeti ya Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa kilichofanyika Leo katika ukumbi wa Saadan wa Mwalimu Nyerere Jijini dar es salaam

CHUO KIKUU ARDHI CHAWAPA MWONGOZO WANAFUNZI WA SHULE ZA SEKONDARI ZA JIJI LA DAR NAMNA YA KUJIUNGA NA MASOMO YA ELIMU YA JUU KULINGANA NA UFAULU WAO.

M1
Mtaalam wa Jiografia kutoka Chuo Kikuu Ardhi Dkt. Mlenge Fanuel Mgendi  akiwahamasisha wanafunzi wa kidato cha Sita wa Shule ya Sekondari ya Wasichana ya Jangwani  kupenda kusoma na kuweka bidii katika masomo ambayo wanauwezo nayo ili yawasaidie kuendelea na Elimu ya Juu katika chuo Kikuu Ardhi leo jijini Dar es salaam. Chuo Kikuu Ardhi kinaendesha Programu ya utoaji elimu kwa wanafunzi wa sekondari katika shule mbalimbali kwa lengo la kuwasaidia  kufanya uchaguzi sahihi wa kozi za masomo wanazotarajia kuendelea nazo pindi watakapohitimu masomo ya elimu ya Sekondari.
M2
Mwanataaluma wa Chuo Kikuu Ardhi Bi. Latifa Litwe (kushoto) akitoa elimu kwa wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Wasichana ya Jangwani namna ambavyo Chuo Kikuu Ardhi kinawajengea uwezo kielimu wanafunzi wanaosoma katika chuo hicho kukabiliana na mabadiliko ya Tabia Nchi na majanga mbalimbali pamoja na ushauri kuhusu sekta ya Ardhi kwa ujumla hapa nchini ikiwemo uhifadhi wa Ardhi na Sayansi ya Udongo.
M3
Baadhi ya wanafunzi wa Kidato cha Sita wa Shule ya Wasichana ya Jangwani wakiangalia na kufurahishwa na moja ya Kazi ya Ubunifu wa Majengo na mitaa iliyofanywa na wanafunzi wa Chuo Kikuu Ardhi mwaka wan nne leo jijini Dar es salaam.
M4
Mwanataaluma wa Chuo Kikuu Ardhi Bw. Dennis Tesha akiwaeleke za wanafunzi wa shule ya wasichana ya Jangwani namna bora kuchagua masomo yao ya baadaye kulingana na sifa walizonazo watakapotaka kujiunga na vyuo vikuu hapa nchini pamoja na kazi watakazofanya mara baada ya kuhitimu kulingana na masomo yao.
M5
Moja ya kazi ya Ubunifu wa jengo la ghorofa lilobuniwa na mwanafunzi wa Chuo Kikuu Ardhi.
M6
Baadhi ya wanafunzi wa Kidato cha Sita wa Shule ya Wasichana ya Jangwani wakifurahia jambo mara baada ya kuangalia moja ya kazi ya ubunifu wa majengo iliyofanywa na wanafunzi wa mwaka wan ne wa Chuo Kikuu Ardhi walipokuwa wakizungumza na Afisa Uhusiano wa Chuo hicho Bi. Khadija leo jijini Dar es salaam.

MAKAMU WA RAIS MHE. SAMIA AKUTANA NA MWENDESHA MASHTAKA WA KIMATAIFA

01
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akisalimiana na mwendesha Mashtaka wa Mahakama ya Kimataifa Bw. Serge Prammertz wakati Bw. Serge alipofika Ofisini kwa Makamu wa Rais Ikulu Dar es salaam leo April 13,2016 kwa ajili ya kujitambulisha.
03
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akizungumza na mwendesha Mashtaka wa Mahakama ya Kimataifa Bw. Serge Prammertz wakati Bw. Serge alipofika Ofisini kwa Makamu wa Rais Ikulu Dar es salaam leo April 13,2016 kwa ajili ya kujitambulisha.
04Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akiwa katika picha ya pamoja na mwendesha Mashtaka wa Mahakama ya Kimataifa Bw. Serge Prammertz wakati Bw. Serge alipofika Ofisini kwa Makamu wa Rais Ikulu Dar es salaam leo April 13,2016 kwa ajili ya kujitambulisha.
(Picha na OMR)   

NEC YAPONGEZWA KWA KUENDESHA UCHAGUZI MKUU KWA AMANI

download
Na Elias Malima , NEC
…………………………………
Kamati ya Bunge ya Sheria, Katiba na Utawala imeipongeza Tume ya Taifa ya Uchaguzi kwa kufanikisha kuendesha Uchaguzi Mkuu wa Rais Wabunge na Madiwani wa mwaka 2015 vizuri na kuiacha nchi ikiwa na Amani, utulivu na Usalama

