Afisa Mahusiano na Masoko Mkuu wa Benki
ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB), Bw. Saidi Mkabakuli akitoa
maelezo ya kuhusu TADB kwa mmoja wa wadau waliotembela Meza ya TADB wakati wa Warsha ya Kitaifa ya Wadau ya Sekta ya Kilimo inayofanyika katika Hoteli ya Blue Pearl, jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi wa Biashara na Mikopo wa Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB), Bw. Robert Pascal (Kulia) akiwasilisha Mada kuhusu Wajibu wa TADB katika kuendeleza kilimo nchini wakati wa Warsha ya Kitaifa ya Wadau ya Sekta ya Kilimo inayofanyika katika Hoteli ya Blue Pearl, jijini Dar es Salaam.
Naibu
Waziri wa Kilimo, Mifugo, na Uvuvi, Mhe. William Ole Nasha (Kulia)
akizungumza na Mwenyekiti wa Baraza la Kilimo Tanzania, Dkt. Sinare
Yusuf Sinare (Kushoto) na Mkurugenzi Mwendeshaji wa Benki ya Maendeleo
ya Kilimo Tanzania (TADB), Bw. Thomas Samkyi (Wapili Kushoto) wakati wa Warsha ya Kitaifa ya Wadau ya Sekta ya Kilimo inayofanyika katika Hoteli ya Blue Pearl, jijini Dar es Salaam.
Mbunge wa Babati Vijijini, Mhe. Jitu Soni (Kulia)
akizungumza na Mkurugenzi wa Biashara na Mikopo wa Benki ya Maendeleo
ya Kilimo Tanzania (TADB), Bw. Robert Pascal (Katikati) wakati wa Warsha
ya Kitaifa ya Wadau ya Sekta ya Kilimo inayofanyika katika Hoteli ya
Blue Pearl, jijini Dar es Salaam. Kushoto ni mmoja wa wadau
waliohudhuria warsha hiyo.
Naibu Waziri wa Kilimo, Mifugo, na Uvuvi, Mhe. William Ole Nasha (Kulia) akiagana na Mkurugenzi Mwendeshaji wa Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB), Bw. Thomas Samkyi (Katikati) naMwenyekiti
wa Baraza la Kilimo Tanzania, Dkt. Sinare Yusuf Sinare (Kushoto) mara
baada ya kufungua Warsha ya Kitaifa ya Wadau ya Sekta ya Kilimo
inayofanyika katika Hoteli ya Blue Pearl, jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi Mwendeshaji wa Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB), Bw. Thomas Samkyi (Kushoto) akiwa na Mkurugenzi wa Biashara na Mikopo Bw. Robert Pascal wakifuatilia mada wakati wa Warsha ya Kitaifa ya Wadau ya Sekta ya Kilimo inayofanyika katika Hoteli ya Blue Pearl, jijini Dar es Salaam.
Mbunge wa Babati Vijijini, Mhe. Jitu Soni (Kulia) akioneshwa moja ya bidhaa zilizokuwa zikioneshwa katika Meza ya TADB wakati wa Warsha
ya Kitaifa ya Wadau ya Sekta ya Kilimo inayofanyika katika Hoteli ya
Blue Pearl, jijini Dar es Salaam. Anayemuonyesha ni Afisa Maendeleo ya
Biashara Mwandamizi wa TADB, Bw. George Nyamrunda.
Naibu
Waziri wa Kilimo, Mifugo, na Uvuvi, Mhe. William Ole Nasha (Kushoto)
akipokea zawadi kutoka kwa Mkurugenzi Mwendeshaji wa Benki ya Maendeleo
ya Kilimo Tanzania (TADB), Bw. Thomas Samkyi (Wapili kulia) wakati wa Warsha
ya Kitaifa ya Wadau ya Sekta ya Kilimo inayofanyika katika Hoteli ya
Blue Pearl, jijini Dar es Salaam. Kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa Baraza
la Kilimo Tanzania, Bibi Janet Bitegeko ambaye pia ni Mjumbe wa Bodi ya
Wakurugenzi wa TADB.
No comments :
Post a Comment