Thursday, June 3, 2021

MAHAKAMA YA AFRIKA YATAKIWA KUSIMAMIA HAKI


MKUU  wa Mkoa wa Arusha John Mongela ameitaka mahakama ya Afrika ya haki za binadamu ikafanye kazi zake kwa haki ili kuweza kupambana na matatizo yaliyopo katika bara  la Afrika.

Mongela ameyasema hayo alipokuwa  akimwakilisha, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu, katika hafla ya kuchagua na kuwaapisha majaji wapya wa Mahakama hiyo.

Ameahidi ushirikiano ili kufanikisha malengo ya nchi wanachama na mahakama katika kuimarisha haki za binadamu.

No comments :

Post a Comment