Makamu wa Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akimfariji Bibi Fausta
Andreas na Mtoto wake Vayalet Michael (2) aliyelazwa katika Hospitali ya
rufaa Mkoa Morogoro kwa matibabu wakati alipotembelea Hospitali hiyo
leo April 17.2016 kwa ajili ya kuangalia utendaji na utoaji huduma kwa
Jamii. Makamu wa Rais yupo Mkoani Morogoro kwa ziara ya kikazi ya siku
tatu.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akimfariji Mtoto Anisha
Juma (2) mkazi wa Morogoro mjini aliyelazwa katika Hospitali ya Rufaa
Mkoa wa Morogoro kwa matibabu leo April 17.2016 Makamu wa Rais yupo
Mkoani Morogoro kwa ajili ya kuangalia utendaji kazi na utoaji huduma
kwa Jamii.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akitembelea Hospitali ya
Rufaa Mkoa wa Morogoro leo April 17,2016, wakati alipowasili Hospitalini
hapo kwa ajili ya kuangalia huduma zinazotolea kwa Jamii katika
Hospitali hiyo. Makamu wa Rais yupo Mkoani Morogoro kwa ziara ya kikazi
ya siku tatu. kulia Daktari Mfawizi wa Hospitali hiyp Dr. Rita Lyamuya.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akiangalia Bidhaa za aina
mbalimbali zinazotengenezwa katika kiwanda cha Mafundi Seremala cha
(Kimasemo) kiliopo Sabasaba Mkoani Morogoro, wakati alipotembelea
Kiwanda hicho leo April 17.2016 kwa ajili ya kukagua kazi zinazofanywa
na kikundi hicho ambapo ameahidi kuchangia jumla ya Tshs 10 milioni kwa
ajili ya kuendeleza utendaji wa kiwanda hicho. Makamu wa Rais yupo
Mkoani Korogoro kwa ziara ya kikazi ya siku tatu.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akisalimiana na watoto
baada ya kukamilisha ziara ya kutembelea kiwanda cha Mafundi Seremala
cha (Kimasemo) kiliopo Sabasaba Mkoani Morogoro leo April 17.2016.
Makamu wa Rais yupo Mkoani Korogoro kwa ziara ya kikazi ya siku
tatu(Picha na OMR)
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akisalimiana na watoto
baada ya kukamilisha ziara ya kutembelea kiwanda cha Mafundi Seremala
cha (Kimasemo) kiliopo Sabasaba Mkoani Morogoro leo April 17.2016.
Makamu wa Rais yupo Mkoani Korogoro kwa ziara ya kikazi ya siku
tatu(Picha na OMR)
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akikabidhi hundi ya Tshs
10 Milioni kwa Mwenyekiti wa Kikundi cha vijana cha Mafundi Seremala
(Kimasemo) Habibu Said zilizotolewa na Mbunge wa Jimbo la Morogoro Mjini
Mhe. Azizi Aboud kwa ajili ya kuendeleza utendaji wa kiwanda hicho.
Makamu wa Rais yupo Mkoani Morogoro kwa ziara ya kikazi ya siku tatu.
ZAIDI YA WAKAZI 500 WAVAMIA SHAMBA LA MWEKEZAJI ARUMERU
MAANDALIZI YA MBIO ZA MWENGE MOROGORO
Mkurugenzi wa Maendeleo ya Vijana
kutoka Wizara ya Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Walemavu kushoto
akimpatia maelezo Wazairi wa Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na
Walemavu a Mh. Jenista Mhagama maendeleo ya maandalizi ya uzinduzi
wa mbio za Mwenge unaotarajiwa kuzinduliwa na Makamu wa Rais Mh. Samia
Suluhu katikati, wa kwanza kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mh. Steven
Kebwe
Baadhi ya wasanii wakiwa katika
maandalizi ya uzinduzi wa mbio za Mwenge unaotarajiwa kuzinduliwa na
Makamu wa Rais Mh. Samia Suluhu kesho.
Maandalizi ya uzInduzi wa Mbio za
Mwenge yakamilika mkoani Morogoro kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Morogoro
Mh. Mh. Steven Kebwe akiangali zoezi la matayarisho ya uzinduzi huo.
: Maandalizi ya uzunduzi wa Mbio
za Mwenge yakamilika mkoani Morogoro kulia ni Mkuu wa Mkoa wa
Morogoro Mh. Mh. Steven Kebwe akiangali zoezi la matayarisho ya
uzinduzi huo na kushoto ni Waziri wa Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira
na Walemavu Mh. Jenista Mhagama.
: Baadhi ya watoto wa shule
wakiwa katika maandalizi maandalizi ya uzinduzi wa mbio za Mwenge
unaotarajiwa kuzinduliwa na Makamu wa Rais Mh. Samia Suluhu.
Mkurugenzi wa Maendeleo ya Vijana
kutoka Wizara ya Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Walemavu kushoto
akimpatia maelezo Waziri wa Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na
Walemavu a Mh. Jenista Mhagama maendeleo ya maandalizi ya uzinduzi
wa mbio za Mwenge unaotarajiwa kuzinduliwa na Makamu wa Rais Mh. Samia
Suluhu
Fibreboard Yatoa Madawati 2000
Mahmoud Ahmad Arusha
KIWANDA cha kutengeneza mbao
cha Fibreboard 2000 limited,cha jijini Arusha, leo kimetoa msaada wa
madawati 1000 yenye thamani ya shilingi milioni 80 kwa shule za msingi
za mkoa wa Arusha, ambazo zinaupungufu wa madawati hivyo kusababisha
wanafunzi kusoma wakiwa wamekaa chini.
Akikabidhi msaada huo kwa mkuu
wa mkoa wa Arusha, mkurugenzi mtendaji wa Fibreboard 2000 limited, Tosk
Hansy, amesema msaada huo ni kuitikia wito wa rais John Magufuli, wa
kuwataka wananchi kuchangia madawati kwenye shule mbalimbali..
Hansy, amesema madawati hayo
ambayo yapo katika hatua ya mwisho kukamilika yatakabidhiwa rasmi juma
tatu kwa uongozi wa mkoa wa Arusha tayari kuyasambaza kwenye shule
mbalimbali zenye upungufu.
