Friday, February 25, 2022

TANZANIA COMMERCIAL BANK YATOA VIFAA VYA KUONGEZA USALAMA BARABARANI KWA JESHI LA POLISI

Mkurugenzi wa Masoko na ukuzaji biashara wa Benki ya Biashara ya Tanzania Commercial Bank TCB Deogratius Kwiyukwa (kushoto), akishikana mikono na Mkuu wa Kitengo cha Usalama Barabarani Wilaya ya Kinondoni Notkey Kilewa, wakati wa hafla yakukabidhi msaada wa vifaa vya kuongezea usalama barabarani pamoja na vibanda kumi vya kupunzikia askari wa kitengo hicho makabidhiano hayo yamefanyika katika kituo kikubwa cha polisi cha Oystebay jijini Dar es Salaam. wengine pichani ni Meneja wa Tanzania Commercial Bank Tawi la Ubungo Abas Juma pamoja na Mkuu wa Usalama Barabarani kituo cha Urafiki ubungo Amina Saidi.


:Mkurugenzi wa Masoko na ukuzaji biashara wa Benki ya Biashara ya Tanzania Commercial Bank TCB Deogratius Kwiyukwa (kulia), akizungumza wakati wa hafla yakukabidhi msaada wa vifaa vya kuongezea usalama barabarani pamoja na vibanda kumi vya kupunzikia askari wa kitengo hicho makabidhiano hayo yamefanyika katika kituo kikubwa cha polisi cha Oystebay wengine pichani ni Mkuu wa Kitengo cha Usalama Barabarani Wilaya ya Kinondoni Notkey Kilewa,pamoja na Mkuu wa Usalama Barabarani kituo cha Urafiki ubungo Amina Saidi.

Mkurugenzi wa Masoko na ukuzaji biashara wa Benki ya Biashara ya Tanzania Commercial Bank TCB Deogratius Kwiyukwa (kushoto), akisalimiana na Mkuu wa Kitengo cha Usalama Barabarani Wilaya ya Kinondoni Notkey Kilewa, wakati wa hafla yakukabidhi msaada wa vifaa vya kuongezea usalama barabarani pamoja na vibanda kumi vya kupunzikia askari wa kitengo hicho makabidhiano hayo yamefanyika katika kituo kikubwa cha polisi cha Oystebay jijini Dar es Salaam. wengine pichani ni Meneja wa Tanzania Commercial Bank Tawi la Ubungo Abas Juma pamoja na Mkuu wa Usalama Barabarani kituo cha Urafiki ubungo Amina Saidi.

Mkuu wa Kitengo cha Usalama Barabarani Wilaya ya Kinondoni Notkey Kilewa,akizungumza mara baada ya kupokea mdaa wa vifaa vyakuongezea usalama barabarani pamojana vibanda kumi vya kupunzikia askari kutoka Tanzania Commercial Bank. Kulia ni Mkurugenzi wa Masoko na ukuzaji biashara wa Benki ya Biashara ya Tanzania Commercial Bank TCB Deogratius Kwiyukwa pamoja na Mkuu wa Usalama Barabarani kituo cha Urafiki ubungo Amina Saidi.


Picha ya pamoja

No comments :

Post a Comment