Saturday, August 21, 2021

MWENGE WA UHURU WATEMBELEA MRADI WA MAJI WA GEZAULOLE ULIOANZISHWA NA MWALIMU NYERERE

 
Kiongozi wa Mbio Maalumu za Mwenge wa Uhuru Kitaifa mwaka 2021, Luteni Josephine Mwambashi pamoja na Mkuu wa Wilaya ya Kigamboni, Fatma Almasi Nyangasa wakipata maelezo kutoka kwa Mkurugenzi wa Mawasiliano na Jamii DAWASA, Neli Msuya(wa pili kulia) kuhusu moja ya kisima kwenye mradi wa maji wa Gezaulole uliopo Manispa ya Kigamboni mara baada ya Mwenge wa Uhuru kuwasili katika eneo hilo la mradi leo
Kiongozi wa Mbio Maalumu za Mwenge wa Uhuru Kitaifa mwaka 2021, Luteni Josephine Mwambashi(wa pili kulia) akitazama moja ya mtambo uliwekwa na Mwalimu Nyerere kwa ajili ya hudumia kijiji cha Ujamaa mwaka 1970. 
Kiongozi wa Mbio Maalumu za Mwenge wa Uhuru Kitaifa mwaka 2021, Luteni Josephine Mwambashi akipata maelezo kutoka kwa Meneja wa Kigamboni DAWASA Tumaini Muhondwa kuhusu visima hivyo vinavyofanya kazi katika eneo la Gezaulole mara baada ya Mwenge wa Uhuru kuwasili katika eneo hilo kwa ajili ya kutembelea mradi huo.
Mkurugenzi wa Mawasiliano na Jamii DAWASA, Neli Msuya akisoma taarifa ya mradi wa maji uliotembelewa na mbio za Mwenge wa Uhuru leo kwa Kiongozi wa Mbio Maalumu za Mwenge wa Uhuru Kitaifa mwaka 2021, Luteni Josephine Mwambashi katika eneo la Gezaulole, Manispaa ya Kigamboni mkoani Dar es Salaam leo.
Mkuu wa Wilaya ya Kigamboni, Fatma Almasi Nyangasa akizungumza jambo pamoja na kumkaribisha  Kiongozi wa Mbio Maalumu za Mwenge wa Uhuru Kitaifa mwaka 2021, Luteni Josephine Mwambashi mara baada ya Mwenge wa Uhuru kuwasili katika Mradi wa Maji wa Gezaulole.
Kiongozi wa Mbio Maalumu za Mwenge wa Uhuru Kitaifa mwaka 2021, Luteni Josephine Mwambashi akizungumza mara baada ya kukagua naniujionea Maendeleo ya mradi wa maji ya Gezaulole uliotekelezwa na DAWASA wakati wa Mwenge wa Uhuru ulipotembelea mradi huo.
Meneja wa Kigamboni DAWASA Tumaini Muhondwa akitoa maelezo ya kwenye mchoro kwa Kiongozi wa Mbio Maalumu za Mwenge wa Uhuru Kitaifa mwaka 2021, Luteni Josephine Mwambashi kuhusu mradi wa maji wa wa Gezaulole unavyohudumia  maeneo mbambali ya Kigamboni mara baada ya Mwenge wa Uhuru kutembea mradi huo
Kiongozi wa Mbio Maalumu za Mwenge wa Uhuru Kitaifa mwaka 2021, Luteni Josephine Mwambashi wakiingia katika mradi wa maji wa Gezaulole
Mwenge wa Uhuu ukiingia katika mradi wa maji wa Gezaulole uloanzishwa na Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere mwaka 1970.
Muonekano wa visima vya maji vilivyopo katika mradi wa maji wa Gezaulole.

No comments :

Post a Comment