Tuesday, March 29, 2016

MKURUGENZI MKUU WA MAMLAKA YA USAFIRI WA ANGA KUWAIT MHANDISI YOUSEF AL FOZAN AWASILI NCHINI KUSAINI MAKUBALIANO YA USAFIRI WA ANGA NA TCAA.


A5 
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Kuwait ,Mhandisi Yousef Al Fozan , maoja na msafara wake wakiwasili kwenye uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) jijini Dar es alaam leo.
A4 
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania,(TCAA) Hamza Johari, (wapili kushoto)  akiwa na maofisa wa Ubalozi wa Kuwait hapa nchini kwenye uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) jijini Dar es alaam  wakimsubiria Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Kuwait ,Mhandisi Yousef Al Fozan aliyewasili nchini kwa ajili ya kusaini makubaliano ya safari za Anga baina ya Tanzania na Kuwait.
A1 
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania,(TCAA) Hamza Johari (Kushoto)akisalimiana na Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Kuwait  ,Mhandisi Yousef Al Fozan ,mara baada ya kuwasili kwenye uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) jijini Dar es Salaam leo,Kwa ajili ya kusaini  makubaliano ya safari za Anga baina ya Tanzania na Kuwait.
A3 
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania,(TCAA) Hamza Johari, (wapili kushoto)  akiwa kwenye gari pamoja na wageni wake kushoto ni Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Kuwait ,Mhandisi Yousef Al Fozan na Kulia ni Ofisa Mwandamizi wa Ubalozi wa Kuwait Nchini, Mohamed Rashid Alamiri, mara baada ya kuwasili kwenye uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) jijini Dar es alaam leo,Kwa ajili ya kusaini makubaliano ya safari za Anga baina ya Tanzania na Kuwait.
index 
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania,(TCAA) Hamza Johari,  (wapili kushoto)  akiwa na mgeni wake Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Kuwait ,Mhandisi Yousef Al Fozan, wakati alipowasili kwenye  uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) jijini Dar es alaam kwa ajili ya kusaini makubaliano ya safari za Anga baina ya Tanzania na Kuwait.
A2 
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Kuwait ,Mhandisi Yousef Al Fozan ,(Kulia) akimfafanulia jambo Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania,(TCAA) Hamza Johari, kuhusiana na usafiri wa Anga mara baada ya kuwasili kwenye uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) jijini Dar es alaam leo,Kwa ajili ya kusaini makubaliano ya safari za Anga baina ya Tanzania na Kuwait.

COSATO CHUMI APONGEZWA NA WANANCHI WA JIMBO LA MAFINGA MJINI

mbunge wa jimbo la Mafinga
mjini mkoani Iringa  Cosato Chumi akiwa na
balozi wa
korea  mh Geum-young song wakipata picha ya pamoja baada ya maongezi ya muda mrefu.
………………………………………….
 
 Na fredy mgunda,iringa
 
Wananachi wa maeneo mbalimbali ya jimbo la mafinga mjini wamesema utaratibu wa mbunge wao Cosato
Chumi kwa kwenda kutembelea maeneo yenye kero ni dalili njema zinazoonyesha
kuwa hawakufanya makosa kumchagua kuwa mbunge wao na kuongeza hatadanganywa na
watendaji walioko chini yake tatizo linalosababisha viongozi wengi kutoa
maamuzi yasiyo sahihi na yanayoendelea kuiathiri jamii.
Aidha wananchi hao wamempongeza mbunge wao kwa juhudi anazo zifanya za kukutana na watadau
mbalimbali kwa ajili ya kuwaletea maendeleo wananchi wa jimbo lake.

No comments :

Post a Comment