MAJALIWA:Vijiji 42 Ruangwa kupatiwa umeme

KIJIJI
Waziri Mkuu, Kassim Majliwa akiteta  na wapiga kura  kijijini kwake Namdagala wilayani Ruangwa Aprili 11, 2016., Alikuwa katika ziara ya siku tatu jimboni Ruangwa. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Mashindano ya Darts Afrika Mashariki kuanza Mwezi huu

BOO1
Katibu Mkuu wa Chama cha Mchezo wa Vishale Tanzania (TADA) Bi. Subira Waziri akiongea na waandishi wa habari hawapo pichani leo jijini Dar es salaam kuhusu kuanza kwa mashindano ya Afrika mashariki  huku Tanzania ikiwa mwenyeji wa mashindano hayo kulia ni  Makamu Mwenyekiti wa Chama hicho Bi. Redempta  Mwebesa.
BOO3
Waandishi wa Habari wakifuatilia kwa makini mkutano ulioandaliwa na viongozi wa Chama cha Mchezo wa Vishale Tanzania( TADA) hawapo pichani kuzungumzia kuhusu kuanza kwa mashindano ya Afrika mashariki  yanayotarajiwa kuanza  April 29 mwaka huu.

WATENDAJI WAONGOZA KWA KUOMBA RUSHWA PWANI

MLOW
Na Mwamvua Mwinyi,Pwani
TAASISI ya kuzuia na kupambana na rushwa (TAKUKURU)mkoani Pwani imesema serikali ya mitaa katika mamlaka za watendaji wa vijiji ,mitaa na kata inaongoza katika vitendo vya rushwa huku wilaya ya Bagamoyo ikielezwa inaongoza kimko

WAZIRI MHAGAMA AAGIZA IDARA YA MAAFA KUFANYA TATHIMINI YA MAAFA BAHI

MAF1
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Ajira na Watu wenye Ulemavu) Mhe. Jenista Mhagama akiwasilisha bajeti ya ofisi yake wakati wa kikao cha Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Katiba na Sheria ya Kupitisha Bajeti uliofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Mwalimu Julius Nyerere Dar es Salaam Aprili 12, 2016
MAF2
Baadhi ya Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Katiba na Sheria ya kupitisha bajeti wakifuatilia bajeti ya ofisi hiyo walipokutana kuijadili na kuipitisha bajeti hiyo katika Ukumbi wa Mikutano wa Mwalimu Julius Nyerere Dar es Salaam Aprili 12, 2016.
MAF3
Mkurugenzi wa Idara ya Utawala na Usimamizi wa Rasilimaliwatu Ofisi ya Waziri Mkuu Bw. Issa Nchansi akifafanua jambo wakati wa kikao cha Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Katiba na Sheria ya kupitisha bajeti kilichofanyika tarehe 12 Aprili, 2016 katika Ukumbi wa Mikutano wa Mwalimu Julius Nyerere Dar es Salaam.
MAF4
Mwenyekiti wa kikao cha Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Katiba na Sheria ya Kupitisha Bajeti Mhe. Mohamed Mchengerwa ambaye ni mbunge wa Rufiji (katikati) akieleza jambo wakati wa kikao hicho walipokutana kujadili Bajeti ya Ofisi ya Waziri Mkuu Aprili 12, 2016 katikaUkumbi wa Mikutano wa Mwalimu Julius Nyerere Dar es Salaam.
MAF5
Mkurugenzi wa Idara ya Uratibu wa Maafa Ofisi ya Waziri Mkuu Brig.Jen Mbazi Msuya (katikati) akifuatilia bajeti ya Idara yake pamoja na wataalamu wake kushoto kwake ni Charles Msangi na kulia ni Daniel Alfei wakati wa kikao cha Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Katiba na Sheria ya Kupitisha Bajeti Aprili 12, 2016.
 (Picha Zote na Ofisi ya Waziri Mkuu)

