Sunday, August 16, 2020

MAKAMU WA RAIS MHE. SAMIA AONGOZA MATEMBEZI YA MARATHON CRDB BANK


Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimana na Mtoto Jadian Simon Senga (6) mkazi wa Dar es salaam kabla ya kuanza kwa  Matembezi ya  Kilomita 5 kwa ajili ya kuchangia gharama za upasuaji wa Moyo kwa Watoto katika Taasisi ya Jakaya Kikwete Jijini Dar es salaam leo Agosti 16,2020. Matembezi hayo yameandaliwa na Banki ya CRDB pamoja na mbio za nusu Marathon.  

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiongoza Matembezi ya  Kilomita 5 kwa ajili ya kuchangia gharama za upasuaji wa Moyo kwa Watoto katika Taasisi ya Jakaya Kikwete Jijini Dar es salaam leo Agosti 16,2020. Matembezi hayo yameandaliwa na Banki ya CRDB pamoja na mbio za nusu Marathon. kulia ni Rais Mstaafu wa Awamu ya nne Dkt. Jakaya Kikwete, kushoto ni  Mkurugenzi Mtendaji wa CRDB Abdulmajid Nsekela.   

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Waananchi  wa Mkoa wa Dar es salaam Baada ya kukamilisha kuongoza  Matembezi  ya  Kilomita 5 kwa ajili ya kuchangia gharama za upasuaji wa Moyo kwa Watoto katika Taasisi ya Jakaya Kikwete Jijini Dar es salaam leo Agosti 16,2020. Matembezi hayo yameandaliwa na Banki ya CRDB pamoja na mbio za nusu Marathon. wa pili kulia ni Waziri wa Habari na Utamaduni Sanaa na Michezo Dkt. Harison Mwakiembe kushoto Mkurugenzi Mtendaji wa CRDB Abdulmajid Nsekela.   Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akikamilisha kuongoza Matembezi ya  Kilomita 5 kwa ajili ya kuchangia  gharama za upasuaji wa Moyo kwa Watoto katika Taasisi ya Jakaya Kikwete Jijini Dar es salaam leo Agosti 16,2020. Matembezi hayo yameandaliwa na Banki ya CRDB pamoja na mbio za nusu Marathon. kulia ni Rais Mstaafu wa Awamu ya nne Dkt. Jakaya Kikwete, kushoto ni  Mkurugenzi Mtendaji wa CRDB Abdulmajid Nsekela.   

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akikabidhi mfano wa Hundi ya shilingi Milioni Mia mbili kwa ajili ya kuchangia gharama za upasuaji wa Moyo kwa Watoto katika Taasisi ya Jakaya Kikwete Jijini Dar es salaam leo Agosti 16,2020. kulia ni Mkuu wa Taasisi ya Upasusuaji  ya Jakaya Kikwete Profesa Mohammed Janabi,  kushoto ni  Mkurugenzi Mtendaji wa CRDB Abdulmajid Nsekela.   

No comments :

Post a Comment