
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akihutubia wakati akifungua rasmi
Kongamano la Afrika kuhusu Makubaliano ya Rasimu mpya ya Dunia inayohusu
Usimamizi wa Masuala ya Tabianchi. Kongamano hilo lilianza jana Sept 3, 2015
kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Mwalimu Nyerere jijini Dar esSalaam
Baadhi ya Washiriki wa Kongamano hilo
wakimsikiliza Makamu wa Rais Dkt. Bilal, wakati akihutubia
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib akiteta jambo na Balozi wa Uingereza nchini
Tanzania, Mh. Dianna Melrose, (kushoto),
wakati wa ufunguzi wa Kongamano la Afrika kuhusu Makubaliano ya Rasimu mpya ya
Dunia inayohusu Usimamizi wa Masuala ya Tabianchi. Kongamano hilo lilianza jana
Sept 3, 2015 kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Mwalimu Nyerere jijini
Dar esSalaam
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya
washiriki wa Kongamano hilo baada ya ufunguzi



No comments :
Post a Comment