NHIF yatoa Saruji tani tatu Kilangalala
NAIBU WAZIRI OFISI YA MAKAMU WA RAISI MH.LUHAGA MPINA AZINDUA KAMPENI YA UPANDAJI MITI KITAIFA MADALE JIJINI DAR ES SALAAM
Naibu Waziri wa nchi ofis ya
makamu wa raisiMuungano na Mazingira Mh.Luhaga Mpina akipanda mti
kuashiria uzinduzi rasimi wa kampeni ya kitaifa ya upandaji miti
uliofanyika madale jijini Dar es salaam
Baadhi ya wanainchi Waliohudhuria
uzinduzi wa barabara za mitaa na kampeni ya upandaji miti kitaifa
uliofanyika katika kata ya madale jijini Dar es salaam na Mgeni rasmi
Naibu waziri wa nchi ofisi ya Makamu wa rais Mh.Luhaga
Mpina.
Naibu waziri wa nchi Ofisi ya
Makamu wa rais Muungano na Mazingira Mh.Luhaga Mpina akipanda mti katika
kata ya Madale jijini Dar es salaam.
Naibu Waziri wa nchi ofisi ya
makamu wa raisi muungano na mazingira Mh.Luhaga Mpina akizindua rasmi
jiwe la msingi la kampeni ya Upandaji miti Kitaifa jijini Dar es
salaam,
Jiwe la msingi lililozinduliwa na
Mh.Naibu waziri wa Ofisi ya makamu wa raisi muungano na mazingira
Mh.Luhaga Mpina kata ya Madale jijin Dar es salaam kuashiria uanzishwaji
wa kampeni ya upandaji miti nchini kote,
Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya
makamu wa raisi Muungano na Mazingira akiongea na Waandishi wa Habari
(hawapo pichani)baada ya kushiriki zoezi la kupanda miti katika kata ya
Madale jijini ikiwa ni sehemu ya kampeni kitaifa ya kupanda miti
MINING COMPANIES SIGNIFICANT CONTRIBUTORS TO ECONOMY, OPERATE TRANSPARENTLY
Balozi Ami Mpungwe
TANZANIA CHAMBER OF MINERALS AND ENERGY
PRESS STATEMENT
PRESS STATEMENT
MINING COMPANIES SIGNIFICANT CONTRIBUTORS TO ECONOMY, OPERATE TRANSPARENTLY
Recently, the mining sector has
seen negative media reports in relation to the way in which it operates.
The Tanzania Chamber of Minerals and Energy (TCME) represents member
companies involved in the mining sector, from explorers to large scale
producers as well as medium and small scale miners. Businesses that
support the mining sector also form part of the membership. This sector
is a significant contributor to Tanzania’s economy and the statistics
below show the tangible fiscal and social benefits that accrue to the
Tanzanian economy which in turn enables the Tanzanian Government to
deliver on important development projects.
Mining Benefits to Tanzania
Key statistics:
Investment into the mining sector from 1997 – 2015: USD 4.5 billion.
Revenue generated over the same period: USD 16.5 billion
GDP contribution: 3.3% (2013), Vs Vision 2025 of 10% contribution.
43% of total exports in 2013 (BOT Annual Report 2012/13).
48.2% Gross Value Added (% of revenue retained in country) i.e utilized for local procurement, taxes, training, infrastructure, local salaries and others.
Large Scale Mining employs directly 20,000 and another 200,000 induced (1:10)
Revenue generated over the same period: USD 16.5 billion
GDP contribution: 3.3% (2013), Vs Vision 2025 of 10% contribution.
43% of total exports in 2013 (BOT Annual Report 2012/13).
48.2% Gross Value Added (% of revenue retained in country) i.e utilized for local procurement, taxes, training, infrastructure, local salaries and others.
Large Scale Mining employs directly 20,000 and another 200,000 induced (1:10)
Chart showing distribution of revenue generated by member companies for the period 1997-2015
The revenue generated by our members amounted to USD 16,499,378,727 for the period 1997 to 2015
Description Amount spent (US$) % of Revenue
Local Procurement 4,812,639,755 29.2
Community Spend 50,813,229 0.3
Training Spend 40,946,264 0.2
Local Salaries 1,146,813,407 7.0
Infrastructure Spend 58,095,698 0.4
Royalty & Other Taxes to Govt 1,827,814,617 11.1
TOTAL 7,937,122,971 48.2
Local Procurement 4,812,639,755 29.2
Community Spend 50,813,229 0.3
Training Spend 40,946,264 0.2
Local Salaries 1,146,813,407 7.0
Infrastructure Spend 58,095,698 0.4
Royalty & Other Taxes to Govt 1,827,814,617 11.1
TOTAL 7,937,122,971 48.2
The above chart and accompanying
table indicates that the Gross Value Added (GVA) in the Tanzanian
economy adds up to 48.1% (that is the amount of all payments made by the
companies in-country as a percentage of revenue generated by the
companies. The statistics provide to a large extent the vast tangible
incremental fiscal and social benefits that accrue to the Tanzanian
economy.
MAJALIWA AMPA POLE MBOWE KWA KUFIWA NA KAKA YAKE
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Mwenyekiti wa CHADEMA na
kiongozi wa Upinzani Bunge, Freeman Mbowe wakati alipokwenda kumpa pole
kufuatia kifo cha kaka yake, Kanali Mstaafu Maximillian Aikaeli Mbowe,
nyumbani kwa marehemu, Tegeta jijini Dar es salaam Aprili 16, 2016.
Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akitia saini kitabu cha maombolezo ya kifo cha
kaka yake Mwenyekiti wa CHADEMA na kiongozi wa Upinzani Bunge, Freeman
Mbowe (kulia kwake) wakati alipokwenda kumpa pole kufuatia kifo cha
kaka yake, Kanali Mstaafu Maximillian Aikaeli Mbowe, nyumbani kwa
marehemu, Tegeta jijini Dar es salaam Aprili 16, 2016.
Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na wanafamilia wakati alipokwenda
kumpa pole Mwenyekiti wa CHADEMA na kiongozi wa Upinzani Bunge,
Freeman Mbowe kufuatia kifo cha kaka yake, Kanali Mstaafu
Maximillian Aikaeli Mbowe, nyumbani kwa marehemu, Tegeta jijini Dar es
salaam Aprili 16, 2016.
Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na mwanasiasa mkongwe,Kingunge
Ngombale- Mwiru wakati alipokwenda kumpa pole Mwenyekiti wa CHADEMA
na kiongozi wa Upinzani Bunge, Freeman Mbowe kufuatia kifo cha kaka
yake, Kanali Mstaafu Maximillian Aikaeli Mbowe, nyumbani kwa marehemu,
Tegeta jijini Dar es salaam Aprili 16, 2016.
(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
TUSIPOWAWEZESHA WANAWAKE HAWA,MNATAKA TUWAWEZESHE WANAWAKE GANI-WAZIRI WA AFYA UMMY MWALIU.
Waziri
Ummy Mwalimu akizungumza na mmoja wa wanawake waponda kokoto nje ya
kituo cha afya cha Bugarama,na kuwataka wajiorodheshe majina na
kuyapeleka kwa afisa maendeleo wa kata ili.waweze kupatiwa mkopo kwa
ajili ya kununua mashine ya kusaga kokoto.
Akina mama wakiendelea na kazi zao katika eneo hilo.
Waziri
wa afya,maendeleo ya jamii,jinsia,wazee na watoto akisalimiana na
wananchi wa kata ya Bulyahulu alipofika kukaguaujenzi wa zahanati.
Waziri
Ummy Mwalimu akiekekeza kitu kwenye jengo hilo la kituo cha afya na
kuahidi ataipa kibali kituo hicho kibadilishwe na kuwa hospitali ya
wilaya ili kuwaounguzia mzigo wananchi wa halmashauri hiyo kwenda kupata
matibabu mjini kahama,kushoto ni mganga mkuu wa wilaya hiyo dkt.Hamad
Nyembea.
Mkuu wa Wilaya ya Kahama, Vita Kawawa akimuonesha dirisha la dawa Waziri.wa afya,maendeleo ya Jamie,jinsia,wazee na watoto.
Ukaguzi wa ujenzi wa zahanati hiyo ukiendelea
Picha ya pamoja
……………………………………………………………………………………………..
Na.Catherine Sungura,Msalala
Mkurugenzi
wa halmashauri ya Msalala wilayani kahama,amepewa wiki mbili awe
amempatia ripoti waziri wa afya,maendeleo ya jamii,jinsia,wazee na
watoto, Ummy Mwalimu ,wanawake wanaoponda kokoto wamewezeshwaa kwa
kupatiwa mkopo wa kiasi gani na mafunzo yapi.
Mama wa Mhariri Mtendaji wa The New Habari Absalom Kibanda azikwa Rungwe Mbeya
Familia ya wanahabari kutoka
media mbalimbali pamoja na baadhi ya wahariri walioshiriki mazishi ya
mama wa mhariri mtendaji wa The New Habari Absalom Norman Kibanda
aliyesimama katikati mwenye miwani mara baada ya maziko yaliyofanyika
Rungwe mission wilayani Rungwe mkoani Mbeya jana mchana.
OLE SENDEKA ANOGESHA SHEREHE ZA DIWANI WA KATA YA ENGARENAIBOR LONGIDO MKOANI ARUSHA
Msemaji
wa CCM na Mjumbe wa NEC, Christopher Ole Sendeka akisaini kitabu cha
Wageni alipopita Ofisi ya CCM mkoa wa Arusha akiwanjiani kwnda wilayani
Longido akiwa katika ziara ya kikazi mkoani humo jana. Wapili kushoto ni
Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Arusha Lekule Laiza na kulia ni Katibu
Mwenezi wa mkoa huo, Shabani Mdoe
Katibu
Mwenezi wa mkoa wa Arusha Shabani Mdoe akitambulisha wageni, Msemaji wa
CCM na Mjumbe wa NEC, Ole Sendeka alipofika Ofisi ya CCm mkoa wa Arusha
akiwa njiani kwenda wilayani Longido mkoani humo jana akiwa katika
ziara ya kikazi
Msemaji
wa CCM Ole Sendeka akizungumza na viongozi wa CCM mkoa wa Arusha
alipofika Ofisi ya CCM mkoani huni humo akiwa njiani kwenda wilayani
Longido akiwa katika ziara ya kikazi
Vijana
wa bodaboda wakimsalimia Msemaji wa CCM, Ole Sendeka wakati wa mapokezi
akiwa njiani kwenda wilayani Longido mkoani Arusha kikazi. Kushoto ni
wenyekiti wa CCM mkoa wa Arusha Lekule Laiza
Msafara wa Msemaji wa CCM Ole Sendeka ukienda wilayani Longido mkoani Arusha
Hiyo Ndiyo Longido
Vijana
wa Bodaboda wakiongoza msafara wa Msemaji wa CCM, Ole Sendeka ulipokuwa
njiani kwenda Kata ya Engarenaibor wilayani Longido mkoani Arusha
Msemaji
wa CCM Ole Sendeka akisalimiana na Mkuu wa Wilaya ya Longido Ernest
Kahindi, alipofika Ofisi ya CCm ya wilaya hiyo akiwa njiani kwenda Kata
ya Engarenaibor akiwa katika ziara ya kikazi
Mwanannchi wa Longido
Msemaji wa CCM Ole Sendeka akienda katika Ofisi ya CCM wilaya ya Longido mkoani Arusha
Msemaji wa CCM, Ole sendeka akisaini kitabu cha wageni alipowasili Ofisi ya CCM wilaya ya Longido mkoani Arusha jana
Waziri ummy mwalimu ataka ripoti ya kuwakopesha wanawake
Na.Catherine Sungura,Msalala
Mkurugenzi wa halmashauri ya Msalala wilayani kahama,amepewa wiki mbili awe amempatia ripoti waziri wa afyaa,maendeleo ya jamii,jinsia,wazee na watoto, Ummy Mwalimu ,wanawake wanaoponda kokoto wamewezeshwaa kwa kupatiwa mkopo wa kiasi gani na mafunzo yapi.
