Monday, March 7, 2022

RAIS SAMIA AHUTUBIA JUMUIYA YA WANAFUNZI WA SHULE YA SEKONDARI BENJAMIN MKAPA NA UHURU JIJINI DAR ES SALAAM

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Mwanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Benjamin Mkapa Emanuel Mzena mara baada ya kuwasili Shuleni hapo leo tarehe 07 Machi, 2022 kwa ajili ya kuzungumza na Wanafunzi.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Mwanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Benjamin Mkapa, Emanuel Mzena mara baada ya kuwasili Shuleni hapo leo tarehe 07 Machi, 2022 kwa ajili ya kuzungumza na Wanafunzi wa Shule hiyo.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na viongozi mbalimbali pamoja Wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Benjamin Mkapa, Wanafunzi wa Shule ya uhuru Mchanganyiko na Uhuru Msingi zilizopo eneo la Gerezani Ilala Jijini Dar es Salaam leo tarehe 07 Machi, 2022.







Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akigawa vifaa mbalimbali vya michezo kwa Wanafunzi wa Shule ya Sekondari Benjamin Mkapa, Shule ya Msingi Uhuru pamoja na Shule ya Uhuru Mchanganyiko leo tarehe 07 Machi, 2022.

No comments :

Post a Comment