Sunday, February 2, 2020

Picha : MUONEKANO WA UWANJA WA MAJENGO, MOSHI BAADA YA IBADA YA MTUME MWAMPOSA KUKANYAGA MAFUTA YA UPAKO


Muonekano wa Uwanja wa Majengo, Moshi  baada ya ibada ya jana iliyoongozwa na Mtume Boniface Mwamposa kugeuka vilio baada ya watu 20 kufariki dunia walipokanyagana wakipita kwenye ‘mafuta ya upako’. 

No comments :

Post a Comment