Hali hiyo imetokea wakati waziri huyo alipofika halmashauri hiyo kukagua ujenzi wa kituo cha afya kilichopo kata ya bugarama kinachojengwa na kampuni ya mgodi wa ACACIA iliopo Bulyahulu na kuwakuta wanawake mbele ya majengo hayo wakiponda kokoto kwa kutumia vifaa duni na vya mkono
MAKAMU WA RAIS MHE. SAMIA AWASILI MKOANI MOROGORO KUANZA ZIARA YA KIKAZI YA SIKU TATU
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akisalimiana na Meneja
Mkuu wa Uzalishaji katika kiwanda cha Ushoni wa Nguo za aina mbalimbali
Mw. Ritesh Krishandev Beesony, wakati alipowasili katika kiwanda hicho
leo April 16,2016 kwa ajili ya kutembelea na kuangalia utendajia kazi
zinazofanywa kiwandani hapo. Makamu wa Rais yupo Mkoani Morogoro kwa
ziara ya kikazi ya siku tatu.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akiangalia nguo za aina
mbalimbali zinazotengenezwa na kiwanda cha Ushoni cha Mazawa kiopo
Msamvu Mkoani Morogoro wakati alipotembelea kiwanda hicho leo April
16,2016 kwa ajili ya kuangalia utendajia kazi zinazofanywa kiwandani
hapo. Makamu wa Rais yupo Mkoani Morogoro kwa ziara ya kikazi ya siku
tatu.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akizungumza na Viongozi
na wafanyakazi wa kiwanda cha Ushoni wa Nguo cha Mazawa kiliopo Msamvu
Mkoani Morogoro baada ya kukamilisha ziara yake ya kutembelea kiwanda
hicho leo April 16,2016 Makamu wa Rais yupo Mkoani Morogoro kwa ziara ya
kikazi ya siku tatu.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akiagana na Viongozi na
wafanyakazi wa kiwanda cha Ushoni wa Nguo cha Mazawa kiliopo Msamvu
Mkoani Morogoro baada ya kukamilisha ziara yake ya kutembelea kiwanda
hicho leo April 16,2016 Makamu wa Rais yupo Mkoani Morogoro kwa ziara ya
kikazi ya siku tatu.
NAPE KUKOMESHA RUSHWA MICHEZONI
Waziri
wa Habari, Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Nape Nnauye akizungumza na
Watumishi wa Serikali pamoja na Wadau walio chini ya wizara yake wa mkoa
wa Tabora ambapo aliwaambia kuwa atawaondoa wala rushwa na matapeli
katika michezo nchini.
Waziri
wa Habari, Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Nape Nnauye akisisitiza
jambo wakati wa mkutano wake na watumishi wa serikali waliochini ya
wizara yake pamoja na washika dau wa habari, utamaduni sanaa na michezo
wa mkoa wa Tabora ikiwa sehemu ya ziara yake yenye lengo la kuifanya
wizara yake kumfikia kila mtu nchini na si kuishia Dar es Salaam tu.
Katibu
wa CHANETA mkoa wa Tabora Mwalimu Mwajuwa Yusufu akisoma taarifa ya
chama chao pamoja na changamoto zinazowakabili kwa Waziri wa Habari,
Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Nape Nnauye
Mwenyekiti
wa Chama cha Mpira wa Wavu mkoa wa Tabora Ndugu Lawrence Safari
akichangia maoni mbali mbali ya kuboresha michezo nchini kwenye mkutano
na Waziri wa Habari, Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Nape Nnauye.
Waziri
wa Habari, Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Nape Nnauye ambaye pia ni
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM akisaini kitabu cha wageni kwenye
ofisi za CCM mkoa wa Tabora ambapo aliwataka Mawaziri wanaofanya ziara
kwenye mikoa mbali mbali wajenge utamaduni wa kupitia kwenye ofisi za
chama na kusaini kitabu cha wageni kwani chama ndicho kimetengeneza
ilani inayotekelezwa na Serikali ya awamu ya tano.
Waziri
wa Habari, Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Nape Nnauye ambaye pia ni
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM akizungumza na viongozi wa CCM mkoa
wa Tabora mara baada ya kumaliza kutia saini kitabu cha wageni na
kuwataka wana CCM wote kuisoma kwa umakini ilani ya uchaguzi ya CCM
2015-2020 kwani ndio inayotekelezwa na serikali ya awamu ya 5.
Waziri
wa Habari, Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Nape Nnauye akipata maelezo
ya mitambo ya kurusha matangazo ya TBC mkoani Tabora kuroka kwa Mkuu wa
kituo cha TBC Tabora Ndugu AMani Ganally Kalelesi.
Waziri
wa Habari, Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Nape Nnauye (mwenye kaunda
suti nyeusi) akiwa kwenye picha ya pamoja na wasanii wa kwaya kutoka
kikosi cha 823 KJ Msange JKT mkoani Tabora.
Waziri
wa Habari, Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Nape Nnauye akizungumza na
watumishi na wadau walio chini ya wizara yake wa mkoa wa Singida ambapo
alisisitiza kuwa kila manispaa inatakiwa kuwa na afisa habari ambaye
anapata nafasi ya kuingia kwenye vikao vya maamuzi.
MAKAMU WA PILI WA RAIS ZANZIBAR AFUNGA MAFUNZO YA UONGOZI MDOGO KWA JESHI LA POLISI, CHUO CHA POLISI ZANZIBAR.
Makamu wa pili wa Raisi Balozi
Seif Ali Iddi akipokea salamu ya heshima kwa Maafisa na wahitimu wa
mafunzo ya uongozi mdogo katika chuo cha Polisi Ziwani Zanzibar.
Makamu wa pili wa Raisi Balozi
Seif Ali Iddi akikagua kwaride rasmin aliloandaliwa na Jeshi la Polisi
alipofika kufunga mafunzo ya ungozi mdogo katika chuo cha Polisi Ziwani
Zanzibar.
Makamu wa pili wa Raisi Balozi
Seif Ali Iddi akimvisha cheo mmoja waaskari waliofanya vizuri zaidi
G.944 Makuza Azekiel Shuka kwa niaba ya wenzake katika sherehe ya
kumaliza mafunzo ya uongozi mdogo kwa ngazi ya Koplo, Sajenti na Stafu
Sajenti yaliyofanyika Chuo cha Polisi Ziwani Zanzibar.
Maafisa na wahitimu wa uongozi
mdogo wa Jeshi la Polisi wakitoa saluti kwa mgeni rasmini Makamu wa pili
wa Raisi Balozi Seif Ali.
Makamu wa pili wa Raisi Balozi
Seif Ali Iddi akiwahutubia wahitimu wa mafunzo ya uongozi mdogo wa Jeshi
la Polisi katika viwanja vya Jeshi hilo Ziwani Zanzibar. Picha zote na
Makame Mshenga-Habari Maelezo Zanzibar.
