Tuesday, November 2, 2021

RAIS SAMIA AFANYA MAZUNGUMZO NA MWENYEKITI WA STANDARD CHARTERED BANK MJINI GLASGOW

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa katika picha ya pamoja na  Mwenyekiti wa Bodi ya Mabenki ya Standard Chartered katika ngazi ya Kimataifa  José Viñals mara baada ya mazungumzo yao mjini Glasgow, Scotland   Novemba 2, 2021 (PICHA NA IKULU).

No comments :

Post a Comment