Sunday, December 1, 2019

PICHA: SPIKA JOB NDUGAI AKUTANA NA MUANZILISHI WA MASHIRIKISHO YA AMANI DUNIANI JIJINI DAR ES SALAAM



Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (kulia) akifurahia jambo na Muanzilishi wa Mashirikisho ya Amani Duniani, Dkt. Hak Ja Han Moon walipokutana leo katika hoteli ya Serena ya Jijini Dar es Salaam.
Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (kushoto) akisalimiana na Muanzilishi wa Mashirikisho ya Amani Duniani, Dkt. Hak Ja Han Moon walipokutana leo katika hoteli ya Serena ya Jijini Dar es Salaam.
Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (wanne kushoto) akiwa katika picha ya pamoja na Muanzilishi wa Mashirikisho ya Amani Duniani, Dkt. Hak Ja Han Moon (wanne kulia) baada ya kuagana leo katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam. Wengine ni Waheshimiwa wa Bunge la Tanzania na Maafisa Waandamizi kutoka Mashirikisho ya Amani Duniani.
Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (kushoto) akizungumza jambo na Muanzilishi wa Mashirikisho ya Amani Duniani, Dkt. Hak Ja Han Moon walipokutana leo katika hoteli ya Serena ya Jijini Dar es Salaam. Kulia ni Katibu Mkuu wa Mashirikisho ya Amani Duniani, Ndg. Young Ho Yun.
(PICHA NA OFISI YA BUNGE)

No comments :

Post a Comment