Saturday, November 2, 2019

Wachimbaji wa Madini watakiwa kuhakikisha wana leseni za madini


**********************************
Mwenyekiti wa Tume ya Madini, Profesa Idris Kikula amewataka wachimbaji wa madini ya ujenzi nchini kuhakikisha wanapata leseni za madini kama Sheria ya Madini na Kanuni zake inavyofafanua.
Profesa Kikula aliyasema hayo leo tarehe 02 Novemba, 2019  katika machimbo ya mchanga katika maeneo ya Mgongo na Igingilanyi yaliyopo Wilayani Iringa Mkoani Iringa ikiwa ni
sehemu ya ziara yake mkoani humo yenye lengo la kukagua shughuli za uchimbaji wa madini ya ujenzi, kusikiliza na kutatua kero mbalimbali zinazowakabili wachimbaji wa madini hayo.
Ninawasilisha kwenu story, picha pamoja na captions ambazo zimeambatishwa pamoja na email hii. Captions zinapatikana mwishoni mwa story iliyoambatishwa.

No comments :

Post a Comment