BONDIA IBRAHIMU CLASS ‘KING CLASS MAWE’ ASHINDA KWA POINT NCHINI PANAMA
Bondia Ibrahimu Class ‘King Class Mawe’ kulia akiwa na mpinzani wake Zapir Rasulov wa Russia baada ya kumshinda kwa pointi
BONDIA
Mtanzania Bingwa wa Afrika wa mikanda ya WPBF na U.B.O Afrika Ibrahimu
Class ‘King Class Mawe’ aprili 15 mwaka huu amefanya kweli baada ya
kumtwanga bila huruma Bondia Zapir
Rasulov wa Russia baada ya kufanikiwa kumpiga kwa pointi katika
mpambano uliofanyika kwenye ukumbi wa Hotel ya Convenciones Vasco Panama City, nchini Panama
RAIS DK. JOHN POMBE MAGUFULI KATIKA MATUKIO ZAIDI UZINDUZI WA (FLYOVER) MAKUTANO YA BARABARA YA MADELA NA NYERERE
Rais
wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli
akilakiwa na Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame
Mbarawa alipowasili kuweka jiwe la msingi la mradi wa ujenzi wa
barabara ya juu kwenye makutano ya barabara za Mandela na Nyerere maeneo
ya Tazara Jijini Dar es Salaam leo Jumamosi Aprili 16, 2016.
Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph
Magufuli akisalimiana na Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Miundombinu
Dkt Norman Sigalla alipowasili kuweka jiwe la msingi la mradi wa ujenzi
wa barabara ya juu kwenye makutano ya barabara za Mandela na Nyerere
maeneo ya Tazara Jijini Dar es Salaam leo Jumamosi Aprili 16, 2016.
Rais
wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli
akisalimiana na Naibu waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano
Mhandisi Edwin Ngonyani alipowasili kuweka jiwe la msingi la mradi wa
ujenzi wa barabara ya juu kwenye makutano ya barabara za Mandela na
Nyerere maeneo ya Tazara Jijini Dar es Salaam leo Jumamosi Aprili 16,
2016.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli
akisalimiana na balozi wa japan nchini Mhe Masaharu Yoshida alipowasili
kuweka jiwe la msingi la mradi wa ujenzi wa barabara ya juu kwenye
makutano ya barabara za Mandela na Nyerere maeneo ya Tazara Jijini Dar
es Salaam leo Jumamosi Aprili 16, 2016.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli
akisalimiana na Mwakilishi wa kampuni ya SOMITOMO alipowasili kuweka
jiwe la msingi la mradi wa ujenzi wa barabara ya juu kwenye makutano ya
barabara za Mandela na Nyerere maeneo ya Tazara Jijini Dar es Salaam leo
Jumamosi Aprili 16, 2016.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli
akipokea saluti toka kwa Afisa Mwandamizi wa Uhamiaji alipowasili
kuweka jiwe la msingi la mradi wa ujenzi wa barabara ya juu kwenye
makutano ya barabara za Mandela na Nyerere maeneo ya Tazara Jijini Dar
es Salaam leo Jumamosi Aprili 16, 2016.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli
akisalimiana na Mkuu wa Wilaya ya Temeke Mhe Sophia Mjema alipowasili
kuweka jiwe la msingi la mradi wa ujenzi wa barabara ya juu kwenye
makutano ya barabara za Mandela na Nyerere maeneo ya Tazara Jijini Dar
es Salaam leo Jumamosi Aprili 16, 2016.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli
akisalimiana na Mkuu wa Wilaya ya Ilala Mhe Raymond Mushi alipowasili
kuweka jiwe la msingi la mradi wa ujenzi wa barabara ya juu kwenye
makutano ya barabara za Mandela na Nyerere maeneo ya Tazara Jijini Dar
es Salaam leo Jumamosi Aprili 16, 2016.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli
akisalimiana na Meya wa Temeke Mstahiki Abdallah Chaurembo alipowasili
kuweka jiwe la msingi la mradi wa ujenzi wa barabara ya juu kwenye
makutano ya barabara za Mandela na Nyerere maeneo ya Tazara Jijini Dar
es Salaam leo Jumamosi Aprili 16, 2016.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli
akisalimiana na Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano
anayeshughulika Mawasiliano Prof. Faustin Kamuzora alipowasili kuweka
jiwe la msingi la mradi wa ujenzi wa barabara ya juu kwenye makutano ya
barabara za Mandela na Nyerere maeneo ya Tazara Jijini Dar es Salaam
leo Jumamosi Aprili 16, 2016.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli
akisalimiana na Mtendaji Mkuu wa TANROADS Mhandisi Patrick Mfugale kabla
ya kuweka jiwe la msingi kwa ajili ya mradi wa ujenzi wa barabara ya
juu kwenye makutano ya barabara za Mandela na Nyerere maeneo ya Tazara
Jijini Dar es Salaam leo Jumamosi Aprili 16, 2016.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli
Mbunge wa Segerea Mhe Bonna Kaluwa kuweka jiwe la msingi kwa ajili ya
mradi wa ujenzi wa barabara ya juu kwenye makutano ya barabara za
Mandela na Nyerere maeneo ya Tazara Jijini Dar es Salaam leo Jumamosi
Aprili 16, 2016.
Msanii akicheza na nyoka
Wimbo wa Taifa
Baadhi ya wafanyakazi wa mradi huo
Brass Band ya Polisi ikiongoza Wimbo wa Taifa
Wanahabari kazini
Mkuu
wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe Paul makonda akiongea wakati wa hafla
ya kuweka jiwe la msingi kwa ajili ya mradi wa ujenzi wa barabara ya juu
kwenye makutano ya barabara za Mandela na Nyerere maeneo ya Tazara
Jijini Dar es Salaam leo Jumamosi Aprili 16, 2016.
Mtendaji
Mkuu wa TANROADS Mhandisi Patrick Mfugale akisoma muhtasari wa Mradi
kabla ya kuweka jiwe la msingi kwa ajili ya mradi wa ujenzi wa barabara
ya juu kwenye makutano ya barabara za Mandela na Nyerere maeneo ya
Tazara Jijini Dar es Salaam leo Jumamosi Aprili 16, 2016.
