Wednesday, September 29, 2021

RAIS DKT.MWINYI ASHIRIKI MKUTANO WA VIONGOZI WA MADHEHEBU YA DINI YA KIKRISTO ZANZIBAR.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti a Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Viongozi wa Dini ya Kikristo alipowasili katika viwanja vya Ukumbi wa Amani Utengamano Welezo Mjini Zanzibar kwa ajili ya Mkutano wa Viongozi hao uliofanyika leo.[Picha na Ikulu] 29/09/2021. 

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti a Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (kulia) akiteta na baadhi ya Viongozi wa Dini ya Kikristo kabla ya Mkutano wa Viongozi hao uliofanyika leo katika Ofisi ya Ukumbi wa Amani Utengamano Welezo Mjini Zanzibar.[Picha na Ikulu] 29/09/2021.



Baadhi ya Masister na Viongozi wengine wa Madhehebu ya Dini ya Kikristo ni miongoni mwa washiriki wa mkutano wa Viongozi hao uliofanyika leo katika Ukumbi wa Amani Utengamano Welezo Mjini Zanzibar mgeni rasmi alikuwa rais wa Zanzibar na mwenyekiti wa Baraza la mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi.[Picha na Ikulu] 29/09/2021.

Baadhi ya Viongozi wa Madhehebu ya Dini ya Kikristo wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi.alipokuwa akizungumza na Viongozi hao katika mkutano uliofanyika leo katika Ukumbi wa Amani Utengamano Welezo Mjini Zanzibar [Picha na Ikulu] 29/09/2021. 

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti a Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (kulia) alipokuwa akizungumza na Viongozi wa Madhehebu ya Dini ya Kikristo katika mkutano uliofanyika leo katika Ukumbi wa Amani Utengamano Welezo Mjini Zanzibar [Picha na Ikulu] 29/09/2021. 

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti a Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (kulia) alipokuwa akizungumza na Viongozi wa Madhehebu ya Dini ya Kikristo katika mkutano uliofanyika leo katika Ukumbi wa Amani Utengamano Welezo Mjini Zanzibar [Picha na Ikulu] 29/09/2021. 

Baadhi ya Viongozi wa Madhehebu ya Dini ya Kikristo wakifurahia hotuba iliyotolewa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi.alipokuwa akizungumza na Viongozi hao katika mkutano uliofanyika leo katika Ukumbi wa Amani Utengamano Welezo Mjini Zanzibar [Picha na Ikulu] 29/09/2021.

No comments :

Post a Comment