WTA awards Travelstart Tanzania best travel agency

PON1
Abbas Rajani Managing Director Travelstart Tanzania (C) shows its Best Travel Agency in Tanzania award at the annual World Travel Awards (WTA) Grand Final Gala Ceremony 2016 in Zanzibar last weekend. Looking on Left is Former Big Brother Contender who was the Master of Ceremony Abby Plaatjes and looking from Right is the Usher of the WTA.
PON2
Abbas Rajani Managing Director Travelstart Tanzania (C) shows its Best Travel Agency in Tanzania award at the annual World Travel Awards (WTA) Grand Final Gala Ceremony 2016 in Zanzibar last weekend.
……………………………………………………………………………………………………………..
By Staff Writer
Travelstart Tanzania has won the prestigious Best Travel Agency in Tanzania at the annual World Travel Awards (WTA) Grand Final Gala Ceremony 2016 held over the weekend in Zanzibar.
Each year World Travel Award covers the globe with a series of regional gala ceremonies staged to recognise and celebrate individual and collective successes within each geographical region.
WTAs is recognised as the “Oscars” of the global travel and tourism industry for being the most prestigious, comprehensive and sought after awards programme in the industry.
The award, which is judged by an international jury of hospitality experts and peers, was presented to Travelstart Tanzania, Tanzania’s only online travel agency.
Speaking soon after receiving the award, Travelstart Tanzania Managing Director Abbas Rajani said that it is happy to be recognised by the World Travel Awards panel of experts and win the award. 
He also said that the travel firm, they will continue on providing consumers lower fares as compared to other in the market.
“Being a young and progressive company, Travelstart is indeed a market leader in travel affordability, style and range in choice and service delivery excellence,” he said.
He pointed out that Travelstart Tanzania is dedicated to transforming the travel booking industry by tackling the complexities that travel for both travellers and suppliers face including solving real problems to tackle the growing and vibrant travel industry in Tanzania.
He underscored that Travelstart will addresses complexities in the African travel market by directly accessing local supply, solving language and currency problems as well as the diverse plethora of payment methods.
He went further saying that due to technology platform which meets the need of travel bookers on mobile and desktop devices, Travelstart are joy on delivering an exceptional service experience to its customers.
Travelstart Tanzania’s award for being the leading travel agency in the country; the Travelstart Group, which has offices in Cape Town, Dubai, Istanbul, Lagos, Cairo and Dar es Salaam, walked away with ‘Africa’s Leading Online Travel Agency’ at the 2016 World Travel Awards.
However, Travelstart founded in 1999 in Sweden, started up in South Africa in 2006 to focus on the emerging market opportunity.
Travelstart provides travellers with real-time access to thousands of flights from all carriers and serves 2 million monthly users in 16 countries. Travelstart has offices in Cape Town, Dubai, Istanbul, Lagos, Cairo and Dar es Salaam. For more information, please visit
Meanwhile, World Travel Awards was established in 1993 to acknowledge, reward and celebrate excellence across all sectors of the tourism industry. Today, the World Travel Awards brand is recognised globally as the ultimate hallmark of quality, with winners setting the benchmark to which all others aspire. In 2016, World Travel Awards will celebrate its historic 23rd anniversary year.