Kaimu
Mhariri Mtendaji wa Shirika la Magazeti ya Serikali Bi. Tuma Abdallah
na Timu yake walikuwepo. Makao Makuu ya shirika hilo lipo jirani na
TAZARA
Sehemu ambapo mradi utapita
Mwanahabari akipiga picha sehemu ya maeneo ya Mradi
balozi wa Japan akiongea
Mwenyekiti
wa Kamati ya Bunge ya Miundombinu Dkt Norman Sigalla akiongea wakati
wa kuweka jiwe la msingi la mradi wa ujenzi wa barabara ya juu kwenye
makutano ya barabara za Mandela na Nyerere maeneo ya Tazara Jijini Dar
es Salaam leo Jumamosi Aprili 16, 2016.
Meya
wa Temeke Mstahiki Abdallah Chaurembo akisalimia wananchi kwenye hafla
ya kuweka jiwe la msingi la mradi wa ujenzi wa barabara ya juu kwenye
makutano ya barabara za Mandela na Nyerere maeneo ya Tazara Jijini Dar
es Salaam leo Jumamosi Aprili 16, 2016.
Meya wa Manispaa ya Ilala, Charles Kwiyeko akisalimia wananchi
Naibu
waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Mhandisi Edwin Ngonyani
alipowasili kuweka jiwe la msingi la mradi wa ujenzi wa barabara ya juu
kwenye makutano ya barabara za Mandela na Nyerere maeneo ya Tazara
Jijini Dar es Salaam leo Jumamosi Aprili 16, 2016.
Waziri
wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa akiongea
wakati wa kuweka jiwe la msingi la mradi wa ujenzi wa barabara ya juu
kwenye makutano ya barabara za Mandela na Nyerere maeneo ya Tazara
Jijini Dar es Salaam leo Jumamosi Aprili 16, 2016.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli
akihutubia katika hafla ya kuweka jiwe la msingi kwa ajili ya mradi wa
ujenzi wa barabara ya juu kwenye makutano ya barabara za Mandela na
Nyerere maeneo ya Tazara Jijini Dar es Salaam.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli
akihutubia katika hafla ya kuweka jiwe la msingi kwa ajili ya mradi wa
ujenzi wa barabara ya juu kwenye makutano ya barabara za Mandela na
Nyerere maeneo ya Tazara Jijini Dar es Salaam.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli
akihutubia katika hafla ya kuweka jiwe la msingi kwa ajili ya mradi wa
ujenzi wa barabara ya juu kwenye makutano ya barabara za Mandela na
Nyerere maeneo ya Tazara Jijini Dar es Salaam.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli
akihutubia katika hafla ya kuweka jiwe la msingi kwa ajili ya mradi wa
ujenzi wa barabara ya juu kwenye makutano ya barabara za Mandela na
Nyerere maeneo ya Tazara Jijini Dar es Salaam.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli
akisalimiana na wafanyakazi wa TANROADS katika hafla ya kuweka jiwe la
msingi kwa ajili ya mradi wa ujenzi wa barabara ya juu kwenye makutano
ya barabara za Mandela na Nyerere maeneo ya Tazara Jijini Dar es Salaam.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli
akisalimiana na wafanyakazi wa TANROADS katika hafla ya kuweka jiwe la
msingi kwa ajili ya mradi wa ujenzi wa barabara ya juu kwenye makutano
ya barabara za Mandela na Nyerere maeneo ya Tazara Jijini Dar es Salaam.
DART YAHIMIZWA KUELIMISHA WAKAZI WA DAR
ZIKIWA
zimebaki siku chache kabla ya mradi wa mabasi yaendayo kasi kuanza,
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewaagiza wakuu wa taasisi zinazohusika na
utekelezaji wa mradi huo kuhakikisha wanatoa elimu kwa umma ili
kupunguza madhara yanayoweza kujitokeza.
“Katika
kipindi hiki cha majaribio, ambacho madereva wameanza kutumia barabara
za BRT, hakikisheni mnatoa elimu ya kutosha kwa wananchi kuhusu namna ya
kuvuka barabara, kuzuia wenye bodaboda kutumia barabara hizo kuelezea
na matumizi ya taa za barabarani kwa madereva wote,” amesema
BONDIA VICENT MBILINYI AENDELEA KUJIFUA CHINI YA KOCHA WAKE SUPER D
| Kocha wa Kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila ‘Super D ‘ Kushoto akimfundisha bondia Vicent Mbilinyi jinsi ya kupiga ngumi za mkunjo wa chini ‘Upcut’ wakati wa mazoezi yaliyofanyika katika uwanja wa kikapu Shule ya Uhuru wasichana ‘Uhuru GYM’ Picha naSUPER D BOXING EWS |
| Bondia Aloyce Kakinda kushoto akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na Vicent Mbilinyi wakati wa mazoezi yao yanayoendelea Uhuru GYM kariakoo Dar es salaam |
HAKUNA MUDA WA KULALA, WAZIRI MKUU AIAMBIA DART
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa
amewaambia watendaji na wadau wa mradi Mabasi Yaendayo Haraka wa jijini
Dar es Salaam (BRT) kuwa hawana muda wa kulala wa kupumzika na akawataka
wakamilisha haraka vipengele vichache vilivyobakia ili mradi huo uweze
kuanza kazi mapema iwezekanavyo
Alisema taarifa za kila mtumiaji
zitaunganishwa na simu yake ya mkononi ambapo mhusika ataweza kujua kwa
urahisi salio la fedha lililomo kwenye kadi yake.
Nape:Nitarudisha heshima ya Tasnia ya Habari nchini.
Waziri wa Habari,Utamaduni,Sanaa
na Michezo Mhe.Nape Nnauye akizungumza na wadau waliopo chiniya wizara
yake pamoja na watumishi wa sekretarieti ya mkoa wa Mara wakati wa ziara
ya kutembelea maeneo yanayohusu sekta za wizara, kupokea taarifa ya
mkoa na kuwapatia vitendea kazi maafisa mawasiliano wa mkoa huo.
Wengine pichani ni Katibu Tawala mkoa wa Mara Bw.Benedict Ole Kuyan(wa
kwanza kulia),Mkuu wa wilaya ya Butiama Bi.Anarose Nyamubi(wa tatu
kulia) na Kaimu meya wa manispaa Bw.Wambura Kajala.
Kaimu Mkuu wa mkoa wa shinyanga
Bi.Josephine Matiro akizungumza jambo wakati wa kumkaribisha Waziri wa
Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Mhe.Nape Nnauye baada ya kuwasili
mkoani hapo ili kujua changamoto mbalimbali za watumishi walio chini ya
wizara yake na kuongea na wadau wa Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo.
