Wednesday, December 30, 2020

RAIS DK.HUSSEIN ALI MWINYI AMEKUTANA NA BALOZI WA UAE LEO.


Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (kulia)  akisalimiana na Balozi wa UAE Nchini Tanzania Mhe.Khalifa Abdulrahman Almarzouqi wakati alipofika Ikulu Jijini Zanzibar leo kwa ajili ya mazungumzo ambapo suala la uwekezaji limepewa kipaumbele katika mazungumzo hayo.[Picha na Ikulu] 30/12/2020.

 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (kulia)  akizungumza na mgeni wake Balozi wa UAE Nchini Tanzania Mhe.Khalifa Abdulrahman Almarzouqi wakati alipofika Ikulu Jijini Zanzibar,ambapo suala la uwekezaji limepewa kipaumbele katika mazungumzo hayo .[Picha na Ikulu] 30/12/2020.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (kulia)  akizungumza na mgeni wake Balozi wa UAE Nchini Tanzania Mhe.Khalifa Abdulrahman Almarzouqi (wa pili kulia) wakati alipofika Ikulu Jijini Zanzibar akiwa na ujumbe wake leo,ambapo Rais alizungumzia zaidi  katika sekta ya uwekezaji ukiwemo utalii.[Picha na Ikulu] 30/12/2020.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (kulia)  akizungumza na mgeni wake Balozi wa UAE Nchini Tanzania Mhe.Khalifa Abdulrahman Almarzouqi wakati alipofika Ikulu Jijini Zanzibar,ambapo suala la uwekezaji limepewa kipaumbele katika mazungumzo hayo .[Picha na Ikulu] 30/12/2020.  

 

No comments :

Post a Comment