Wednesday, January 12, 2022

PICHA MBALIMBALI ZA MATUKIO YA MAADHIMISHO YA MIAKA 58 YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR LEO

Maadhimisho ya miaka 58 ya Mapinduzi ya  Zanzibar yanayofanyika leo Januari 12, 2022 katika uwanja wa Amaani Karume Zanzibar. Mgeni Rasmi ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Hussein Ali Mwinyi. Hafla hiyo pia imehudhuriwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan.







Kikundi cha Komando kikipita kutoa heshima wakati wa Maadhimisho ya miaka 58 ya Mapinduzi ya  Zanzibar yanayofanyika leo Januari 12, 2022 katika uwanja wa Amaani Karume Zanzibar.








No comments :

Post a Comment