Katibu Tawala mkoa wa Mara
Bw.Benedict Ole Kuyan akizungumza na wadau mbali mbali wa sekta za
Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo pamoja na watumishi wa serikali wa
mkoa wa Mara leo hii wakati wa Ziara ya Waziri wa Habari,Utamaduni,Sanaa
na Michezo Mhe.Nape Nnauye mkoani humo.
Waziri wa Habari,Utamaduni,Sanaa
na Michezo Mhe.Nape Nnauye akipata maelezo kutoka kwa fundi mitambo
mwandamizi wa shirika la utangazaji Tanzania(TBC) Bw.John Igomego jinsi
mitambo yakurushia matangazo ya shirika hilo inavyofanya kazi mkoa wa
Mara.
Waziri wa Habari,Utamaduni,Sanaa
na Michezo Mhe.Nape Nnauye akizungumza na katibu wa chama cha
mapinduzi(CCM) mkoani Shinyanga Alhaj Saad Kusilawe(mwenye kofia ya
njano) kuhusu maendelezo ya uwanja wa kambarage ambao unamilikiwa na
chama hicho mkoani hapo.Mhe.Nape amewaasa viongozi wa mkoa huo kutafta
wadhamini ili kuuboresha uwanja huo.
…………………………………………………………………………………………………………….
Na Daudi Manongi-WHUSM
Waziri wa Habari,Utamaduni,Sanaa
na Michezo amesema kuwa atahakikisha heshima ya tasnia ya habari
inarudi baada ya kupitishwa kwa mswada wa sheria ya huduma za vyombo
vya Habari.
Waziri Nape ameyasema hayo
alipokuwa katika katika ziara mkoani Mara na Shinyanga na kutembelea
maeneo yanayohusu sekta za wizara hiyo na kupokea taarifa ya mkoa na
kuwapatia vitendea kazi maafisa mawasiliano wa mikoa hiyo.
“Ule mswada utatoa tafsiri ya
mwandishi wa habari,maana mwandishi wa habari lazma awe na sifa.Siku
hizi anaweza kuwa mtu anauza ndizi alafu akajifunza kupiga picha
akajiita na yeye mwandishi wa Habari.Ukifanya ivyo tasnia hii inakosa
heshima,kwaiyo sheria ile itatafsiri nani mwandishi wa habari”Alisema
Nape.
Aidha Waziri Nape alisema kuwa
kwa kufanya hivi sheria hii itatibu tatizo la kulipwa vibaya na wamiliki
wa vyombo vya habari maana mwandishi huyu atakuwa na elimu,maana kama
hana elimu mmiliki ataajili mtu anaejua kusema wa kijuweni alafu ndo
anamuajiri anakuwa mtangazaji wa radio yake kisa tu anajua kusema.
Pamoja na hayo waziri uyo mwenye
dhamana ya wizara nyeti ya habari alisema kuwa sheria hiyo pia
itazungumzia maslahi ya mwandishi wa habari,itawabana wamiliki na mswada
huu ukipita utarudisha heshima ya tasnia hii ya habari katika nchi
yetu.
Akizungumzia upande wa radio
kujenga nchi waziri nape amewaasa waandishi wa habari na watangazaji wa
radio kujenga amani ya nchi yetu kwa kuwaunganisha watanzania kupitia
radio zao na si kuwatenganisha akitolea mfano wa yaliyotokea nchini
Rwanda kwamba radio zilitumika kuhamasisha mauaji.
Mheshimiwa Nape pia amehaidi
kuimarisha vitengo vya mawasiliano serikalini ikiwa ni pamoja na kuwapa
maafisa hao vitendea kazi, pia ameliomba jeshi la polisi kutoa
ushirikiano katika kutoa taarifa na amehaidi kuzungumza na jeshi hilo
ili waandishi hawa waweze kupata taarifa kirahisi.
Waziri uyo yupo katika ziara ya
mikoa ya Kagera,Mara,Shinyanga,Tabora na Singida ikiwa na lengo kuu la
kuileta Wizara ya habari,utamaduni,Sanaa na Michezo mikoani na wilayani
karibu na wadau.
INAFRIKA BAND YAFANYA KWELI NASHVILLE, TENNESSEE

Wanamuziki wa bendi ya Inafrika toka Tanzania wakipata picha ya kumbukumbu Nashville jimbo la Tennessee ambapo wapo tangia March 18, 2016mpaka April 18, 2016 kwenye tamasha linaloandaliwa kila mwaka na Dolly Parton linalofanyika kwenye park iitwyo Dollywood iliyopo mjini humo. Tamasha hilo hushirikisha bendi mbalimbali kutoka mabara yote, Bara la Afrika liliwakilishwa na Inafrika Bendi kutoka Tanzania.

Wanamuziki wa Inafrika Bendi wakiwa katika picha ya pamoja na Dolly Parton.


Wanamuziki wa Inafrika wakipata picha ya kumbukumbu kwenye bango la Dollywood Park.

Picha ya pamoja.
RC DAR ES SALAAM NA KOREA KUSINI WAWEKA JIWE LA MSINGI LA HOSPITALI YA CHANIKA MANISPAA YA ILALA
Mkuu
wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda (kulia) na Makamu wa Rais wa
Shirika la Koica la nchini Korea Kusini, Taemyon Kwon, wakiweka tofali
kwa pamoja kuashiria uweka wa jiwe la msingi la Hospitali ya Chanika
iliyopo Manispaa ya Ilala, inayojengwa kwa ufadhili wa nchi hiyo Dar es
Salaam jana. Ujenzi huo hadi kukamilika utagharimu sh. bilioni 8.8 za
kitanzania.
Hutuba na taarifa ya mradi huo zilisomwa.
Balozi wa Korea nchini Geum-young Song (katikati), akizungumza katika hafla hiyo.
Wananchi wa Chanika wakiwa kwenye hafla hiyo ya kuweka jiwe la msingi la Hospitali yao.
Diwani
wa Kata ya Chanika, Mr Massaburi akitoa neno la Shukurani kwa RC
Makonda, Serikali pamoja na Serikali ya Korea kwa ujenzi wa Hospitali
hiyo.
