Mshindi
wa tano wa promosheni ya Vodacom Tanzania, Shangwe Shangwena, William
Mpachilla mkazi wa Ipagala mjini Dodoma akifungua mlango wa gari mpya
aliyojishindia kwenye promosheni hiyo. Anayeshuhudia nyuma kulia ni
Mkuu wa wilaya ya Dodoma, Mhe. Josephat maganga na Mkuu wa Mauzo
Vodacom Kanda ya Kati, Grace Chambua.
No comments :
Post a Comment