Monday, November 2, 2020

SHEREHE YA UAPISHO RASMI WA RAIS WA ZANZIBAR NA MWENYEKITI WA BARAZA LA MAPINDUZI DKT.HUSSEIN ALI MWINYI.


 

JAJI Mkuu wa Zanzibar Mhe,Omar Othman Makungu akimuapisha Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt.Hussein Ali Haasan Mwinyi (kulia) kuongoza Zanzibar kwa awamu ya 8 kuanzia 2020-2025 sherehe za kiapo zilizofanyika leo katika uwanja wa Amaan Studium Jijini Zanzibar.Picha na Ikulu


Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi akitoa hutuba yake mara baada ya kuapishwa rasmin leo kufuatia ushindi wa CCM katika Uchaguzi Mkuu Uliopita, kushika wadhifa wa Urais awamu ya 8 ya Serikali ya Mapinduzi Zanzibar hafla iliyofanyika leo katika uwanja wa Amaan Studium Jijini Zanzibar.[Picha na Ikulu] 02/11/2020.Marais Wastaafu na Viongozi wengine wakiwa katika sherehe ya kuapishwa kwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa mshindi kwa chama cha CCM katika Uchaguzi uliopita ambapo anakuwa Rais wa awamu ya 8 ya Serikali ya Mapinduzi Zanzibar hafla iliyofanyika katika Uwanja wa Amaan Studium Jijini Zanzibar.[Picha na Ikulu] 02/11/2020. Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (katikati) akiwa na Mkuu wa Brigedi ya Nyuki Zanzibar Fadhil Omar Nondo na Makamo wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mama Samia Suluhu Hassan (kushoto) pamoja na Viongozi wengine baada ya kuapishwa rasmi leo katika Uwanja wa Amaan Studium Jijini Zanzibar.[Picha na Ikulu] 02/11/2020. Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi akikagua gwaride maalum la vikosi vya ulinzi mara baada ya kuapishwa rasmin kufuatia ushindi wa CCM katika Uchaguzi Mkuu Uliopita, kushika wadhifa wa Urais awamu ya 8 ya Serikali ya Mapinduzi Zanzibar hafla iliyofanyika leo katika uwanja wa Amaan Studium Jijini Zanzibar.[Picha na Ikulu] 02/11/2020. Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Mkewe Mama Marium Mwinyi mara baada ya kuapishwa rasmin kushika wadhifa huo awamu ya 8 ya Serikali ya Mapinduzi Zanzibar hafla ilifanyika leo katika uwanja wa Amaan Studium Jijini Zanzibar.[Picha na Ikulu] 02/11/2020.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mzee Ali Hassan Mwinyi mara baada ya kuapishwa rasmi leo kushika wadhifa huo kwa awamu ya 8 ya Serikali ya Mapinduzi Zanzibar hafla iliyofanyika katika Uwanja wa Amaan Studium Jijini Zanzibar.[Picha na Ikulu] 02/11/2020. Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Makamo wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mama Samia Suluhu Hassan mara baada ya kuapishwa rasmi leo kushika wadhifa huo kwa awamu ya 8 ya Serikali ya Mapinduzi Zanzibar hafla iliyofanyika katika Uwanja wa Amaan Studium Jijini Zanzibar.[Picha na Ikulu] 02/11/2020.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete mara baada ya kuapishwa rasmi leo kushika wadhifa huo kwa awamu ya 8 ya Serikali ya Mapinduzi Zanzibar hafla iliyofanyika katika Uwanja wa Amaan Studium Jijini Zanzibar.[Picha na Ikulu] 02/11/2020.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Rais Mstaafu wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt.Amani Abeid Karume mara baada ya kuapishwa rasmi leo kushika wadhifa huo kwa awamu ya 8 ya Serikali ya Mapinduzi Zanzibar hafla iliyofanyika katika Uwanja wa Amaan Studium Jijini Zanzibar.[Picha na Ikulu] 02/11/2020.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Waziri Kiongozi Mstaafu wa Zanzibar Mhe.Shamsi Vuai Nahodha mara baada ya kuapishwa rasmi leo kushika wadhifa huo kwa awamu ya 8 ya Serikali ya Mapinduzi Zanzibar hafla iliyofanyika katika Uwanja wa Amaan Studium Jijini Zanzibar.[Picha na Ikulu] 02/11/2020.Wananchi na Wanachama wa Chama cha Mapinduzi waliohudhuria katika sherehe ya kuapishwa kwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi baada ya kushinda CCM katika Uchaguzi uliopita ambapo anakuwa Rais wa awamu ya 8 ya Serikali ya Mapinduzi Zanzibar hafla iliyofanyika katika Uwanja wa Amaan Studium Jijini Zanzibar.[Picha na Ikulu] 02/11/2020.

No comments :

Post a Comment