Mkurugenzi
wa Manispaa ya Ilala, Mr Isaya (kulia), Mganga Mkuu wa Mkoa wa Dar es
Salaam, Grace Magembe, Mganga Mkuu wa Manispaa ya Ilala, Victriana
Ludovic na Meneja wa Mradi wa ujenzi wa Hospitali hiyo Mr Kim wakiweka
jiwe la msingi la Hospitali hiyo.
Wanafunzi wa Shule ya Msingi Chanika wakiwa kwenye hafla hiyo.
Meneja
wa Mradi huo, Mr Kim akimuonesha Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul
Makonda na ujembe wake ramani ya majengo ya Hospitali hiyo.
Wanafunzi wa Shule ya Msingi Chanika wakitoa burudani katika hafla hiyo.
Wasanii wakitoa burudani katika hafla hiyo.
Mkuu wa Mkoa wa Dar, Paul Makonda akiwa katika picha ya pamoja na viongozi wa Manispaa ya Ilala na Korea Kusini
……………………………………………………………………………………………………
Na Dotto Mwaibale
……………………………………………………………………………………………………
Na Dotto Mwaibale
MKUU
wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda na balozi wa Korea nchini
Geum-young Song wameweka jiwe la msingi la Hospitali ya Chanika Manispaa
ya Ilala jijini Dar es Salaam ambapaaaaaaaaaao itakapo kamilika itakuwa
na uwezo wa kuhudumia wananchi 4000.
Akizungumza
katika hafla ya kuweka jiwe hilo la msingi Chanika jijini Dar es Salaam
jana, Makonda aliishukuru serikali ya Korea kwa msaada wa ujenzi wa
Hospitali hiyo ambayo itawasaidia wananchi wa Chanika na kupunguza
msongamano wa wagonjwa katika Hospitali ya Rufaa ya Amana.
“Tunawashukuru
hawa ndugu zetu wa Korea Kusini kwa msaada wa kutujengea Hospitali hii
nawaombeni wananchi kuitunza ili kila mtakapokuwa mnafika kutibiwa
tuwakumbuke wakorea” alisema Makonda.
Mganga
Mkuu wa Manispaa ya Ilala, Victorina Ludovic alisema ujenzi wa
Hospitali hiyo utasaidia kusogeza huduma muhimu karibu na wananchi
wapatao 398,882 kutoka maeneo ya Chanika, Msongola, Zingiziwa na Majohe
hivyo kupunguza muda na gharama ambazo wananchi wamekuwa wakitumia
kufuata huduma hizo umbali wa kilometa 30 kwenda hospitali ya Amana ya
Rufaa.
Ludovic alisema ujenzi wa mradi huo hadi utakapokamilika utagharimu dola la milioni 4 sawa na sh.bilioni 8.8 za kitanzania.
Balozi
wa Korea nchini , Geum-young Song amesema wakorea hawafurahishwi
wanapoona mama na mtoto wanapoteza maisha wakati wa kujifungua nchini
Tanzania.
“Nchi
yetu kupitia shirika la Koica imeamua kujitolea kujenga hospitali hii
ili kuwasaidia wananchi wa Tanzania kupata huduma bora ya afya ya mama
na mtoto wakati wa kujifungua kwani hatupendi kuona wanapoteza maisha
wakati wa kujifungua” alisema Young Song.
Balozi
huyo aliipongeza serikali ya Tanzania kwa kushirikiana na nchi ya Korea
katika shughuli mbalimbali jambo linaloimarisha uhusiano baina ya
wananchi wa nchi hizo.
RAIS DKT JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI AWEKA JIWE LA MSINGI LA UJENZI WA BARABARA YA JUU (FLYOVER) MAKUTANO YA BARABARA YA MADELA NA NYERERE
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akifungua pazia kuashiria
kuweka jiwe la msingi kwa ajili ya mradi wa ujenzi wa barabara ya juu
kwenye makutano ya barabara za Mandela na Nyerere maeneo ya Tazara
Jijini Dar es Salaam leo Jumamosi Aprili 16, 2016.(PICHA NA IKULU
na Raymond Mushumbusi MAELEZO).
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akifungua pazia kuashiria
kuweka jiwe la msingi kwa ajili ya mradi wa ujenzi wa barabara ya juu
kwenye makutano ya barabara za Mandela na Nyerere maeneo ya Tazara
Jijini Dar es Salaam leo Jumamosi Aprili 16, 2016.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akifungua pazia kuashiria
kuweka jiwe la msingi kwa ajili ya mradi wa ujenzi wa barabara ya juu
kwenye makutano ya barabara za Mandela na Nyerere maeneo ya Tazara
Jijini Dar es Salaam leo Jumamosi Aprili 16, 2016.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akipata maelezo ya namna
mandhari itakavyokuwa baada ya kuweka jiwe la msingi kwa ajili ya mradi
wa ujenzi wa barabara ya juu kwenye makutano ya barabara za Mandela na
Nyerere maeneo ya Tazara Jijini Dar es Salaam leo Jumamosi Aprili 16,
2016.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akipungia mkono wananchi baada
ya kuweka jiwe la msingi kwa ajili ya mradi wa ujenzi wa barabara ya juu
kwenye makutano ya barabara za Mandela na Nyerere maeneo ya Tazara
Jijini Dar es Salaam.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akipungia mkono wananchi baada
ya kuweka jiwe la msingi kwa ajili ya mradi wa ujenzi wa barabara ya juu
kwenye makutano ya barabara za Mandela na Nyerere maeneo ya Tazara
Jijini Dar es Salaam
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akihutubia katika hafla ya
kuweka jiwe la msingi kwa ajili ya mradi wa ujenzi wa barabara ya juu
kwenye makutano ya barabara za Mandela na Nyerere maeneo ya Tazara
Jijini Dar es Salaam.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania akikata utepe kuashiria ufunguzi rasmi na kuanza kwa ujenzi wa
mradi wa barabara ya juu Tazara Jijini Dar es Salaam.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania akiwa katika picha ya pamoja na viongozi mbalimbaliwa kitaifa
na kimataifa wakati wa ufunguzi rasmi na kuanz akwa ujenzi wa mradi wa
barabara ya juu Tazara Jijini Dar es Salaam.














































No comments :
Post a Comment