Saturday, February 1, 2020

PAUL MAKONDA APIGWA MARUFUKU KUINGIA MAREKANI


Paul Makonda

Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, apigwa marufuku kuingia Marekani.

Taarifa iliyotolewa na Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani leo Ijumaa, Januari 31 2020 marufuku hiyo pia inamhusisha mke wa Makonda Bi Mary Felix Massenge.

Kwa mujibu wa taarifa hiyo, Makonda anashutumiwa kwa kushiriki katika ukandamizaji wa haki za binadamu.

Ukandamizaji wa haki ambao Makonda anashutumiwa kuutenda ni pamoja na kunyima watu haki ya kuishi, haki ya uhuru wa kujiamulia mambo na usalama wa watu.

"Wizara ina taarifa za uhakika kuwa Makonda amehusika katika uvunjifu huo wa haki kupitia nafasi yake kama mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam. Katika nafasi yake hiyo, pia amelaumiwa kwa kukandamiza upinzani wa kisiasa, kukandamiza haki ya kujieleza, na kushambulia makundi yasiyo na sauti," imeeleza sehemu ya taarifa hiyo.
Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani Michael Pompeo ametumia mtandao wake wa Twitter kutangaza marufuku hiyo.

TANZANIA YATANGAZA KUSITISHA MATUMIZI YA PASSPORT ZA ZAMANI


Standard Chartered’s economists predict positive economic outlook for Tanzania

Dar es Salaam. Standard Chartered Bank economists have forecasted a positive growth for Tanzania in 2020 which is expected to range from 6.5 per cent upwards, a trend that is also mirrored in most

5 ways to fund your business without using your own money

Dominic Omondi For a small business that doesn’t have any assets, getting a loan can be extremely difficult. Without access to any form of security, micro, small and medium-sized enterprises (MSMEs) attract a high-risk premium from lenders.

This means MSMEs will find they’ll either be denied a loan or get the cash at ...

We made first million from chicken business

John Shilitsa 
Andrew Makatiani and his wife Lillian Muhabi at their farm in Eshitungu in Kakamega town. [Benjamin Sakwa, Standard]
Farming involves a lot of toiling with no guarantee of profits. Breaking even may take years and several false starts. But with consistency and determination, you reap the...

Airtel, Telkom reject market regulator’s merger conditions

airtel-telkom-reject-market-regulator-s-merger-conditionsFrankline Sunday  The proposed merger between Airtel Kenya and Telkom Kenya is facing fresh hurdles as the two telecoms operators contest conditions set by the...

Take heart, hustling is a universal art

Take heart, hustling is universal…XN Iraki
We have been writing about hustling, but no one’s really defined who a hustler is.

 We can try and define a hustler as anyone whose source of income is never guaranteed, who doesn’t enjoy formal social protection like a pension, and who has activities aligned to natural cycles, like the