Wakazi
wa eneo la Bombambili, Kata ya Kivule Wilaya ya Ilala jijini Dar es
Salaam waishio eneo la Kwakapungu wakivuka kwa shida katika eneo la
bonde la kwa Mbonde kufuatia mvua kubwa zinazoendelea kunyesha maeneo
mbalimbali jijini Dar es Salaam na kusababisha mawasiliano kati ya eneo
hilo la Kwambonde na Kwa Chuma kukatika. Ipo haja eneo hilo kujengwa
daraja ili kuwezesha wananchi kupita bila usumbufu. (Picha na Mroki
Mroki).
No comments :
Post a Comment