Wednesday, December 2, 2015

KATIBU MKUU WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII AFUNGUA DUKA LA DAWA LA


Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Dk.Donan Mmbando (katikati), akikata utepe kuashiria ufunguaji rasmi wa duka la dawa la Bohari ya Dawa (MSD), lililofunguliwa Hospatali ya Taifa ya Muhimbili (MNH), Dar es Salaam leo asubuhi. Kutoka kushoto ni Mkurugenzi Mkuu wa MSD, Laurean Bwanakunu, Mwenyekiti wa Bodi ya MSD, Profesa Idrisa Mtulia na  Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa MNH, Profesa Laurence Mselu.
Msimamizi wa duka hilo, Betia Kaema (kushoto), akitoa maelezo kwa  Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Dk.Donan Mmbando.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Dk.Donan Mmbando (wa pili kulia), akimsikiliza Msimamizi wa Duka hilo, Betia Kaema (hayupo pichani), wakati wa ufunguaji wa duka hilo. Kutoka kushoto ni Mwenyekiti wa Bodi ya MSD, Profesa Idrisa Mtulia, Kaimu Mkurugenzi wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH), Profesa Laurence Mselu na Kulia ni Mkurugenzi Mkuu wa MSD, Laurean Bwanakunu.
Mwonekano wa duka hilo kwa nje.
Meneja Huduma kwa Wateja wa MSD, Salome Malamia (kulia), akizungumza na wateja waliofika kuhudumiwa katika duka hilo.
Maofisa wa MSD wanaotoa huduma katika duka hilo wakiwa kazini.
Dawa zikiwa zimepangwa katika duka hilo.
Wateja wakiwa katika duka hilo.
Msimamizi wa duka hilo, Betia Kaema, akitoa maelezo kwa  Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Dk.Donan Mmbando wakati akikagua duka hilo.

No comments :

Post a Comment