Thursday, March 5, 2020

BOT YATOA SEMINA KWA WAANDISHI WA HABARI KUHUSU DAWATI LA MALALAMIKO


 
Bw. Ganga Ben Mlipano Meneja Msaidizi Dawati la Malalamiko ya Wateja na Mabenki na Taasisi za Fedha Benki Kuu ya Tanzania (BoT) akitoa mada kuhusu Dawati hilo na namna linavyofanya kazi katika semina  ya waandishi wa habari  kutoka vyombo mbalimbali vya habari  inayoendelea kwenye tawi la BoT jijini Arusha leo.
Baadhi ya waandishi wa habari wakimsikiliza Bw. Ganga Ben Mlipano Meneja Msaidizi Dawati la Malalamiko ya Wateja na Mabenki na Taasisi za Fedha Benki Kuu ya Tanzania (BoT) akitoa mada kuhusu Dawati hilo na namna linavyofanya kazi katika semina  ya waandishi wa habari  kutoka vyombo mbalimbali vya habari  inayoendelea kwenye tawi la BoT jijini Arusha leo.
Zalia Mbeo Meneja Idara ya Uhusiano wa Umma na Itifaki (BOT) akizungumza na washiriki wa semina ya Uchumi na Fedha inayoendelea kwenye tawi la BoT jijini Arusha.
Bi. Kashinde Sekule Phelician Afisa Utumishi Mkuu Benki Mkuu ya Tanzania na Afisa Mwendeshaji wa Mfuko wa Mwalimu Nyerere (BoT) akiwasilisha mada katika semina hiyo kuhusu huduma za mfuko huo katika kutoa ufhadhili wa wanafunzi waliofauru vizuri katika masomo yao.
Katibu wa Semina hiyo Bw. Bakari Kimwanga akizungumza wakati wa majumuisho ya seina hiyo kwa siku ya leo.

No comments :

Post a Comment