Wizara ya Katiba na Sheria pamoja na LSF wakutana na Chama cha Wanasheria Zanzibar
Afisa
Mtendaji Mkuu wa LSF, Lulu Ng’wanakilala akiwa katikati picha ya
pamoja na Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Katiba, Sheria, Utumishi na
Utawala Bora Zanzibar, Seif Shaaban Mwinyi pamoja na Naibu Katibu Mkuu
wa Wizara ya Katiba na Sheria Tanzania Bara Bw Amon Mpanju wakati wa
kikao na Chama cha Mawakili Zanzibar
Afisa
Mtendaji Mkuu wa LSF bi Lulu Ng’wanakilala akifuatilia kikao kati ya
Wizara ya Katiba na Sheria bara na visiwani chenye lengo la kuelewa
utendaji wa Chama cha Mawakili Zanzibar pamoja kupeana uzoefu katika
utekelezaji wa huduma msaada wa kisheria nchini
Katibu Mkuu wa Wizara ya Katiba na Sheria Prof. Sifuni Mchome akiendesha kikao kilichoshirikisha chama cha mawakili Zanzibar
No comments :
Post a Comment