Heart Marathon kufanyika Aprili 26 Mwaka huu

MAR1
Mratibu  wa Heart Marathon Dkt. Omary Chillo (katikati) akiongea na waandishi wa habari kuhusu  mashindano ya mbio maalum za kupambana na ongezeko la magonjwa yasiyoambukiza zijulikanazo kama Heart Marathoni zinazotarajiwa kufanyika Aprili 26 mwaka huu jijini Dar es salaam, kushoto kwake ni Mwenyekiti wa  Kamati ya maandalizi ya Heart Marathon Dkt.  Chaka Halfani na  kulia kwake ni Kaimu Katibu Chama cha Riadha Tanzania Bi.Ombeni Zavala.
MAR2
Mratibu  wa Heart Marathon Dkt. Omary Chillo (wa kwanza kulia) akiongea na waandishi wa habari kuhusu  mashindano ya mbio maalum za kupambana na ongezeko la magonjwa yasiyoambukiza zijulikanazo kama Heart Marathoni zinazotarajiwa kufanyika Aprili 26 mwaka huu jijini Dar es salaam, kushoto kwake ni Mwenyekiti wa  Kamati ya maandalizi ya Heart Marathon Dkt.  Chaka Halfani na  Mratibu Msaidizi Heart Marathon Bi.Catherine ikangaa.
MAR3
4 Mwenyekiti wa  Kamati ya maandalizi ya Heart Marathon Dkt.  Chaka Halfani  akionyesha kwa waandishi wa habari  namba watakazopewa washiriki wa mbio maalum za kupambana na ongezeko la magonjwa yasiyoambukiza zijulikanazo kama Heart Marathoni zinazotarajiwa kufanyika Aprili 26 mwaka huu jijini Dar es salaam,kulia kwake ni.Mratibu  wa Heart Marathon Dkt. Omary Chillo na Kaimu Katibu Chama cha Riadha Tanzania Bi.Ombeni Zavala .
MAR5
Mwenyekiti wa  Kamati ya maandalizi ya Heart Marathon Dkt.  Chaka Halfani  akionyesha kwa waandishi wa habari  fulana watakazovaa washiriki wa mbio maalum za kupambana na ongezeko la magonjwa yasiyoambukiza zijulikanazo kama Heart Marathoni zinazotarajiwa kufanyika Aprili 26 mwaka huu jijini Dar es salaam,kulia kwake ni.Mratibu  wa Heart Marathon Dkt. Omary Chillo.(Picha na Lorietha Laurence-Maelezo).
…………………………………………………………………………………………………………………………
NA Beatrice Lyimo-MAELEZO
Taasisi ya Tanzania Health Summit imeandaa mbio maalumu za kupambana na ongezeko la magonjwa yasioambukiza yajulikanayo kama Heart Marathon zitakazofanyika Aprili 26, 2016 katika viwanjwa vya michezo vya Chuo Kikuu jijini Dar es salaam.
Hayo yamesemwa na Mratibu Kamati ya Maandalizi ya Mbio hizo Dkt. Omary Chillo ambapo amesema kuwa lengo lake ni kusaidia juhudi za Serikali na wadau wa Sekta ya Afya kupunguza tatizo linalokuwa kwa kasi la magonjwa yasioambukizwa hapa nchini.
“Watanzania wote kwa ujumla tunawaalika kushiriki katika mbio za Heart Marathon zitakazoambatana na upimaji wa magonjwa yasiyoambukizwa na kutoa ushauri wa kitaalamu kwa ugonjwa wa Kisukari, Shinikizo la Damu, Uwiano wa urefu na uzito, wingi wa mafuta mwilini pamoja na Saratani ya matiti” alisema Dkt. Chillo.
Amesema mbio hizo zinatarajiwa kuwa na washiriki zaidi ya 2,000 kutoka taasisi, makampuni, mashirika, familia na jamii kwa ujumla, rika tofauti ikiwemo watoto, vijana na wazee, makundi ya walemavu na watu wenye magonjwa yasioambukiza watashiriki.
Aidha, Dkt. Chillo ameongeza kuwa mbio hizo zimegawanywa kwa umbali tofauti ambazo ni mbio ndefu za Kilometa 21.1 kwa ajili ya wakimbiaji wazoefu, kilometa 10 kwa wakimbiaji wa kati, Kilometa 5 wakimbiaji wa kawaida, kifamilia na kampuni pamoja na mbio za watoto chini ya miaka 12 watakimbia umbali wa mita 700.
Kauli mbiu kwa mwaka huu katika mbio maalumu za kupambana na ongezeko la magonjwa hayo ni “Epuka magonjwa yasioambukiza”
Viingilio katika mbio hizo maalumu zitakuwa kuanzia elfu tano kwa watoto wa chini ya umri wa mika 13 hadi Shilingi 10,000 kwa mtu mmoja ambapo watu wenye ulemavu hawatalipia kiingilio.

JENGO LA TEMINAL THREE UWANJA WA JULIUS NYERERE LAENDELEA KUJENGWA

JEN1
Jengo jipya la uwanja wa ndege wa Mwalimu Julius Nyerere yaani Teminal Three ambalo linaendelea kujengwa. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

WARSHA YA WADAU WA MAZINGIRA ILIYOANDALIWA NA OFISI YA MAKAMU WA RAIS YAFANYIKA.

RIM1
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais- Muungano na Mazingira Mh. January Makamba akifungua warsha ya wadau wa Mazingir wa ndani na nje ya Nchi iliyoandaliwa na Ofisi ya Makamu wa Rais juu ya kujadili jinsi Wafadhili wanavyoweza kusaidia Ofisi katika kuimarisha mambo mbalimbali ya mazingira.
RIM2
Balozi wa Ujerumani Nchini Tanzania ambaye ni Mwenyekiti wa Kundi la Washirika wa Maendeleo wanaojihusisha na Mazingira hapa Nchini  Mh. Egon Kochanke akiongea wakati wa warsha hiyo.
RIM3
. Sehemu ya Wahudhuriaji wa Warsha hiyo iliyoandaliwa na Ofisi ya Makamu wa Rais wakimsikiliza Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais- Muungano na Mazingira Mh. January Makamba(hayupo pichani) alipokuwa akifungua warsha hiyo.
RIM4
Sehemu ya Wahudhuriaji wa Warsha hiyo iliyoandaliwa na Ofisi ya Makamu wa Rais wakimsikiliza Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais- Muungano na Mazingira Mh. January Makamba(hayupo pichani) alipokuwa akifungua warsha hiyo.

