Friday, April 8, 2022

MRADI WA MAJITAKA WA EURO MILIONI 5.3 KUJENGWA MKOANI MWANZA


Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa MWAUWASA, Mhandisi Leonard Msenyele (kulia) akifafanua jambo wakati wa ziara kwenye mradi wa uondoshaji majitaka Mabatini

Kaimu Mkurugenzi Mtendaji MWAUWASA, Mhandisi Leonard Msenyele (kulia) na Ujumbe kutoka Benki ya Maendeleo ya Ujerumani (KfW) walipotembelea mradi wa uondoshaji majitaka maeneo ya milimani.

Kaimu Mkurugenzi Mtendaji MWAUWASA, Mhandisi Leonard Msenyele akielezea utendaji wa mabwawa ya majitaka ya Butuja kwa Ujumbe kutoka Benki ya Maendeleo ya Ujerumani (KfW)

Meneja anayesimamia miradi Afrika Mashariki na Umoja wa Afrika kutoka Benki ya KfW, Martina Maurer (kushoto) akimsikiliza Meneja Ufundi wa MWAUWASA, Mhandisi Salim Lossindilo (kulia) wakati wa ziara kwenye maeneo yatakayonufaika na mradi.

Muonekano wa Mabwawa ya Majitaka ya Butuja Mkoani Mwanza

No comments :

Post a Comment