Monday, June 1, 2020

Tathmini ya athari za COVID-19 kwa Waandishi wa Habari Wanawake nchini Tanzania.


***************************************
Hii ni nyenzo ambayo inakusudiwa kukusanya taarifa kutoka kwa waandishi wa Habari Wanawake nchini Tanzania (Bara na Visiwani) kufuatia mlipuko wa ugonjwa wa COVID-19 ambao umeathiri sana Sekta ya Habari na maisha ya waandishi Habari wa Habari duniani.
Taarifa zitakazokusanywa zitatumika kushawishi Serikali,Washirika wa Maendeleo na wadau wengine kusaidia hasa waandishi wa Habari Wanawake tukiamini kuwa wamekumbwa na changamoto hii kwa namna ya tofauti kuhakikisha hawayumbi sana kitaaluma wakati huu na baada ya janga hili.

No comments :

Post a Comment