Katibu Mkuu Kiongozi Balozi John Kijazi akisoma majina ya Mawaziri pamoja na Manaibu Mawaziri walioteuliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli leo tarehe 05 Desemba, 2020 Ikulu ya Chamwino mkoani Dodoma. PICHA NA IKULU.
1.Maji -Juma Aweso
2.Habari, Utamaduni Sanaa na Michezo- Innocent Bashungwa
3.Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Vijana na wenye ulemavu- Jenister Mhagama
4.Waziri wa Afya, maendeleo ya jamii,jinsia na watoto- Doroth Gwajima (Mbunge mpya alikuwa naibu nkatibu mkuu)
5.Wizara anayesimamia Uwekezaji Ofisi ya Rais -Prof. Kitila Mkumbo.
6.Wizara ya Katiba na Sheria-Dkt. Mwigulu Nchemba
7.Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia- Prof Joyce Ndalichako
8.Mifugo na Uvuvi – Mashimba Mashauri Ndaki
9.Maliasili na Utalii -Dkt. Ndumbalo Damas
10.Ofisi ya Rais TAMISEMI- Suleiman Jaffo
11.Madini- Dotto Biteko
12.Nishati -Dkt.Medard Kalemani
13.Ujenzi na Uchukuzi mbunge mpya Mhandisi Dkt.Leonard Chamuliho (alikuwa Katibu Mkuu Uchukuzi)
14.Kilimo -Prof.Adolph Mkenda.
15.Viwanda na Biashara Mwambie -Geofrey Idelphonce Mwambe
16.Mambo ya Ndani- George Simbachawene
17.Muungano na MAZINGIRA- Ummy Mwalimu
18.Wizara mpya ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari-Dkt Faustine Ndugulile
19.Fedha Dkt-Philip Mpango
20.Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof-Paramagamba Kabudi
21 Ardhi-William Lukuvi
22.Ulinzi na JKT- Elias John Kuandikwa
23.Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora-Kapteni Mstaafu George Mkuchika
No comments :
Post a Comment