Sunday, August 28, 2022

RAIS WA ZANZIBAR DKT HUSSEIN MWINYI APOKEA RIPOTI YA UKAGUZI HESABU ZA SERIKALI YA

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akikabidhiwa Ripoti ya Ukaguzi wa Hesabu za Serikali ya mwaka 2020/2021 na Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali ya Mapinduzi Zanzibar.Dkt.Othman Abass Ali, hafla hiyo iliyofanyika leo 27-8-2022, katika viwanja vya Ikulu Jijini Zanzibar.






No comments :

Post a Comment