RAIS wa
Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein,
akiwa na mgeni wake Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania.(BOT)
Profesa.Florens Luoga, wakibadilisha mawazo baada ya kumaliza mazungumzo
yao yaliofanyika Ikulu Jijini Zanzibar.(Picha na Ikulu)
RAIS wa
Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein,
akizungumza na Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BOT) Profesa.Florens
Luoga, alipofika Ikulu Jijini Zanzibar na ujumbe wake kwa mazungumzo
yaliofanyika katika ukumbi wa Ikulu Zanzibar.(Picha na Ikulu)
RAIS wa
Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein,
akimsikiliza Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BOT) Profesa. Florens
Luoga, alipofika Ikulu Jijini Zanzibar kwa mazungumzo na Rais
akiongozana na Ujumbe wake (kulia) yaliofanyika katika wa ukumbi wa
Ikulu Zanzibar. (Picha na Ikulu)
RAIS wa
Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein,
akiagana na mgeni wake Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania.(BOT) Profesa
Florens Luoga, baada ya kumaliza mazungumzo yao yaliofanyika Ikulu
Jijini Zanzibar.(Picha na Ikulu).
No comments :
Post a Comment