Mkurugenzi
Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Kuwait ,Mhandisi Yousef Al Fozan ,
maoja na msafara wake wakiwasili kwenye uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa
Julius Nyerere (JNIA) jijini Dar es alaam leo.
Mkurugenzi
Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania,(TCAA) Hamza Johari,
(wapili kushoto) akiwa na maofisa wa Ubalozi wa Kuwait hapa nchini
kwenye uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) jijini Dar
es alaam wakimsubiria Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga
Kuwait ,Mhandisi Yousef Al Fozan aliyewasili nchini kwa ajili ya kusaini
makubaliano ya safari za Anga baina ya Tanzania na Kuwait.
Mkurugenzi
Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania,(TCAA) Hamza Johari
(Kushoto)akisalimiana na Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga
Kuwait ,Mhandisi Yousef Al Fozan ,mara baada ya kuwasili kwenye uwanja
wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) jijini Dar es Salaam
leo,Kwa ajili ya kusaini makubaliano ya safari za Anga baina ya
Tanzania na Kuwait.
Mkurugenzi
Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania,(TCAA) Hamza Johari,
(wapili kushoto) akiwa kwenye gari pamoja na wageni wake kushoto ni
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Kuwait ,Mhandisi Yousef Al
Fozan na Kulia ni Ofisa Mwandamizi wa Ubalozi wa Kuwait Nchini, Mohamed
Rashid Alamiri, mara baada ya kuwasili kwenye uwanja wa Ndege wa
Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) jijini Dar es alaam leo,Kwa ajili ya
kusaini makubaliano ya safari za Anga baina ya Tanzania na Kuwait.
Mkurugenzi
Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania,(TCAA) Hamza Johari,
(wapili kushoto) akiwa na mgeni wake Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya
Usafiri wa Anga Kuwait ,Mhandisi Yousef Al Fozan, wakati alipowasili
kwenye uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) jijini Dar
es alaam kwa ajili ya kusaini makubaliano ya safari za Anga baina ya
Tanzania na Kuwait.
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Kuwait ,Mhandisi Yousef
Al Fozan ,(Kulia) akimfafanulia jambo Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya
Usafiri wa Anga Tanzania,(TCAA) Hamza Johari, kuhusiana na usafiri wa
Anga mara baada ya kuwasili kwenye uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa
Julius Nyerere (JNIA) jijini Dar es alaam leo,Kwa ajili ya kusaini
makubaliano ya safari za Anga baina ya Tanzania na Kuwait.
COSATO CHUMI APONGEZWA NA WANANCHI WA JIMBO LA MAFINGA MJINI
mbunge wa jimbo la Mafinga
mjini mkoani Iringa Cosato Chumi akiwa na balozi wa
korea mh Geum-young song wakipata picha ya pamoja baada ya maongezi ya muda mrefu.
mjini mkoani Iringa Cosato Chumi akiwa na balozi wa
korea mh Geum-young song wakipata picha ya pamoja baada ya maongezi ya muda mrefu.
………………………………………….
Na fredy mgunda,iringa
Wananachi wa maeneo mbalimbali ya jimbo la mafinga mjini wamesema utaratibu wa mbunge wao Cosato
Chumi kwa kwenda kutembelea maeneo yenye kero ni dalili njema zinazoonyesha
kuwa hawakufanya makosa kumchagua kuwa mbunge wao na kuongeza hatadanganywa na
watendaji walioko chini yake tatizo linalosababisha viongozi wengi kutoa
maamuzi yasiyo sahihi na yanayoendelea kuiathiri jamii.
Chumi kwa kwenda kutembelea maeneo yenye kero ni dalili njema zinazoonyesha
kuwa hawakufanya makosa kumchagua kuwa mbunge wao na kuongeza hatadanganywa na
watendaji walioko chini yake tatizo linalosababisha viongozi wengi kutoa
maamuzi yasiyo sahihi na yanayoendelea kuiathiri jamii.
Aidha wananchi hao wamempongeza mbunge wao kwa juhudi anazo zifanya za kukutana na watadau
mbalimbali kwa ajili ya kuwaletea maendeleo wananchi wa jimbo lake.
mbalimbali kwa ajili ya kuwaletea maendeleo wananchi wa jimbo lake.

No comments :
Post a Comment