MAKAMU WA RAIS MHE. SAMIA AFUNGUA KONGAMANO LA WAFANYABIASHARA KATI YA TANZANIA NA OMAN

2 
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akifungua Kongamano la Uwekazaji kwa Wafanyabiashara baina ya Tanzania na Oman kuhusu kuangalia fursa za uwekezaji katika Nyanja mbalimbali za kiuchumi kati ya Nchi mbili hizo, Kongamano hilo limefunguliwa leo April 13,2016 katika Hoteli ya Hyatt Regence Dar es salaam.
3 4 
Washiriki wa Kongamano la Uwekezaji kiuchumi kati ya Tanzania na Oman wakimsikiliza Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan alipokua akifungua Kongamano hilo kuhusu kuangalia fursa za uwekezaji katika Nyanja mbalimbali za kiuchumi baina ya Nchi mbili hizo, Kongamano hilo limefunguliwa leo April 13,2016 katika Hoteli ya Hyatt Regence Dar es salaam.
5 
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akiwa katika picha ya pamoja na washiriki wa Kongamano la Uwekazaji kwa Wafanyabiashara baina ya Tanzania na Oman kuhusu kuangalia fursa za uwekezaji katika Nyanja mbalimbali za kiuchumi kati ya Nchi mbili hizo  baada ya kufungua Kongamano hilo leo April 13,2016 katika Hoteli ya Hyatt Regence Dar es salaam.Picha na OMR

Mette-Marit aitaka jamii kuwa na mtazamo tofauti kwa watu wanaoishi na UKIMWI

DSC_0018
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Katika kuhakikisha watu wanaoishi na UKIMWI wanaishi kwa furaha bila kunyanyapaliwa na watu wanaowazunguka, jamii imetakiwa kuwa na mtazamo tofauti kwa watu wanaoishi na ugonjwa huo.
Hayo yalisemwa na mke wa mtoto wa mfalme wa Norway, Mette-Marit ambaye pia ni balozi kimataifa wa Shirika la Umoja la kupambana na HIV na UKIMWI (UNAIDS) wakati alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari kuhusu kazi anazozifanya kwa UNAIDS kama balozi ambaye anazunguka maeneo mbalimbali duniani ili kuelimisha jamii kuhusu UKIMWI.
Mette-Marrit alisema kuwa watu wenye UKIMWI ni kama watu wengine hivyo wana haki ya kupata huduma bila kunyanyapaliwa ili waweze kuishi kwa uhuru kama watu wengine na ili kufanikisha hilo ni wajibu wa kila mtu kuwasaidia waathirika.
“Watu kuwa na UKIMWI sio mwisho wa maisha inatakiwa kwanza jami kuwa na mtazamo tofauti na inatakiwa kila mtu kusaidia mapambano ya UKIMWI sio jambo la mtu mmoja mmoja,” alisema Mette-Marit.
DSC_0016
Balozi wa Kimataifa wa UNAIDS, Mette-Marit akizungumza na waandishi wa habari kuhusu kazi anazofanya kama balozi wa UNAIDS kwa kipindi cha miaka 10 tangu aanze kazi hiyo.
(Picha zote na Rabi Hume, Modewjiblog)
Nae Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Kudhibiti UKIMWI (TACAIDS), Dkt. Fatma Mrisho alisema Serikali imekuwa ikifanya jitihada mbalimbali ili kupambana na UKIMWI lakini pia ili kufanikisha mapambano hayo wanahitaji kushirikiana na taasisi ambazo zitawasaidia katika mapambano hayo.
Lakini pia Dkt. Mrisho amezitaka serikali za mitaa kuacha kusubiri mpaka serikali imepeleke pesa ndiyo wawasaidie watu wanaoishi na UKIMWI na hivyo waweke utaratibu wa kutumia sehemu ya mapato yao ili kusaidia mapambano hayo.
“Serikali haijalala katika mapambano tunahitaji kushirikiana na taasisi ambazo zinatusaidia kupunguza maambukizi mapya na tunaona Mette-Marit amekuwa akifanya jambo zuri anazunguka sehemu nyingi ili kusaidia kupunguza maamukizi mapya ya UKIMWI,” alisema Dkt. Mrisho.
DSC_0021
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Kudhibiti UKIMWI (TACAIDS), Dkt. Fatma Mrisho akizungumzia kuhusu juhudi zinazofanywa na serikali katika mapambano ya UKIMWI.
DSC_0009
Mkurugenzi mkazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa la kupambana na Ukimwi, UNAIDS nchini Tanzania, Warren Naamara akizungumzia ugonjwa wa UKIMWI.

No comments :

Post a Comment