Wednesday, April 29, 2020

Wataalamu wa tiba ya usingizi Mloganzila wahitimu mafunzo maalumu



Mkuu wa Idara ya Usingizi na Ganzi wa Hospitali ya Taifa Muhimbili-Mloganzila, Dkt. Phillip Muhochi (kulia) akimkabidhi cheti mhitimu wa mafunzo ya mwaka mmoja ngazi ya cheti ya kozi ya usingizi na ganzi Bw. Israel Mwasenga.
Viongozi wa Idara ya Usingizi na Ganzi wa MNH-Mloganzila katika picha ya pamoja na wahitimu wa mafunzo hayo.

No comments :

Post a Comment