Friday, January 1, 2016

RAIS DKT.JOHN POMBE MAGUFULI AWATEGA MAKATIBU WAKUU NA MANANAIBU WAO BAADA YA KUWAAPISHA

 

Makatibu wakuu na Naibu Katibu wakiapa kabla ya kusaini Hati ya Maadili ya Umma mara tu baada ya kuapishwa Ikulu jijini Dar es salaam leo January 1, 2016
Rais Dkt John Pombe Joseph Magufuli, Makamu wa Rais Mhe Samia Suluhu Hassan, Waziri Mkuu Mhe Kassim Majaliwa na Mwanasheria Mkuu wa Serikali Mhe George Masaju wakishuhudia Katibu Mkuu Kiongozi akiwapa maelekezo Makatibu wakuu na Naibu Katibu namna  ya kusaini Hati ya Maadili ya Umma mara tu baada ya kuapishwa Ikulu jijini Dar es salaam leo January 1, 2016
Waziri Mkuu Mhe Kassim Majaliwa akiongea na Makatibu wakuu na Naibu Katibu wakuu baada ya kusaini Hati ya Maadili ya Umma mara tu baada ya kuapishwa Ikulu jijini Dar es salaam leo January 1, 2016

DKT.SHEIN AONGOZA BONANZA LA MAZOEZI YA VIUNGO ZANZIBAR

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) akiongoza Matembezi ya wanamichezo katika Bonanza la mazoezi ya viungo kitaifa yaliyofanyika leo kwa kuwanzia  Uwanja wa  Tumbaku Mjini Unguja na kumalizia Uwanja wa Amaan Studium,[Picha na Ikulu.] 






No comments :

Post a Comment